Ndoa za wasomi

Ndoa za wasomi

Me huwa najiuliza,ndoa za watu ambao hawajaenda vidato huwa ziko vipi?maana naona kama zimekaa kipori pori flani hivi.
Wazazi wetu wengi sio wasomi na wameishi maisha ya upendo na ndo maana tupo hivi tulivyo. Mkuu kwa uzoefu wangu mimi kama mtafutaji wa kiwango cha chini ambae ni Sawa na 90% ya watz siafiki kuoa mke msomi, nimeziona ndoa nyiiingii na ukweli hata wewe unao,. Hao wasio wa shamba wa shamba ndoa zao hazidum kabisaaa
 
na wanawake wenye attitude za usawa wa kijinsia kama ndugu yetu hapo hawawez kuwa watiifu na wanyenyekevu, therefore huhisi kila jambo wana onewa na hujikuta sasa wanaingiza harakati kwenye ndoa, ndoa zenye za kibongo et
mweer!!
You have nailed it brother, wabadilishe atitude zao mbaya vinginevyo wataendelea kuwa michepuko.
 
hata wanawake sa unakuta matako ka umepigwa pasi nani, nani atoe pesa zake....... si bora upige nyeto tu
mkuu ujue utamu wa flat wewe uliza wenzio wanvyoenjoy kitu ukiweka inakuwa kama inamumunya acha kabisa.. makalio unakuwa kama upo kwenye kighorofa kama una kidudu kidogo uwezi kuzamisha yote .. dogie huwezi kuenjoy we acha tu utamu wa flat walio onja wakituona road wanatukimbilia
 
Kuoa mwanamke msomi ni bora hasa kwa kupata malezi bora kwa watoto ,kuwa na muono wa mbali.
Hata maamuzi ya familia yanakuwa positive mkisikilizana.
Na hapa ili heshima iwepo inabidi mume awe na elimu zaidi au kipato zaidi,hapo mambo yanakuwa sawia. Pili mke awe mcha Mungu hapo mambo yanakuwa sawia maana mke mcha Mungu anaamini mume ni kichwa cha nyumba.
Na kuna tabia za makabila na malezi aliyopata mke vinachangia ndoa.
Changamoto za wanawake wasomi ni
1.huwa wanakazi hivyo inamfanya kuchoka na hivyo swala la mapenzi ktk ndoa kulipuuzia hivyo waume kukereka na kuchepuka na mwisho wake mgogoro.
2.Wanawake wasomi rahisi kuchepuka. Mbinu nyingi,maklasmate,wamepita kwingi.
3. Kuna aina za kazi kama uaskari,unesi, wachomomokaji sana. Maana msomi rahisi kupata Kazi
4. Kipato na uhakika wa maisha kusonga bila mume nako ni shida kwa hawa wasomi.
5. Heshima ndani ya nyumba ni ndogo kwa mume,wanaweza vumilia waume wa kizungu kuishi kwa usawa ila kwa tamaduni za kiafrika ni mgogoro

Kwa ujumla kuwa na mwanamke msomi inabidi ujipange au uwe zezeta lasivyo utaishia kuwa mlevi au chizi.
Na ndoa nyingi huwa hazidumu.

Changamoto nyingine msomi ukioa mwanamke ambaye hajasoma nako ni lugha gongana,interest hazita endana.

KWA UJUMLA MKE NI TABIA SIO ELIMU AU SURA.
Uneongea jambo moja kubwa hapo;muoe yule uliemzidi elimu au kipato. Kwa kumzidi elimu ni changamoto maana anaweza kujiendeleza akakufikia au akakuzidi pia kwa hiyo bado attitude na malezi yana nafasi kubwa sana katika ustawi wa ndoa.
Kama wewe ni msomi usioe ambae hajasoma kabisa, bali oa uliemzidi kidogo.
 
Marehemu mama yangu alikuwa ameishia darasa la saba, baba ana degree moja lakini sikuona tatizo lolote kati yao walitulea kwa upendo, sikuona mama akiyumba au baba akimdharau kwa kuwa hajasoma, Tumekulia kwenye familia ya raha hadi mama yangu Mungu alipomuita miaka ya hivi karibuni.
Ndoa ni maelewano tu!!
Mwanaume akimzidi mwanamke hamna tatizo hapo, kimbembe ni mwanamke akimzidi mwanaume hapo shughuli yake pevu. Fanya vice versa hapo halafu utafute majibu
 
