Ndugai anawaonea wivu Wanasheria kujiita ‘wasomi’? Bila shaka atawaandalia Muswada

Kuna na hii hunishangaza mtu eti anajiita nfano CPA Jumbe, Engineer Jumbe huku hata kutemgeneza mtaro hajui na hivo vyeo huwa vya proud and arrogance wakati ku deliver vitu ni sifuri. Kwa hili namuunga mkono ndugai
🤣🤣Umenena Cariha yaani vituko vitupu....vituko haswaa ha ha ha....

Hakika Mh.Spika yuko sahihi 👍
 
Richa ya kwamba huyu jamaa huwa namuona chenga,ila ana hoja nzito.
Kuna umuhimu gani wa kuitwa "msomi"
Wakati wewe tayari ni msomi?hayo matitle si unayo kwenye CV yako?
Kibongo bongo,kuitwa kwa title watu huona ufahari kwa sababu ya low self esteem,mtu kama Mwigulu na PHD yake ya kuunga unga hasemi kitu mpaka aseme Mimi Dokta wa uchumi,wakati kichwa kimejaa ma theory matupu.
Deputy president wa Kenya,William Ruto ni PHD holder,lakini huwezi kusikia akitumia DR Ruto
Japo topic kama hii sipendi sana kuongea lakini hapa kwetu Africa ukienda kusoma PhD wakati wewe ni tajiri na unasomea vyuoni vikuu vya hapa nyumbani inafikirisha sana, hii ni kutokana na utamaduni wa pesa kufanya kazi kwenye matokeo. Yote kwa Ruto na Mwigulu pia.

Ila wakifanya machapisho yenye ubora na reserch work na pia kupublish research findings inapunguza tashiwishwi.

Ni vitu vya kufikirisha, Hata kina Mpango pia. Wewe unakuwa na PhD baada ya miaka mingi bado hauwi Fellow wa major world's institute.
Aaahaa aaahaa tuwaachie wana siasa wana nguvu sana wanaweza kuzuia ugali wako.
 
Mh. Spika Ndugai yuko sahihi sana

Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga

Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?

Kwanini tutangulize "wakili msomi"?

Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi

MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH. SPIKA JOB NDUGAI, AMEEN AMEEN

#NchiKwanza
#SiempreJMT
Kumbuka sio kila mwanasheria ni Wakili lkn kila wakili ni mwanasheria
 
Kumbuka sio kila mwanasheria ni Wakili lkn kila wakili ni mwanasheria
Kwa hiyo mwanasheria ni wakili?!!

Kumbe ili uwe wakili ni lazima usome zaidi ya mwanasheria...Sasa Kuna lazima ya kuwaita "mawakili wasomi"....

Hata madaktari wa binadamu hupewa LESENI ya kutibu baada ya "kufuzu internship".....

Sasa hao wanaomaliza bila ya kufanya "internship" si madokta?!! Si wasomi?!! Khaaa😲🤣
 
Mh. Spika Ndugai yuko sahihi sana

Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga

Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?

Kwanini tutangulize "wakili msomi"?

Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi

MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH. SPIKA JOB NDUGAI, AMEEN AMEEN

#NchiKwanza
#SiempreJMT
Huo ni utamaduni wa Dunia nzima wansheria/mawakili kuitana WASOMI hawez kubadilisha. Nakumbuka prof Luhanga litaka engineers nao waitwe wasomi ikashindikana
 
Malkia wa mipasho katika ubora wake...

Mbona wao wanajiita waheshimiwa, muheshimiwa, muheshimiwa ingawa hawana hata chembe ya heshima kwa wanayoyafanya... Hovyooooooo
 
Amesahau kuna mawakili wasomi na mawakili uchwara hili liko wazi. Na ni kama ilivyo Maspika wako wasomi na wako kinyume chake
 
Amesahau kuna mawakili wasomi na mawakili uchwara hili liko wazi. Na ni kama ilivyo Maspika wako wasomi na wako kinyume chake
 
Back
Top Bottom