Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Moto utoke CCM?Leo kinaanza kikao cha kamati kuu ya CCM. Kikao yaonekana kitakuwa moto kwa taarifa kuwa baadhi ya wajumbe NEC hawataki mabadiliko kwa hofu ya vyeo vyao kupunguzwa maana wengine wana vyeo zaidi ya vitano.
Mwenye zaidi atujuze
Nowadays no one cares anymore about them hata wakikesha usiku kucha coz nothing significant will come from the same old stuff.