Ndoa za wasomi

Ndoa za wasomi

Kwa mujibu wa vigezo vya kimataifa Msomi ni mtu mwenye elimu ya Shahada ya kwanza (Bachelor's degree) na kuendelea.
Kwa vigezo vya jamii yetu hata form four ni msomi teh teh...
This means in other definition wale km kina lipumba na rais wetu ni wasomi zaidi ya wasomi........
 
Bujibuji soon tutakuteka hata kama una Li PHD la chemistry sio unawachukua warembo wote JF . Miss wote wawili wako chagga na natafuta sky tena wako... mkuu hapana kwa kweli
naona Daby unataka kumtongwerecords mtt wa watu
 
Mtoa uzi unanishawishi niliye form one nijifelishe mtihan wa form 2!
 
Sio wasiojiamini chuo huko mmegongeka sana hlf very cheap hlf mkija kwenye ndoa mnaleta usumbufu...usomi umewashindwa nyie wengi wenu basi tu mnalazimisha
Yale yale WASIOJIAMINI! Tumeolewa wenzio, we are in marriage for years. We kaoe haohao la saba failure, nchi huru hii.
 
in this age mwanamke aloishia darasa la saba yan alishindwa hta secondary za kata yahitaj moyo kumuoa
ifahamike kuwa %ya intelligence ya watoto hasa wakiume hurith kwa mama zao
wengine tnavooa tnawaza na mbali pia
 
na ndoa nyingi tu znavunjika huku uswaz kwetu cha ajab Weng wao wala sio wasomi,,hku uswaz n kawaida kuona mwanamke mmoja kaolewa mara nne ndan ya mwaka mmoja na wala hana hta CSEE
 
ushauri wangu ni kuwa unapoamua kuoa usijitazame wewe tu utaenjoy kias gani na huyo mke ila fikiria baada ya kuwa naye ktk ndoa kwa muda kadhaa na kupatikana mtoto, huyo mtoto atalelewa ktk misingi ipi ya maadili yaliyo bora. Kuna wazaz wengi wanajisikia vibaya sana pale anapomuona mtoto wake anatabia zisizopendeza ktk jamii, na kuna baadhi ya watoto wanaonesha tabia njema wakiwa na wazazi wao ila wakiwa mbali ni vicheche tu.

Mwanamke msomi lakin akiwa ni mama wa nyumban hajaajiriwa huyu anafaa sana kuwa mke ikiwa tabia yake itakuwa nzuri mana atakuwa na muda wa kutosha wa kukaa na familia na kujua mtoto wake anakuwa ktk misingi ipi na tabia ipi hivyo inakuwa rahis kwake kujua tabia mpya ya mtoto wake ikoje, lakin msomi aliyeajiriwa huwa hana muda wa kutosha wa kukaa na familia yake, mara nying muda wa yeye kuwa nyumban anakuwa amechoka na anahitaj kupumzika, hivyo kuna uwezekano mkubwa asijue mtoto wake anakuwa vp na ana tabia zipi mpya mana muda mwingi mtoto anakuwa ktk mikono ya watu wengne lakin pia kuna uwezekanao baadhi ya siku mwanamme akashindwa kuenjoy tendo na mke huyo kutokana na uchovu wa kazi za ofisin.

Mwanamke ambaye hajasoma kabisa naye pia ni tatizo. ila msomi afu mama wa nyumban yuko poa sana hasa wale waliosoma dini tu
 
Back
Top Bottom