Showio
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 255
- 481
Njoo inbox kwa msaada zaidijuzi tu nimeota kulikuwa na kundi la ng'ombe walikuwa mbele yangu afu mkonon mwangu nkiwa nimeshika kipande cha Kama bua ivi, chakunishangaza zaidi nlivyo watupilia wakaniacha wakawa wanagombania kile kipande cha bua.
baada ya hapo nkajikuta nakimbia Sana, gafla nkakutana na mtu kashika panga akiwa na lengo la kunidhuru, kilichonisaidia nikawa nakimbia kwa sita yani kwa kupindapinda. baada ya hapo nkashtuka ila hakubahatika kunidhuru.