Kumbuka, wanaume wengine huoa wasomi kwa imani kwamba atapata kazi aitunze familia.Sasa kama msomi mwenyewe ni kicheche toka enzi,kuna ndoa hapo? Kuna wazee nasikiaga wakishauri vijana kwamba waoe tabia,na siyo pesa wala elimu.Wengine wakienda mbali,wanakwambia kabla ya kumuoa binti,muoe mama yake(wanachomaanisha hapa si kumbanjua mama mkwe jamani)!!!Kwanza mchunguze mama yake!Watoto walio wengi wa siku hizi,ukiona mama mkwe anatia shaka,ujue na binti yake ni hivyo hivyo.Ukizenguana nae utamwambia nani? Mama mtu si atakwambia wanaume wengi muache aje! Mtasuruhishana wapi? Si atakwambia twende hotel ya nyota 5 mi sikaagi vichochoroni! Utaujua mziki wa facebook generation.
Kuna mtu mmoja tulihudhulia harusi yake,mpaka mama mkwe kalewa kabebwa,group la mwanamke,mavazi aibuuuu mbele za wazee!Jama akawa amesikitika hana raha kabisa!Sasa cha ajabu siku hizi jama akitoka kazini akiuliza msosi mwanamke anamwambia sikuwepo nimemuachia housegirl, kurudi mpaka saa nne,akigombezwa tu,atarudi baada ya siku tatu.Jama ana watoto wakubwa,alizaa na mwanamke mwingine.Miezi miwili tu,jamaa anaomba msamaha arudiane na mama watoto. Huyu nae kashapata wa kumpooza joto,anamjibu wewe juzi umefunga ndoa,umeniarika nije nishuhudie,sasa endeleeni na mi nina wangu. Mkuu nae siku hizi anapiga picha na wadada mbali mbali anatupia insta na whatsapp kukomoa wife, nyumbani si hamna mtoto! Eti anahakikisha housegirl amepata msosi,yeye anakuja kubadilisha nguo tu, wife wake nae anatubia tupicha na mama yake wakiwa bar! Kugegeda sawa,lakini wengine wasiponzwe na ufundi wa wagegedwaji,wengi wao hawastahili kuolewa
 
Mie nadhan heshima ktk ndoa inategemea malezi na makuzi, habari ya shule kumbuka nalo ni jambo jingine. Kwa imani yangu mie, mume ni kichwa lakn iwapo mke ameenda shule LIMBUKENI ni kweli heshima hupungua hususani baada ya kuwa na wigo mpana wa watu anaokutana nao ktk majukumu ya kila siku. Hivyo, shule yao au pesa yake humpa jeuri na kuona mume wa kazi gani? Hili halina ubishi kwa asiye na malezi au maadili mema ya kidini. Ndiyo maana wengi wao huishi peke yao au kuishia kuishi na waume wasio na shule kama yao, na hapo ndio vijana wanaopenda pesa au kuendesha magari burebure hupatia michongo.
Maneno yako kuntu
 
Sio kweli kwamba sio wife materials. Kuna wanawake wengi tu walioenda vidato na ni wife materials wa kufa mtu.
Mwanamke wa nguvu na anayejielewa, haijalishi how far she went to school, atatimiza majukumu yake ipasavyo kama mke au mama kutokana na mazingira husika.
Inapendeza sana na hakuna raha kama kuwa mwanamke msomi na anaejielewa vizuri inapokuja kwenye majukumu ya mama/mke. Familia haitatetereka. We are the Pillar of the Family, na tukiwa na shule ndo nguvu inaongezeka.
Nimependa avatar yako....ooops i meant your comment.
 
inategemea na malezi aliyokulia, ukioa ambae hajasoma sanaa pia ni shida, muombe mungu akuongoze umpate mke mwema usiangalie elimu, dini wala kabila utapotea kaka, omba mungu akupe wa kufanana nae
 
while nakubaliana na wewe kuwa positive na kudhania kwamba utaweza kubalance mambo (though really hutaweza) umeongea kitu kizuri. lakink mwanamke siku zote akiwa na mimba ni haki yake kuruhusiwa kupata martenity leave nk, mfano umesema ali drop kwenye work force akalea then aka rudi, kwani kulea mtoto kunaisha lini!? na asinge lea nan angelea!? utagundua bado hatuna la kumsifia hapo, ishu yangu ni kuwa idealy uko sawa ila practicaly wanao weza kufanya hivo ni wachache mnooo na si kazi rahisi hata kidogo na wengi ni wale wenye kada flan flan kama walim na manesi kwa mbaaaliii. hata huyo unaye msifia umemfanyankama alilea mtoto halafu aka graduate kulea akaenda kwenye shughuli zake tena , ndio shda hiyo tunayo sema sasa.

all in all mme wako ndio anatakiwa akubaliane na hali yako, hapo mta ish tuu na things will workout, nilimskiliza yule faraja nyalandu naye alisema kabsa kuna zile kazi natural za mama hawezi kuzifanya na alisema ndio kusoma huko kinakuja with a price. na Nyalandu is happy with her so wanaishi, lakin si wanaume woote wako kama Nyalandu ndio tatzo.


Umenichekesha hapo pa ku graduate kulea...lol
Hakunaga ku graduate kulea ukiwa mzazi.
Huyu dada hakuacha kazi kwa ajili ya maternity leave Iceman, aliacha kabisa kazi yake for a little over 3 yrs kumaliza kuzaa na kulea vichanga ndipo akarudi kazini, kuanza moja kutafuta kazi nyingine, happily akijua watoto wakubwa kiasi, na comfortable kuweza kuwaacha na mtu mwingine.
Point yangu nyingine ni kuonyesha jinsi wanawake wasomi wanavyoweza kuwa wife/mother materials.
 
Ila watch out hata siku moja mwanamke asizidi kiwango cha elimu, umri au hata kipato! Challenges zipo ila kama mwanaume umesoma hakikisha mkeo hampishani sani ili kuondoa inferiority complexity ambayo inaweza kuleta shubiri katika ndoa. Nikupe mfano mdogo katika Barabara zetu akinamama vijana wenye magari ni wakorofi sana hawatoi nafasi kwa wenzao hasa wakiwa wanaume ati atanidharau, ananizidi nini etc. hata ajali nyingi ni wao na ubishi hiyo yote ni inferiority tu. Ikiingia katika ndoa ni hatareee. Naturahi Paprika amethibitisha


Hii inferiority complex kwa wanaume nayo ni jipu. Mwanaume kujiamini bwana hata kama umezidiwa. Confidence itafunika mapungufu ya mtu. Lakini ni bora kujiongeza kama mwanamke anazidi, ili kupunguza wasiwasi.
 
Kama jamaa la saba wala simshauri aoe msomi sana... Angalau alieishia form 4...
Gepu la elimu nalo likiwa kubwa ni majanga kwa kweli...
Ex wangu aliishia la saba, yaani tukajikuta tunapishana kwenye mengi sana... Nna mpango wa kuchukua PhD ila mwenzangu akanikataza... Alijifeel kua threatened kama mwanaume.
khaaa!!
unachukua PhD Unataka kuja kuwa nan!!?

yaan MA haija kutosha, yeen wewe mimi hata ukiwa mzuri lets say kama beyonce siwez kukuoa (no offense hapo), ndio maana jamaa anaogopa sasa, inahitaj uvumilivu asee.
ila hongera for a lady kuoenda kusoma hvo
 
Umenichekesha hapo pa ku graduate kulea...lol
Hakunaga ku graduate kulea ukiwa mzazi.
Huyu dada hakuacha kazi kwa ajili ya maternity leave Iceman, aliacha kabisa kazi yake for a little over 3 yrs kumaliza kuzaa na kulea vichanga ndipo akarudi kazini, kuanza moja kutafuta kazi nyingine, happily akijua watoto wakubwa kiasi, na comfortable kuweza kuwaacha na mtu mwingine
Point yangu nyingine ni kuonyesha jinsi wanawake wasomi wanavyoweza kuwa wife/mother materials.


hujanishawishi hapo, lakin just nimependa your attitude ila, sku sasa ukiolewa jamaa anavo lalamika ndio utajua ukweli.
 
khaaa!!
unachukua PhD Unataka kuja kuwa nan!!?

yaan MA haija kutosha, yeen wewe mimi hata ukiwa mzuri lets say kama beyonce siwez kukuoa (no offense hapo), ndio maana jamaa anaogopa sasa, inahitaj uvumilivu asee.
ila hongera for a lady kuoenda kusoma hvo
Field yangu inabidi nisome zaidi kupata promotion...
Napenda kusoma by the way... Nisipochukua PhD ntachukua masters nyingine
 

hujanishawishi hapo, lakin just nimependa your attitude ila, sku sasa ukiolewa jamaa anavo lalamika ndio utajua ukweli.


Hahaha, kwa kweli.
Lakini what more do you want?
Kama nyumbani mtu kakaa kwa muda kulea and then akarudi kazini. Hiyo haitoshi?
 
Marehemu mama yangu alikuwa ameishia darasa la saba, baba ana degree moja lakini sikuona tatizo lolote kati yao walitulea kwa upendo, sikuona mama akiyumba au baba akimdharau kwa kuwa hajasoma, Tumekulia kwenye familia ya raha hadi mama yangu Mungu alipomuita miaka ya hivi karibuni.
Ndoa ni maelewano tu!!
hiyo ina wezekana
mie mwenyewe future wife nataka hata akiwa la saba itakuwa poa
ila kama mnge reverse elim hapo baba awe la saba mama digrii
hehehehe sidhan kama mambo yangekuqa poa

by the way, RIP to our bful mom
 
Hahaha, kwa kweli.
Lakini what more do you want?
Kama nyumbani mtu kakaa kwa muda kulea and then akarudi kazini. Hiyo haitoshi?
haitoshi
na wala siyo sifa maana malezi ya mtoto tena ndio huwa untensive pale anakua kua kabsa, ndio kipindi cha kumshape, japo hata kuacha kwa muda alijitahidi, but sidhan kama imemuonesha she could be a mother and a wife perfectly.
all in all alicho kifanya si jambo la kubeza pia, ila si jambo la kulishkia bango kama mfano wa mama alo balance mambo waka haja imply chochote
 
Back
Top Bottom