while nakubaliana na wewe kuwa positive na kudhania kwamba utaweza kubalance mambo (though really hutaweza) umeongea kitu kizuri. lakink mwanamke siku zote akiwa na mimba ni haki yake kuruhusiwa kupata martenity leave nk, mfano umesema ali drop kwenye work force akalea then aka rudi, kwani kulea mtoto kunaisha lini!? na asinge lea nan angelea!? utagundua bado hatuna la kumsifia hapo, ishu yangu ni kuwa idealy uko sawa ila practicaly wanao weza kufanya hivo ni wachache mnooo na si kazi rahisi hata kidogo na wengi ni wale wenye kada flan flan kama walim na manesi kwa mbaaaliii. hata huyo unaye msifia umemfanyankama alilea mtoto halafu aka graduate kulea akaenda kwenye shughuli zake tena

, ndio shda hiyo tunayo sema sasa.
all in all mme wako ndio anatakiwa akubaliane na hali yako, hapo mta ish tuu na things will workout, nilimskiliza yule faraja nyalandu naye alisema kabsa kuna zile kazi natural za mama hawezi kuzifanya na alisema ndio kusoma huko kinakuja with a price. na Nyalandu is happy with her so wanaishi, lakin si wanaume woote wako kama Nyalandu ndio tatzo.