Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,262
- 6,514
Habari za majukumu Wana wa JF.
Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe.
Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake.
Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha niliposhutuka. Kwa Sasa nipo mbali Sana na Mganga huyu wa kienyeji (Sangoma).
Je, ndoto hii yamaanisha nini?
Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe.
Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake.
Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha niliposhutuka. Kwa Sasa nipo mbali Sana na Mganga huyu wa kienyeji (Sangoma).
Je, ndoto hii yamaanisha nini?