Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ndoa yangu ipo ICU !dah

Yani ndugu umeread direct through me clearly sana..naposhindwa mimi kumsoma sitaki kum judge careness yake kwa wanangu najua ipo safi..but i feel like tukimpq nafasi apitie ki phase anachopitia mwwnyew tu bila wanangu kum comfort her actions
I want her to sleep and wake up with her actions...
Yani nawazaga tu angesema tulee kwanza tuoane baadaye ila tumeoana na ndo nimeisha ladha sijui dah
Mkuu umeandka nini hiki, au umetoka Kulala??
 
Yani ndugu umeread direct through me clearly sana..naposhindwa mimi kumsoma sitaki kum judge careness yake kwa wanangu najua ipo safi..but i feel like tukimpq nafasi apitie ki phase anachopitia mwwnyew tu bila wanangu kum comfort her actions
I want her to sleep and wake up with her actions...
Yani nawazaga tu angesema tulee kwanza tuoane baadaye ila tumeoana na ndo nimeisha ladha sijui dah
Mkuu umeandka nini hiki, au umetoka Kulala??
 
Mkuu pole sana,hilo ni tatizo kubwa sana kwani huwezi fikiria chochote cha maendeleo kwa sasa.
Huyo binti hana mapenzi nawe kwa sasa,ikiwezekana chukua watoto urudi nao dar yeye muache peke yake kwa muda hata wa miaka mitatu ili huenda labda ataona udhaifu na mapungufu yake na kuamua kubadilika.wakati uko nae mbali wala usifanye nae mawasiliano ya aina yoyote,we piga kimya tu.
Kama ndani ya hiyo miaka mitatu hajakufuata na kuomba muanze tena upya kwa kurudisha mapenzi yenu basi fanya maamuzi magumu.
PIGA CHINI Huyo manzi/mke.
jitahidi sana uache pombe na uzidishe sana kwenye kutafuta mafanikio na nguvu ya kiuchumi
Na speed hii ya maisha unamshauri jamaa akapoteze miaka 3 anasubiri mtu?!! Aacha utani mkuu.
 
Yaani nikisikia hizi habari mawazo ya kuoa yanazidi kutokomea kusikojulikana
 
Pole sana Mkuu! Victims tupo wengi. Achana nae kabisa, chukua mwanamke mwingine ili utulize moyo kidogo. Ukilazimisha uhusiano mwishoni utakufa au kufanya jambo la kukugharimu maisha. Ukiumizwa na huyu chukua mwingine ndo maisha.
 
Mimi sijaoa lakini ninaweza kusema kwamba kama upande wa mapenzi kati yenu umeshindikana, basi mkae mkubaliane namna ya kulea hao watoto na kama makubaliano hayatawezekana basi jikaze tu mlee hao watoto kwa pamoja.
 
amini na kwambia kitu kimoja tu
Wangekuwa watu wakupanga strategies ningechukua tuzo kwenye lolote
Naamini despite the fact kakosea nk ila mynext moves matter alot maana by any means either move i take i know i wiL win
Kama nilivyokuambia awali nimepata huku kaz ndo mana nataka kutumia mda huu pia kuanza kupata kaz tena dar...
Yan hata nikiambiwa kuna salary take home 500k naenda
Mycv is very good in no time najua ntapata pengine worth myskills
Ndo mana nimekuwa nimeishiwq option sana esp hku ni ugenin na yey mwenyej mie nikupanga timetable tu upya ya mida ya kurud nk asisikie saut yangu wala tusitiane machoni hata afu siku ikifika naaga nawanangu
Na trust me dec haifiki mana nimetibuliwa afu gafla sna
Wewe una stress halafu hujui! Wewe mwenyewe unalialia hapa kwamba ushafanya kila unachoweza ila umegonga mwamba halafu ghafla unataka kudai move yeyote utakayochukua utashinda? Ingekuwa hivyo si ungeshashinda na hizo moves zako? Wewe kubali hii ngoma nzito, maji yamezidi kimo. Na huyo mwanamke anakupanda kichwani kwa sababu ya hizi unazoita strategies na moves. Utakuja kuuawa kwa sababu unaleta mikakati mireeefu kwenye jambo ambalo hadi sasa hivi linaonekana liko wazi kwa karibia kila mtu humu!

Kama ni msomaji wa JF angalia hata wanawake huwa wanapenda kuteteana lakini hapa kwako karibia wote wanakwambia unapotea.

Inawezekana kweli wewe ushakuwa teja Kama alivyosema NANDERA na hata zifike kurasa 100 huwezi kuelewa kama alivyosema snowhite.

Inaonekana umekuja hapa ili upewe maneno ya faraja uendelee na mkeo. Well, endelea na mkeo mkuu kwani nini bana.
 
Huu ndio uanaume mkuu ila jamaa anazingua sana sijui bado ana moyo wa kivulanaa
Usiwe kigang'anizi. Wanawake (mkeo) mapenzi yao ni all about feelings. Zikikata hata umfanyeje hawezi kuinjoi.

We achana naye mwache aishi maisha yake. Kwanini uwe kikwazo kwa maisha ya mwenzio eti kisa ndoa?;?!
Kakukimbia Dar, ukamfata Moro, why this?

Watoto wappo na utawakuta.


Ukiendelea kugang'ania utayiliwa sumu ufe umpishee.

Kusema kweli, we ni bonge la boya. Mkeo analetwa na gari 15mins unawachungulia tu?;?! Tena usiku? Wamelewa? Na wewe mkeo alijua haupo?
Kwani vioo vya gari bei gani?!?!!

Zuzu saaana.

Mkeo eti anakwambia usiwe unachunguza vitu vyake nawe unasema samahani, kenge kweli. Vittu vyake vyenu??

Yaani nna hasira utadhani me ndo babako.

Kulialia ni ujingaa.

BAADA YA KUSOMA POST HII. MPIGIE/MWAMBIE HUYO MWANAMKE KUANZIA LEO SIO MKEO, NI MZAZI MWENZIO.

NAJUA UNAOGOPA KISA ULIMZOEA, ULIVOZOEA KUWA NAYE, NDIVYO UTAKAVYOZOEA UPWEKE.

NB: BAADA YA KUACHANA NAE, USIKURUPUKE KUJIINGIZA KWENYE MAHUSIANO MAPYA WALA KUNYWA POMBE, KOMAAA NA MAUMIVU MPAKA UHISI KUFA, HUO NDO UANAUME
 
Kamata chick mtaani amalize kiu yako usihangaike na mwanamke asiyejali feelings zako
 
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu

Ila pole sana mkuu
 
Muache,ukimng'ang'ania atakuja kusababisha uuawe hata na wanaume ambao yeye atawaambia unambana.Kua makini ndugu.
 
Back
Top Bottom