Ndoa za wasomi

Ndoa za wasomi

Mwanamke ni kujielewa tu. haijalishi umesoma mpaka wapi,au umeishia wapi, kuna walio oa wasomi wenzao. Na bado wanasumbuana na changamoto nyingi tu. Kulinganisha na ambao hawajaoa wasomi wamesimama imara na maisha yanaenda hadi unashangaa
 
Mtasababisha waache na waogope kusoma kwa hofu ya kutoolewa. Tusibaguane ukweli asiyesoma ni wife material kama msomi tu. Na feki wapo wasiosoma na waliosoma pia.
Tena umkute hajasoma halafu anatoka familia ya shida ndiyo pasua kichwa kabisa.
 
Hvi wazee hii kusema mwanamke aliyesoma ni mnazungumzia kuanzia level gani ya elimu.?mm mwanamke usome,usisome nkishajua una tabia za kujiskia tu ata kwa watu wa karibu nakudharau milele
 
Mie nadhan heshima ktk ndoa inategemea malezi na makuzi, habari ya shule kumbuka nalo ni jambo jingine. Kwa imani yangu mie, mume ni kichwa lakn iwapo mke ameenda shule LIMBUKENI ni kweli heshima hupungua hususani baada ya kuwa na wigo mpana wa watu anaokutana nao ktk majukumu ya kila siku. Hivyo, shule yao au pesa yake humpa jeuri na kuona mume wa kazi gani? Hili halina ubishi kwa asiye na malezi au maadili mema ya kidini. Ndiyo maana wengi wao huishi peke yao au kuishia kuishi na waume wasio na shule kama yao, na hapo ndio vijana wanaopenda pesa au kuendesha magari burebure hupatia michongo.
 
Bujibuji na Miss Natafuta ni wasomi wabibezi tuliohitimu elimu ya juu ya chekechea , yaani ni wasomi feki kabisa, kama Yule jamaa ambaye ukihoji PhD yake lazima upotezwe kama Ben Saanane
Bujibuji soon tutakuteka hata kama una Li PHD la chemistry sio unawachukua warembo wote JF . Miss wote wawili wako chagga na natafuta sky tena wako... mkuu hapana kwa kweli
 
Sio kweli kwamba sio wife materials. Kuna wanawake wengi tu walioenda vidato na ni wife materials wa kufa mtu.
Mwanamke wa nguvu na anayejielewa, haijalishi how far she went to school, atatimiza majukumu yake ipasavyo kama mke au mama kutokana na mazingira husika.
Inapendeza sana na hakuna raha kama kuwa mwanamke msomi na anaejielewa vizuri inapokuja kwenye majukumu ya mama/mke. Familia haitatetereka. We are the Pillar of the Family, na tukiwa na shule ndo nguvu inaongezeka.
Inasemekana wengi wao si wasikivu wala utii kwa mme hamna kutokana na emancipation through education
 
Kinachotutesa kuoa wanawake wasomi ni distance pale Mme anaajiriwa au anahamishiwa Mkoa mwingine na wife anafanya kazi mkoa mwingine. Mengine ni minor
 
Kama unaoa/kuolewa na elimu itakusumbua ila kama unao mke au unaolewa na mme hii haiwezi kukusumbua

Kusumbuana katika ndoa huja baada ya mmoja kati yenu kuona mwenzie hana umhimu na kusumbuana hakuhusiani na elimu ila kunahusiana na tabia za mtu inaweza ikawa tabia ya kwenye familia aliyo lelewa au ya kuiga kutoka kwa anao ishi nao karibu
 
Bujibuji soon tutakuteka hata kama una Li PHD la chemistry sio unawachukua warembo wote JF . Miss wote wawili wako chagga na natafuta sky tena wako... mkuu hapana kwa kweli
Wacha wivu, learn from the best, mwenzio natumia mbinu mbili matata sana .
Natumia maneno machache tu kutongoza_ nauliza kwa sauti ya Polisi, umeorewa au unapiga piga umaraya.
Na Nikitaka njunji naamrisha tu, rara nikurenge
 
Mwanamke ni kujielewa tu. haijalishi umesoma mpaka wapi,au umeishia wapi, kuna walio oa wasomi wenzao. Na bado wanasumbuana na changamoto nyingi tu. Kulinganisha na ambao hawajaoa wasomi wamesimama imara na maisha yanaenda hadi unashangaa
Lakini ndio wanajifanya wanajua kila kitu kwa sababu huwezi kuwayumbisha na elimu zao, si ndivyo?
 
Hiyo ni dhana iliyo jengeka tuu kama ilivyo kwenye makabila...

Kwa mie tabia ya mtu haiangalii usomi, kabila, dini, utajiri au umaskini..
Wapo walioolewa ni wasomi wametulia na wengine hawajatulia, na ambao sio wasomi vile vile wapo waliotulia na wengine ndo vile tena..

Kama muoaji kigezo na usomi Sidhani kama ndo kinampa mtu mke mwema au la... Yapo mengi saana ya kukufanya uwe na umpendae
Aisee Good good
 
Back
Top Bottom