MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,818
- 15,080
Kwanini wao bungeni wanaitana Waheshimiwa? Mhe. Spika, Mhe Rais, Kwani kuna mtu asiyepaswa kuheshimiwa zaidi yao? Huyu Spika ni Mbumbumbu sana, kila apanuapo kinywa Lazima aongee upuuzi
usishindane na aliyejaaliwaDada wewe Kutwa kujisifu UTAJIRI 🤣🤣
Hivi una "inferiority complex" na "post traumatic stress disorder PTSD" secondary to CHILDHOOD ABUSE?!!!
Yaani kumiliki KAHOTELI kamumeo pale Mbeya na vibiashara unavyovitangaza msimu wa 7/7 basi unatuona sote "mahobobo malofa" si ndio eee?!!!
Mshukuruni sana hayati JPM(Rip) kwa kutobomolewa kule.....
🤣🤣🤣Mkuu inferiority complex inakusumbua sana ha ha ha ha....usishindane na aliyejaaliwa
Kwa hili hata mimi namuunga mkono kichwa nazi Nduu_gayMh.Spika Ndugai yuko sahihi sana.....
Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga.....
Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?!!!
Kwanini tutangulize "wakili msomi"?!!!!
Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi 👍💪💪
MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH.SPIKA JOB NDUGAI ,AMEEN AMEEN 🙏
#NchiKwanza
#SiempreJMT
Neno 'msomi'hapo ndilo lina ukakasi.Lakini siyo vibaya kabisa kujiita Wakili,Engineer au Daktari.Mh.Spika Ndugai yuko sahihi sana.....
Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga.....
Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?!!!
Kwanini tutangulize "wakili msomi"?!!!!
Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi 👍💪💪
MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH.SPIKA JOB NDUGAI ,AMEEN AMEEN 🙏
#NchiKwanza
#SiempreJMT
unaweza kuthibitisha kwanza kama mimi ni mwanamke , pili kama ni mke wa mbunge wa zamani unayemjua ?Spika wa BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kama wewe ulivyo mke wa mh.Mbunge wa zamani aliyegaragazwa vibaya sana na komredi wa CCM uchaguzi wa 2020......
He is rightKiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
yeye kwanini anajiita Mheshimiwa ?He is right
tunapenda kujikweza sana tu hata bila sababu
Ligi nyingine hazina maanayeye kwanini anajiita Mheshimiwa ?
Nidhalilishe mkuu....unaweza kuthibitisha kwanza kama mimi ni mwanamke , pili kama ni mke wa mbunge wa zamani unayemjua ?
Zamani Jf hii uzushi ulikuwa unakupa ban , sasa hivi sijui kimetokea nini , ila nakufunza kwamba humu jf unachotakiwa kuhangaika nacho ni hoja tu , usijihangaishe na mtoa hoja iwe kwa kufuata mkumbo au kujituma mwenyewe , utadhalilika vibaya sana na utajua hujui , be careful
👍He is right
tunapenda kujikweza sana tu hata bila sababu
Nakuonya kwa mara ya mwisho , Be careful , haya mambo kwako ni mazito sana , hatujaja jf kijingaNidhalilishe mkuu....
Usipanic 🤣..wewe unavyowatolea majibu ya kedi na dhihaka tunaowaheshimu wala huwadhalilishi eee?!!
Msalimie "mheshimiwa" wa zamani....
🤣🤣🤣🤣🤣Nakuonya kwa mara ya mwisho , Be careful , haya mambo kwako ni mazito sana .
Tunahitaji spika mwingine wa kuendana na kasi ya mamaKiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
Swadakta......👋👋👋👍😍Tena ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kujikweza kwa kujiita wakili msomi sijui mwanasheria msomi.Kila mtu ajiite kwa taaluma yake Engineer msomi,Daktari msomi,Mwalimu msomi,Mkuilima msomi ni ulimbukeni tu. Tunawaona huku mitaani wengine mawakili wapo nyang'anyang'a eti wanajiita mawakili wasomi wamefunga tai zao utadhani wamening'inizwa kwenye mti.Ndugu zanguni msomi hajitangazi,mchango wako katika jamii na haiba yako vitajieleza vyenyewe.
Namuunga mkono Mhe. Ndugai na azidi kuwakemea hata wale ambao wanajinasibisha kuwa ni mhimili wanne katika nchi baada ya Serikali,Bunge na Mahakama.
Vp wao kuitwa waheshimiwaNidhalilishe mkuu....
Usipanic 🤣..wewe unavyowatolea majibu ya kedi na dhihaka tunaowaheshimu wala huwadhalilishi eee?!!
Msalimie "mheshimiwa" wa zamani....
Kiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
kwani jina hilo limetungwa bungeniHapa spika yupo sawa kabisa hakuna kitu kama “ mwanasheria msomi” Je mwana sheria gani sio msomi. Bungeni haitakiwi kuwa sehemu ya kujitungia vimajina majina tu
Kumbe wewe Mama "umejaaliwa"! Kweli hapa Tanzania wanawake "waliojaawa" wanajiamini kuliko wenye dwgreeusishindane na aliyejaaliwa