Tafsiri ya ndoto yangu

Zollensky

Member
Jun 23, 2023
75
107
Wakuu habari za weekend..

Niende kwenye mada yangu moja kwa moja.

Juzi usiku nikiwa katika rundo la usingizi, niliota ndoto iliyonipa tafakuri bila majibu.

Ilikuwa hivi, nilikuwa kwenye shamba mimi pamoja na mzee wangu.

Wakati tunatembea gafla akatokea nyoka aina ya kobra kimo cha wastani, mzee alikuwa nyuma mimi nilikuwa mbele yake. Lakini pia nilikuwa ana kwa ana na kobra.

Kwa bahati nzuri nilikuwa nimeshikilia kagongo kama kile kisukumio cha chapati, kwa kasi ya ajabu nikamtwanga kichwani na akapoteza uhai hapo hapo bila kuleta madhara yeyote, Mzee alishangazwa na ushupavu ule.

Tukaendelea na mwendo wetu, gafla tena kwenye uchafu wa shambani, akatijitokeza kobra mkubwa kuliko yule wa awali.

Sikusita, nikamtwanga kichwani akatapatapa na kupoteza uhai. ( mzee alikuwa nyuma yangu tena).

Baada ya hilo tukio tukarudi nyumbani salama. Nikashituka na kujiuliza maswali mengi, huenda inaweza kuwa na maana kwenye maisha halisi.

Je, ndoto yangu ina tafsiri gani? Naombeni mnijuze, Ahsante.

NB: Mzee bado yupo hai.
 
Hilo RUNDO la usingizi ndio tatizo limeanzia hapo haiwezekani ukawa na marundo ya usingizi shida ipo hapo.
 
Hata mm niliota ndoto kama hiyo,,,ila mimi nilimkata nyoka mkubwa kwa upanga na damu nyeusi ikaruka kwny shavu langu,,,nikastuka usingizini,,,tupeni tafsiri jamaninkwa wanaojua fact,,,let’s be serious please,,!!
 
Nyoka ndotoni usimama kama uadui asa akiwa (mweusi) .

Kwa maana fupi ww na mzee wako mlikuwa mnafuatiliwa na uadui/uchawi lakini ww unanguvu za rohoni ndiomana umeweza kumuuwa nyoka.

maana yake uchawi unaotumwa kwenu au uadui hautaweza kuwadhuru.
 
Wakuu habari za weekend..

Niende kwenye mada yangu moja kwa moja.

Juzi usiku nikiwa katika rundo la usingizi, niliota ndoto iliyonipa tafakuri bila majibu.

Ilikuwa hivi, nilikuwa kwenye shamba mimi pamoja na mzee wangu.

Wakati tunatembea gafla akatokea nyoka aina ya kobra kimo cha wastani, mzee alikuwa nyuma mimi nilikuwa mbele yake. Lakini pia nilikuwa ana kwa ana na kobra.

Kwa bahati nzuri nilikuwa nimeshikilia kagongo kama kile kisukumio cha chapati, kwa kasi ya ajabu nikamtwanga kichwani na akapoteza uhai hapo hapo bila kuleta madhara yeyote, Mzee alishangazwa na ushupavu ule.

Tukaendelea na mwendo wetu, gafla tena kwenye uchafu wa shambani, akatijitokeza kobra mkubwa kuliko yule wa awali.

Sikusita, nikamtwanga kichwani akatapatapa na kupoteza uhai. ( mzee alikuwa nyuma yangu tena).

Baada ya hilo tukio tukarudi nyumbani salama. Nikashituka na kujiuliza maswali mengi, huenda inaweza kuwa na maana kwenye maisha halisi.

Je, ndoto yangu ina tafsiri gani? Naombeni mnijuze, Ahsante.

NB: Mzee bado yupo hai.
Wewe ni simba na leo,ndioleo hadi mseeemee,goli mbili zinawahusu🤪
 
kuna changamoto utapitia lakini utaishinda.kule kumpiga nyoka na kumuua ni ushindi mkubwa kwako
 
Nyoka ndotoni usimama kama uadui asa akiwa (mweusi) .

Kwa maana fupi ww na mzee wako mlikuwa mnafuatiliwa na uadui/uchawi lakini ww unanguvu za rohoni ndiomana umeweza kumuuwa nyoka.

maana yake uchawi unaotumwa kwenu au uadui hautaweza kuwadhuru.

Ahsante Mkuu, nazidi kupata majawabu!
 
Wewe ni simba na leo,ndioleo hadi mseeemee,goli mbili zinawahusu

Sina ushabiki wa mpira kabisa japo nilipewa zawadi jersey ya simba.

Nikivaa watu hujua ni mwanasimba kumbe hata wachezaji wa 3 wa simba siwajui kwa majina.
 
Wakuu habari za weekend..

Niende kwenye mada yangu moja kwa moja.

Juzi usiku nikiwa katika rundo la usingizi, niliota ndoto iliyonipa tafakuri bila majibu.

Ilikuwa hivi, nilikuwa kwenye shamba mimi pamoja na mzee wangu.

Wakati tunatembea gafla akatokea nyoka aina ya kobra kimo cha wastani, mzee alikuwa nyuma mimi nilikuwa mbele yake. Lakini pia nilikuwa ana kwa ana na kobra.

Kwa bahati nzuri nilikuwa nimeshikilia kagongo kama kile kisukumio cha chapati, kwa kasi ya ajabu nikamtwanga kichwani na akapoteza uhai hapo hapo bila kuleta madhara yeyote, Mzee alishangazwa na ushupavu ule.

Tukaendelea na mwendo wetu, gafla tena kwenye uchafu wa shambani, akatijitokeza kobra mkubwa kuliko yule wa awali.

Sikusita, nikamtwanga kichwani akatapatapa na kupoteza uhai. ( mzee alikuwa nyuma yangu tena).

Baada ya hilo tukio tukarudi nyumbani salama. Nikashituka na kujiuliza maswali mengi, huenda inaweza kuwa na maana kwenye maisha halisi.

Je, ndoto yangu ina tafsiri gani? Naombeni mnijuze, Ahsante.

NB: Mzee bado yupo hai.
Mlinde na umsaidie mzee wako, uwezo huo unao, unakumbushwa tu
 
Back
Top Bottom