NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 999
Manchoso nimekukubali sana asante kwa kumjibu kiongozi
hivi ungeota unatafunwa kweli ungeomba tafsili pia ya hiyo ndoto????Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo siyo nzuri sana na imenitisha sana.
Nimeota nimekufa niko ndani ya jeneza kwenda kuzikwa na watu wanalia sana.Ghafla nikashtuka toka usingizini. Nikajaribu kuinua kichwa kikawa kizito baada ya muda kichwa kikaniuma sana.
Naomba unipe tafsiri ya hii ndoto maana imeninyima raha kabisa.
Nawasilisha.
HahahaaaaaaHii Ni dalili ya kulala ukiwa umeshiba sana!
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo siyo nzuri sana na imenitisha sana.
Nimeota nimekufa niko ndani ya jeneza kwenda kuzikwa na watu wanalia sana.Ghafla nikashtuka toka usingizini. Nikajaribu kuinua kichwa kikawa kizito baada ya muda kichwa kikaniuma sana.
Naomba unipe tafsiri ya hii ndoto maana imeninyima raha kabisa.
Nawasilisha.
Karibu pm siwezi kukupa hapa tafsiri yakeUsiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo siyo nzuri sana na imenitisha sana.
Nimeota nimekufa niko ndani ya jeneza kwenda kuzikwa na watu wanalia sana.Ghafla nikashtuka toka usingizini. Nikajaribu kuinua kichwa kikawa kizito baada ya muda kichwa kikaniuma sana.
Naomba unipe tafsiri ya hii ndoto maana imeninyima raha kabisa.
Nawasilisha.
Hapo nakubalian na wew ni watu wa kipindi cha mitume walikuwa na uwezo wa kutafsiri ndoto sio kipindi hichi cha kugoogleAmna anayejua kutafasiri ndoto kizazi hichi cha nyoka labda ukubal tu kudanganywa. belv wat you believe
Unavotafsiri ndoto km una undugu na YusufuTafsiri:
Utakuja kua tajiri mkubwa sana kushinda hao wakina bill gates,
'upo ndani ya jeneza' yani utakua kwny kiti cha ufalme,
'watu wanalia sana' yani watu watakua wanakushangilia kila upitapo,
'ukashtuka usingizini' yani utajiri wako utakaa kwa muda mfupi, utakua kapuku,
'kichwa kikauma sana' yani mawazo yatakusonga mpk utachizika.
Unavotafsiri ndoto km una undugu na Yusufu
Nashukuru mkuu kwa tafsiri.Una vita kubwa katika ulimwengu wa kiroho ni ishara kuna watu wanapambana na wewe ili kukuangamiza kwa maana ingine kuna roho ya mauti inakutafuta, dunia tunayoishi ni hatari kuliko tunavyodhani ila kila kitu kwa wenye imani ya kikristo inakuwa rahisi sana kwa kufanya yafuatvyo...Mkabidhi Bwana Yesu maisha yako kwani yeyey ndo muweza wa yote kabla hujalala fanya sala fupi tu ya kujitakasa na kuomba ulinzi kutoka kwake...Asubuh kabla hujaamka mshukuru Bwana Yesu kwa ulinzi wa usiku pia mkabidhe siku yako hiyo mpya aweze kuwa kiongozi wako...Hakika hutoota tena ndoto hizo.
mwamini sana MUNGU mwambie MUNGU apambane naye anaye pambana na wewe. sawa kibinadamu lazima uwoga ukushike kutokana na ulichoota lakini ndoto isikunyong'onyeze ukakosa furaha kwani tayari umesha ota.
Amna anayejua kutafasiri ndoto kizazi hichi cha nyoka labda ukubal tu kudanganywa. belv wat you believe
Tafsiri...
Hutoishi Milele, utakufa, utawekwa kwenye jeneza tayari kwenda kuzikwa, watakaobaki watalia sana.
hivi ungeota unatafunwa kweli ungeomba tafsili pia ya hiyo ndoto????