Ndoto: Mganga maarufu kule kwetu kanipa kikombe cha damu ninywe

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,262
6,514
Habari za majukumu Wana wa JF.

Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe.

Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake.

Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha niliposhutuka. Kwa Sasa nipo mbali Sana na Mganga huyu wa kienyeji (Sangoma).

Je, ndoto hii yamaanisha nini?
 
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka

Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
 
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka

Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Duuuhh
 
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka

Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Duuuhh
 
Habari za majukumu Wana wa JF.

Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe.

Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake.

Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha niliposhutuka. Kwa Sasa nipo mbali Sana na Mganga huyu wa kienyeji (Sangoma).

Je, ndoto hii yamaanisha nini?
Ndoto hiyo sio nzuri. Inaashiria kuingizwa katika ulimwengu wa wachawi. Ni kawaida kwa wanaingizwa (initiates) kunyweshwa damu na kulishwa nyama za watu. Hivyo mtafute mtumishi wa kweli wa Mungu akusaidie.
 
Habari za majukumu Wana wa JF.

Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe.

Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake.

Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha niliposhutuka. Kwa Sasa nipo mbali Sana na Mganga huyu wa kienyeji (Sangoma).

Je, ndoto hii yamaanisha nini?
Kunywa usibe na utuletee mrejesho
 
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka

Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Naomba namba zake
 
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka

Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Ndo umeamua uje unitangazee
 
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka

Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
...Kwa hiyo ?? Kuota Kojo jingi ni Nini?? ...
 
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka

Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa

Kaazi kweli kweli walahi
 
Ndoto hiyo sio nzuri. Inaashiria kuingizwa katika ulimwengu wa wachawi. Ni kawaida kwa wanaingizwa (initiates) kunyweshwa damu na kulishwa nyama za watu. Hivyo mtafute mtumishi wa kweli wa Mungu akusaidie.
Amen, ntafanya hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom