Ndoa za wasomi

Ndoa za wasomi

Mie nadhan heshima ktk ndoa inategemea malezi na makuzi, habari ya shule kumbuka nalo ni jambo jingine. Kwa imani yangu mie, mume ni kichwa lakn iwapo mke ameenda shule LIMBUKENI ni kweli heshima hupungua hususani baada ya kuwa na wigo mpana wa watu anaokutana nao ktk majukumu ya kila siku. Hivyo, shule yao au pesa yake humpa jeuri na kuona mume wa kazi gani? Hili halina ubishi kwa asiye na malezi au maadili mema ya kidini. Ndiyo maana wengi wao huishi peke yao au kuishia kuishi na waume wasio na shule kama yao, na hapo ndio vijana wanaopenda pesa au kuendesha magari burebure hupatia michongo.
Hapo umetia point
 
Huwezi kulinganisha tabia ya MTU na kiwango chake cha elimu
Wapo wenye elimu zao wenyesifa na wasio na sifa za kuwa mke bora kutokana na utofauti wa tabia kwa hiyo cha msingi hapo angalia tabia yake
 
Wana wake wasomi mm lasaba aposasa kwenye ngeli rugha gongana mambo ya fedhea hayo
 
Sio kweli kwamba sio wife materials. Kuna wanawake wengi tu walioenda vidato na ni wife materials wa kufa mtu.
Mwanamke wa nguvu na anayejielewa, haijalishi how far she went to school, atatimiza majukumu yake ipasavyo kama mke au mama kutokana na mazingira husika.
Inapendeza sana na hakuna raha kama kuwa mwanamke msomi na anaejielewa vizuri inapokuja kwenye majukumu ya mama/mke. Familia haitatetereka. We are the Pillar of the Family, na tukiwa na shule ndo nguvu inaongezeka.
kabisa, na mimi pia napenda mwanaume aliyesoma, mwanaume/mwanamke asiye na shule hata siri hana yaani akidet na mtu lazima marafiki zake wote wajue.

mimi sipendi kabisa mwansume asiye na shule, huwezi hata kuchat naye, kiingereza kidogo tu anashindwa kuelewa, hata mambo ya duniani anakuwa hajui zaidi ya ushilawadu.
 
Me huwa najiuliza,ndoa za watu ambao hawajaenda vidato huwa ziko vipi?maana naona kama zimekaa kipori pori flani hivi.
Ha ha! yaani nimekupenda bure, hata mimi nahisi hivyo hivyo, mwanamke vidato bwana.
 
Hakuna uhusiano kati ya Elimu na ndoa ,kutokua na elimu na ndoa ,ndoa ni habari nyingine ,mapenzi ya dhati na maelewano ndio kila kitu ktk ndoa.
 
Me naamini mwanamke kuwa Wife material its not a miracle at all.! Bali alikuwa katika jamii ama malezi gani.? Na pia anaelimu ya kifamilia kiasi gani na zaidi anajua nin maana ya kumheshimu&kumjali mumewe..! Thats wat matters most
 
Msomi maana yake nn? Tuanzie hapo labda
Kwa mujibu wa vigezo vya kimataifa Msomi ni mtu mwenye elimu ya Shahada ya kwanza (Bachelor's degree) na kuendelea.
Kwa vigezo vya jamii yetu hata form four ni msomi teh teh...
 
exceptions huwa zinakuwepo, ila realy hard working women kwenye masiala ya kazi nyingine huwa wana end upa being bad mums

huwa nampenda mama mmoja ni mkurungenzii mtendaji wa Pepsi Co. USA
yule anajisemeaga ukweli kuwa she is a bad wife na bad mom, lakin ana shukuru familia yake ina mvumilia.
ila kwa kweli mimi sina huo uvumilivi kabsaa


Challenges zipo mr Iceman, nakubali. Nakupata pia unavyosema upande wako uvumilivu hakuna, I can only imagine mwanaume anayepitia hali kama hiyo. Kwa kweli inahitaji uvumilivu.

Na kama huyo mama wa Pepsi, naelewa kuna wanawake wa hivyo na ambao waliona hawawezi kufanya yote na kuacha moja.
(for the case I know) Malkia wa nguvu kama mke wa kampelewele but with the MBA, alidrop kazi yake nzuri kwa muda kwa ajili ya kumaliza kuzaa na kulea watoto wake wadogo, then she went back to the workforce. So ni kweli challenges zipo but, someone need to find a way around it and then.. she can have it all.
 
Sio kweli kwamba sio wife materials. Kuna wanawake wengi tu walioenda vidato na ni wife materials wa kufa mtu.
Mwanamke wa nguvu na anayejielewa, haijalishi how far she went to school, atatimiza majukumu yake ipasavyo kama mke au mama kutokana na mazingira husika.
Inapendeza sana na hakuna raha kama kuwa mwanamke msomi na anaejielewa vizuri inapokuja kwenye majukumu ya mama/mke. Familia haitatetereka. We are the Pillar of the Family, na tukiwa na shule ndo nguvu inaongezeka.
Nakupendaga sana kwa sababu umezidi kujitambua.
 
Back
Top Bottom