Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 765
Sual kubwa ni kuwa kuna baadhi ya mawaziri wanataka kujiondoa ktk serikali na walishamdokeza mkulu akiwemo mtoto wa mkulima. Inasemekana MM ameshaomba mara mbili aachie ngazi ila wakamsihi aendelee. Suala lingine ni la mawaziri ambao anadai wamechoka na wanashindwa kwenda na kasi yake, anafikiri kuwatema kwa sababu za kiafya au umri
...Ebu tusidanganyane bana, kwani Kikwete ana kasi?mbona yupo kwenye state of rest muda wote?