Ndugai anawaonea wivu Wanasheria kujiita ‘wasomi’? Bila shaka atawaandalia Muswada

Kwanini wao bungeni wanaitana Waheshimiwa? Mhe. Spika, Mhe Rais, Kwani kuna mtu asiyepaswa kuheshimiwa zaidi yao? Huyu Spika ni Mbumbumbu sana, kila apanuapo kinywa Lazima aongee upuuzi
 
Dada wewe Kutwa kujisifu UTAJIRI 🤣🤣

Hivi una "inferiority complex" na "post traumatic stress disorder PTSD" secondary to CHILDHOOD ABUSE?!!!

Yaani kumiliki KAHOTELI kamumeo pale Mbeya na vibiashara unavyovitangaza msimu wa 7/7 basi unatuona sote "mahobobo malofa" si ndio eee?!!!

Mshukuruni sana hayati JPM(Rip) kwa kutobomolewa kule.....
usishindane na aliyejaaliwa
 
usishindane na aliyejaaliwa
🤣🤣🤣Mkuu inferiority complex inakusumbua sana ha ha ha ha....

Tajiri unashinda mitandaoni kumtetea mh.Mbowe ha ha ha ha nikija kulala hotelini kwako nitakuja kupiga stori nawe.....
 
Mh.Spika Ndugai yuko sahihi sana.....

Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga.....

Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?!!!

Kwanini tutangulize "wakili msomi"?!!!!

Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi 👍💪💪

MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH.SPIKA JOB NDUGAI ,AMEEN AMEEN 🙏

#NchiKwanza
#SiempreJMT
Kwa hili hata mimi namuunga mkono kichwa nazi Nduu_gay
 
Mh.Spika Ndugai yuko sahihi sana.....

Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga.....

Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?!!!

Kwanini tutangulize "wakili msomi"?!!!!

Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi 👍💪💪

MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH.SPIKA JOB NDUGAI ,AMEEN AMEEN 🙏

#NchiKwanza
#SiempreJMT
Neno 'msomi'hapo ndilo lina ukakasi.Lakini siyo vibaya kabisa kujiita Wakili,Engineer au Daktari.
 
Spika wa BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kama wewe ulivyo mke wa mh.Mbunge wa zamani aliyegaragazwa vibaya sana na komredi wa CCM uchaguzi wa 2020......
unaweza kuthibitisha kwanza kama mimi ni mwanamke , pili kama ni mke wa mbunge wa zamani unayemjua ?

Zamani Jf hii uzushi ulikuwa unakupa ban , sasa hivi sijui kimetokea nini , ila nakufunza kwamba humu jf unachotakiwa kuhangaika nacho ni hoja tu , usijihangaishe na mtoa hoja iwe kwa kufuata mkumbo au kujituma mwenyewe , utadhalilika vibaya sana na utajua hujui , be careful
 
Kiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !

Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni

View attachment 1920289
He is right

tunapenda kujikweza sana tu hata bila sababu
 
yeye kwanini anajiita Mheshimiwa ?
Ligi nyingine hazina maana

anajiita?
Ukiona msomi anashindana na mwanasiasa kwenye titles ujue kabisa hakuna elimu hapo

let the politicians fight for prefixes and titles but allow scientists and learned community not to dwell too much to those crappy stuff
 
unaweza kuthibitisha kwanza kama mimi ni mwanamke , pili kama ni mke wa mbunge wa zamani unayemjua ?

Zamani Jf hii uzushi ulikuwa unakupa ban , sasa hivi sijui kimetokea nini , ila nakufunza kwamba humu jf unachotakiwa kuhangaika nacho ni hoja tu , usijihangaishe na mtoa hoja iwe kwa kufuata mkumbo au kujituma mwenyewe , utadhalilika vibaya sana na utajua hujui , be careful
Nidhalilishe mkuu....

Usipanic 🤣..wewe unavyowatolea majibu ya kedi na dhihaka tunaowaheshimu wala huwadhalilishi eee?!!

Msalimie "mheshimiwa" wa zamani....
 
Nidhalilishe mkuu....

Usipanic 🤣..wewe unavyowatolea majibu ya kedi na dhihaka tunaowaheshimu wala huwadhalilishi eee?!!

Msalimie "mheshimiwa" wa zamani....
Nakuonya kwa mara ya mwisho , Be careful , haya mambo kwako ni mazito sana , hatujaja jf kijinga
 
Nakuonya kwa mara ya mwisho , Be careful , haya mambo kwako ni mazito sana .
🤣🤣🤣🤣🤣
Ha ha ha ha ha

Wewe "H" acha kunitisha kikoko...

Leo nimekugusa "nerves" zako eee?!!

Kumbe inauma eee?!!

Wewe mbona unawadhihaki VIBAYA MNO wazee wetu ndani ya CCM?!!!
 
Kiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !

Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni

View attachment 1920289
Tunahitaji spika mwingine wa kuendana na kasi ya mama
 
Tena ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kujikweza kwa kujiita wakili msomi sijui mwanasheria msomi.Kila mtu ajiite kwa taaluma yake Engineer msomi,Daktari msomi,Mwalimu msomi,Mkuilima msomi ni ulimbukeni tu. Tunawaona huku mitaani wengine mawakili wapo nyang'anyang'a eti wanajiita mawakili wasomi wamefunga tai zao utadhani wamening'inizwa kwenye mti.Ndugu zanguni msomi hajitangazi,mchango wako katika jamii na haiba yako vitajieleza vyenyewe.
Namuunga mkono Mhe. Ndugai na azidi kuwakemea hata wale ambao wanajinasibisha kuwa ni mhimili wanne katika nchi baada ya Serikali,Bunge na Mahakama.
Swadakta......👋👋👋👍😍
 
Kiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !

Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni

View attachment 1920289

Hapa spika yupo sawa kabisa hakuna kitu kama “ mwanasheria msomi” Je mwana sheria gani sio msomi. Bungeni haitakiwi kuwa sehemu ya kujitungia vimajina majina tu
 
Hapa spika yupo sawa kabisa hakuna kitu kama “ mwanasheria msomi” Je mwana sheria gani sio msomi. Bungeni haitakiwi kuwa sehemu ya kujitungia vimajina majina tu
kwani jina hilo limetungwa bungeni
 
Back
Top Bottom