Ndugu yangu ana siku ya nne sasa hajatoka ndani; fedha ya sensa ameimalizia katika uchaguzi wa ndani wa chama na amekosa. Nimsaidie vipi huyu?

NIMEONA

JF-Expert Member
Aug 4, 2019
3,865
5,683
Amemaliza chuo si miaka mingi sana, hajabahatika kuajiriwa bado.

Mungu alimuona na kumjaalia ajira ya muda mfupi ya sensa iliyofanyika hivi punde, si haba, kamilioni hivi alikashika na kwa hakika ilikuwa pesa nyingi sana kwake kwani alikuwa hajawahi kufanya dili lolote la kufikia kiwango hicho cha fedha.

Ebwana kumbe huyu mtu ni mfuasi mkubwa wa chama na kumbe alikuwa anafahamu vizuri ratiba za uchaguzi wa ndani wa chama.

Akahifadhi fedha zake vizuri tu hadi hapo juzi kati uchaguzi ulipofika na kujitosa mazima, wajumbe akawatafuta na, kama kawaida ya wajumbe, 'wakamhakikishia' kuwa ni mwenzao hivyo ka'm' kake kakaenda huko kwenye 'maji ya kunywa na nauli' za wajumbe, wote walimhakikishia ushindi wa 100% yaani wa kishindo. Kwa uhakikisho huo wa wajumbe, halikupenya masikioni mwake wazo todauti na hilo kutoka kwa yeyote.

Uchaguzi ulipofika hapa juzi, ndugu yangu ameshindwa, ameambulia vikura vichache mno ambavyo havifikii hata idadi idadi wajumbe waliotoka eneo lake.

Leo ni siku ya nne, ndugu yangu yupo ndani tu hatoki nje mpaka usiku na mimi, kwakuwa hakunishirikisha, nashindwa hata cha kufanya. Nimsaidie vipo huyu mtu wadau? Hawa vijana lini wataacha ukaidi?!!!!
 
Alibet eee! Tuliwaambia hizo Hela zitumieni angeenda kukodi shamba akalima, au akafuga haya mbuzi ungekuwa mtaj tosha kwake
 
Ajipange nxt time..wajumbe wana njaa kali zaidi ya ile ya polepole aloisema prof lipumbafu.

Nxt time atumie na ndumba mana bila kuroga ndani ya ccm hutoboi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Amemaliza chuo si miaka mingi sana, hajabahatika kuajiriwa bado.

Mungu alimuona na kumjaalia ajira ya muda mfupi ya sensa iliyofanyika hivi punde, si haba, kamilioni hivi alikashika na kwa hakika ilikuwa pesa nyingi sana kwake kwani alikuwa hajawahi kufanya dili lolote la kufikia kiwango hicho cha fedha.

Ebwana kumbe huyu mtu ni mfuasi mkubwa wa chama na kumbe alikuwa anafahamu vizuri ratiba za uchaguzi wa ndani wa chama.

Akahifadhi fedha zake vizuri tu hadi hapo juzi kati uchaguzi ulipofika na kujitosa mazima, wajumbe akawatafuta na, kama kawaida ya wajumbe, 'wakamhakikishia' kuwa ni mwenzao hivyo ka'm' kake kakaenda huko kwenye 'maji ya kunywa na nauli' za wajumbe, wote walimhakikishia ushindi wa 100% yaani wa kishindo. Kwa uhakikisho huo wa wajumbe, halikupenya masikioni mwake wazo todauti na hilo kutoka kwa yeyote.

Uchaguzi ulipofika hapa juzi, ndugu yangu ameshindwa, ameambulia vikura vichache mno ambavyo havifikii hata idadi idadi wajumbe waliotoka eneo lake.

Leo ni siku ya nne, ndugu yangu yupo ndani tu hatoki nje mpaka usiku na mimi, kwakuwa hakunishirikisha, nashindwa hata cha kufanya. Nimsaidie vipo huyu mtu wadau? Haaa vijana lini wataacha ukaidi?!!!!
JamiiForums-266529958.gif
 
Amemaliza chuo si miaka mingi sana, hajabahatika kuajiriwa bado.

