Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,457
Kwahiyo raisi anaweza kuahirisha ziara kwaajili ya chama/ kukiwa na emergence issue kwenye chama na hawezi kuhairisha safari/ziara kukiwa na emergence issue inayowagusa watanzania ? (refer mafuriko, mgomo wa madaktari etc)
Usiulize makonzi polisi.
Sisiemu siku zote wanaweka maslahi ya chama mbele, ya Watanzania wote nyuma. Ona hata bungeni, suala la posho zao wanataka lushughulikiwe kwa dharua, mjadala wa kuokoa mgomo wa madaktari hawataki kuusikia. Zero kabisa