Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Kati ya 100 wako 10.
Tehe!, sawa bwana. Hamuishi kututoa kasoro.
Kati ya 100 wako 10.
kabisa, na mimi pia napenda mwanaume aliyesoma, mwanaume/mwanamke asiye na shule hata siri hana yaani akidet na mtu lazima marafiki zake wote wajue.
mimi sipendi kabisa mwansume asiye na shule, huwezi hata kuchat naye, kiingereza kidogo tu anashindwa kuelewa, hata mambo ya duniani anakuwa hajui zaidi ya ushilawadu.
kupelekeshwa kivipi yaanSiikani post yangu... Naelewa nilichokiandika ndo maana nikakataa unachosema!!! Nafahamu kua mwanamke na mwanaume hawawezi kua na usawa wanaosema watu. Sema wanaume wanaogopa wadada wasomi sababu ni ngumu kuwapelekesha na kuwaonea
ndio maana jamaa hataki nyie mlo somaHebu rudia kusoma ulichokiandika vipi umeelewa ulimaanisha nini?

Na kama huyo mama wa Pepsi, naelewa kuna wanawake wa hivyo na ambao waliona hawawezi kufanya yote na kuacha moja.
(for the case I know) Malkia wa nguvu kama mke wa kampelewele but with the MBA, alidrop kazi yake nzuri kwa muda kwa ajili ya kumaliza kuzaa na kulea watoto wake wadogo, then she went back to the workforce. So ni kweli challenges zipo but, someone need to find a way around it and then.. she can have it all.
, ndio shda hiyo tunayo sema sasa.na wanawake wenye attitude za usawa wa kijinsia kama ndugu yetu hapo hawawez kuwa watiifu na wanyenyekevu, therefore huhisi kila jambo wana onewa na hujikuta sasa wanaingiza harakati kwenye ndoa, ndoa zenye za kibongo etHakuna mwanaume anaemuonea mwanamke mtii,mpole na mnyenyekevu kwake.

Kama jamaa la saba wala simshauri aoe msomi sana... Angalau alieishia form 4...ndio maana jamaa hataki nyie mlo soma
si umeona kasema hapo yeye la saba!!![]()
Ila watch out hata siku moja mwanamke asizidi kiwango cha elimu, umri au hata kipato! Challenges zipo ila kama mwanaume umesoma hakikisha mkeo hampishani sani ili kuondoa inferiority complexity ambayo inaweza kuleta shubiri katika ndoa. Nikupe mfano mdogo katika Barabara zetu akinamama vijana wenye magari ni wakorofi sana hawatoi nafasi kwa wenzao hasa wakiwa wanaume ati atanidharau, ananizidi nini etc. hata ajali nyingi ni wao na ubishi hiyo yote ni inferiority tu. Ikiingia katika ndoa ni hatareee. Naturahi Paprika amethibitishaChallenges zipo mr Iceman, nakubali. Nakupata pia unavyosema upande wako uvumilivu hakuna, I can only imagine mwanaume anayepitia hali kama hiyo. Kwa kweli inahitaji uvumilivu.
Na kama huyo mama wa Pepsi, naelewa kuna wanawake wa hivyo na ambao waliona hawawezi kufanya yote na kuacha moja.
(for the case I know) Malkia wa nguvu kama mke wa kampelewele but with the MBA, alidrop kazi yake nzuri kwa muda kwa ajili ya kumaliza kuzaa na kulea watoto wake wadogo, then she went back to the workforce. So ni kweli challenges zipo but, someone need to find a way around it and then.. she can have it all.