Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
Hii Ni dalili ya kulala ukiwa umeshiba sana!
Duh umenichekesha Sana???
Hii Ni dalili ya kulala ukiwa umeshiba sana!
Yani wewe unakufa muda wowote.Gawa mali zako zote.
Karibu pm siwezi kukupa hapa tafsiri yake
Tafsiri:
Utakuja kua tajiri mkubwa sana kushinda hao wakina bill gates,
'upo ndani ya jeneza' yani utakua kwny kiti cha ufalme,
'watu wanalia sana' yani watu watakua wanakushangilia kila upitapo,
'ukashtuka usingizini' yani utajiri wako utakaa kwa muda mfupi, utakua kapuku,
'kichwa kikauma sana' yani mawazo yatakusonga mpk utachizika.
Nipe mavi yako nikaushe alafu nifanye ugoro na mengine ninuse alafu nikipiga chafya tuu nakupa jibu
Mkuu achana na ndoto kua na amani
Hizi tafsir za watu ndio zitakuchanganya nishaota nafukiwa miaka 10 iliyopita bado nadunda
ipuuzie hiyo binti, mimi nina idadi kubwa sana ya ndoto za kutisha lakini hakuna chochote cha ajabu kilichonitokea baada ya hizo ndotoUsiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo siyo nzuri sana na imenitisha sana.
Nimeota nimekufa niko ndani ya jeneza kwenda kuzikwa na watu wanalia sana. Ghafla nikashtuka toka usingizini. Nikajaribu kuinua kichwa kikawa kizito baada ya muda kichwa kikaniuma sana.
Naomba unipe tafsiri ya hii ndoto maana imeninyima raha kabisa.
Nawasilisha.
kufa lazima utakufa kweli, sio kutishiwa hata. ila hiyo ndoto haimanishi kua ndio time imefika au laMkuu acha kunitisha.
Mmh mercky ngoja tu niseme neno kwamba hiyo ndoto ilikuwa na maana mbiliMimi ninauwezo wa kukitafsilia sema unamtaka mshana jr
Hahahhaa wewe kitengo hujakiweza bado! Mbona vitisho vingi kiasi hicho?Dah!! Chief hiyo ndoto maana yake ni ONYO.
1. Kama una deni lipa mara moja kwani mdai wako ameishachoka na ahadi zako sasa anapanga akufanyie kitu mbaya.
2. Kama unamchapia mtu acha mara moja kwani mwenyewe ameanza kunusa hilo.
Kwa niaba ya Profesa mshana jr
Tafsiri:
Utakuja kua tajiri mkubwa sana kushinda hao wakina bill gates,
'upo ndani ya jeneza' yani utakua kwny kiti cha ufalme,
'watu wanalia sana' yani watu watakua wanakushangilia kila upitapo,
'ukashtuka usingizini' yani utajiri wako utakaa kwa muda mfupi, utakua kapuku,
'kichwa kikauma sana' yani mawazo yatakusonga mpk utachizika.
acha ujinga, kamjibu kwa mlengo wa kidini...je kama muhusika hana dini, ushauri huo utamsaidiaje?mkuu big up umemjibu vizuri mnooo
Nicemkuu big up umemjibu vizuri mnooo
Mkuu ni kweli au unatania?Mimi nimeota natembea na Miguu kutoka Arusha kwenda Mbeya naamka nimechoka kinyama
Sasa nitanie kwa sababu ipi mkuuMkuu ni kweli au unatania?