Mungu alimuona na kumjaalia ajira ya muda mfupi ya sensa iliyofanyika hivi punde, si haba, kamilioni hivi alikashika na kwa hakika ilikuwa pesa nyingi sana kwake kwani alikuwa hajawahi kufanya dili lolote la kufikia kiwango hicho cha fedha.

Ebwana kumbe huyu mtu ni mfuasi mkubwa wa chama na kumbe alikuwa anafahamu vizuri ratiba za uchaguzi wa ndani wa chama.

Akahifadhi fedha zake vizuri tu hadi hapo juzi kati uchaguzi ulipofika na kujitosa mazima, wajumbe akawatafuta na, kama kawaida ya wajumbe, 'wakamhakikishia' kuwa ni mwenzao hivyo ka'm' kake kakaenda huko kwenye 'maji ya kunywa na nauli' za wajumbe, wote walimhakikishia ushindi wa 100% yaani wa kishindo. Kwa uhakikisho huo wa wajumbe, halikupenya masikioni mwake wazo todauti na hilo kutoka kwa yeyote.

Uchaguzi ulipofika hapa juzi, ndugu yangu ameshindwa, ameambulia vikura vichache mno ambavyo havifikii hata idadi idadi wajumbe waliotoka eneo lake.

Leo ni siku ya nne, ndugu yangu yupo ndani tu hatoki nje mpaka usiku na mimi, kwakuwa hakunishirikisha, nashindwa hata cha kufanya. Nimsaidie vipo huyu mtu wadau? Hawa vijana lini wataacha ukaidi?!!!!
Ukaidi uko wapi hapo? Huyo mjasiliamali mzuri. Siyo mwoga wa hasara! Risk taker mzuri.
 
Kwamba Ka million ameenda kuwagawia wajumbe 😁😁😁😁
 
Hawa wajumbe watu wabaya kuna jamaa yangu alinikopa hela kumbe anaenda kuiteketeza kwa wajumbe na walichomfanya mm nikasikia kwa watu tu ...ilibidi hata mda alio niambia atanilipa niwe mpole maana alikua na msongo wa mawazo hatari.
 
Amemaliza chuo si miaka mingi sana, hajabahatika kuajiriwa bado.

Mungu alimuona na kumjaalia ajira ya muda mfupi ya sensa iliyofanyika hivi punde, si haba, kamilioni hivi alikashika na kwa hakika ilikuwa pesa nyingi sana kwake kwani alikuwa hajawahi kufanya dili lolote la kufikia kiwango hicho cha fedha.

Ebwana kumbe huyu mtu ni mfuasi mkubwa wa chama na kumbe alikuwa anafahamu vizuri ratiba za uchaguzi wa ndani wa chama.

Akahifadhi fedha zake vizuri tu hadi hapo juzi kati uchaguzi ulipofika na kujitosa mazima, wajumbe akawatafuta na, kama kawaida ya wajumbe, 'wakamhakikishia' kuwa ni mwenzao hivyo ka'm' kake kakaenda huko kwenye 'maji ya kunywa na nauli' za wajumbe, wote walimhakikishia ushindi wa 100% yaani wa kishindo. Kwa uhakikisho huo wa wajumbe, halikupenya masikioni mwake wazo todauti na hilo kutoka kwa yeyote.

Uchaguzi ulipofika hapa juzi, ndugu yangu ameshindwa, ameambulia vikura vichache mno ambavyo havifikii hata idadi idadi wajumbe waliotoka eneo lake.

Leo ni siku ya nne, ndugu yangu yupo ndani tu hatoki nje mpaka usiku na mimi, kwakuwa hakunishirikisha, nashindwa hata cha kufanya. Nimsaidie vipo huyu mtu wadau? Hawa vijana lini wataacha ukaidi?!!!!
Asikate tamaa apambanie tena na tena mpaka.hapo anasomo kichwani hivyo ni hatua anapitia katika kuelekea kwenye ndoto zake
 
Pole yaken mi hizo nafasi nazikimbia mi na siasa tofauti kabisa izi nafasi inabid uanzie nafasi za chini na uonyeshe mabadiliko haswa automatically unajikuta mbunge
 
Kamwambie kama aliweza kulipa pesa kwa ajili ya elimu ya shule basi asione kapoteza kwa kulipia elimu jamii.
 
Back
Top Bottom