Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Kuna watu Wana shida ya kuolewa kama walokole?!
Kuna watu Wana shida na ajira kama walokole
Kuna watu wanateseka kwenye ndoa sahivi kama walokole?!

Walokole ilikuwa wakati wetu bwana Miaka ya 70 mpaka 80, ukiona ndoa ya Mlokole unatamani uipate muda huo huo, ilikuwa Raha, Amani, furaha, wakweli, wanaupendo

Sio sasa hivi uncle, Kwanza hamna MTU sahivi ana hamu na walokole Kwa taarifa yako, basi Tu hujui watu walivyowachoka

Cc: Smart911 KENZY Pablo mahondaw Daudi Mchambuzi yuzazifu
Unajua wengi wanaenda kwenye ulokole baada ya kupigika huko duniani, lakini walioanzia humo hawana shida hizo wewe fanya utafiti utasikia nimezunguka sana kwa wataalamu mara kwa babu sasa ulokole na wataalamu wapi na wapi, unajua hata waoaji wakilokole wanachumbia wanaofahamiana nao humo humo sio umetoka huko eti unakuja kutafuta mme kwa walokole utaishia kuimba mapambio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeokoka, ndio mwaka wa 30 sasa nipo ndani ya Yesu, ukubali ukatae hainihusu. Lakini sicho kilichonileta hapa, kilichonileta hapa ni hii kitu inaitwaga "NDOA"

Ndoa Bwana hainaga mwenyewe, Mungu aliotoa ndoa Kwa waliookoka, wapagani na wasiookoka, huu NI ukweli na hakuna upendeleo, kama vile mvua na jua vinavyowashukia watu wote Duniani, waovu na watakatifu

Nachopenda kushauri wale ndugu zangu waliookoka tunaotarajia kwenda Mbinguni, ikija kuhusu Swala la "NDOA" bwana tumia akili sana alizokupa Mwenyezi Mungu

Kwa Mfano:
1. Kabla haujaolewa kuna yale mavazi ilikuwa unatupia mumeo akakutamani nayo anakuweka kichwani ukamchanganya mpaka akakuwowa! Yale mavazi sikuhizi mbona hauvai, hata mkiwa na mumeo wawili?

2. Yale mauno ulikuwa unayakata kabla hujaokoka kwa mumeo, sikuhizi mbona haumkatii unasema Mungu hapendi?

3. Yale maneno machafu yaleeee. Ulikuwa unamwambia mumeo mpaka anasimamisha mkiwa wawili chumbani, mbona sikuhizi haumuongeleshi tena? Kisa umeokoka au? Jamani mnafeli wapi wenzetu?

4. Ule utundu utundu ule wa tendo la ndoa, ulokuwa unaufanya sebuleni, kwenye gari, jikoni, bafuni, ulikuwa ukimchanganyia nao mumeo katika kukoleza penzi Lenu, mbona skuhizi hauufanyi? Shetani gani amekubadilisha?

Ndio Biblia umesema Ndoa na iheshimiwe na watu wote, lakini haijasema uonekane mchovu na kilaza wa Mapenzi au ukaushe our sex life katika ndoa yetu au uanze kunihubiria Kila unapoambiwa na mume umpe Haki yake pale linapokuja swala la Unyumba ndani ya ndoa.

Msimpe shetani nafasi walokole wenzangu, me kwenye swala la Unyumba na tendo la ndoa ulokole naeekaga pembeni Kwanza, staki mchezo kabisa nipo serious
Tena nahakikisha kiuno nakikata kama feni mbovu
Au nakosea wajameni?

Nipo hapa ofisini narekodi kipindi cha YouTube cha kuhusu ndoa ya waliookoka na wasiookoka ipi inapendeza zaidi?

Wewe ni mfundaji kama waswahili wengine tu. Sasa unasema msimpe shetani nafasi, wakati hujui hata misingi ya ndoa ya kikristo. Unachofundisha hakina msingi wa Kristo wala hakukufanyi ufurahie tendo la ndoa, ni upofu tu wa kiroho. Unahitaji kumpokea Kristo maishani mwako.

2 Wakorintho 4
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³ Lakini ikiwa injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea;
⁴ ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


Amina.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Nyie walokole wa sasa mnazama chumvini??
Mnaongea dirty talk kumfanyia mwanaume asimamishe?!
Mnafanya doggy style?!
Mnfanya chumbani Tu au mpaka na jikoni??
Naomba majibu plz
Au mnaingiliana nyuma?
.... and the list goes on.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Leta mstari unaosema estther alikua ana onyesha mapaja kama hayo yako.

Usilazimishe maisha yako yawe ya wengine.. kama wanafurahia ndoa zao wewe inakuhusu nini?
Naona Mlokole nimekugusa
Hongera Kwa kuumia Ila ukweli umeupata

Nawaomba plz Kwa jina la Yesu Kristo alie jai, nyie walokole pamoja na wewe mkereketwa WA walokole au PR WA walokolea Fanyeni KAZI kama walokole wa kwenye Biblia, acheni uvivu jamaa mnaboa na mnamhuzunisha Sana Mungu na kumfurahisha shetani
hatukumsoma Esther kwenye Biblia akiwa mvivu kitandani, lakini alimkatia mauno mfalme ahasuero mpaka akamfanya malkia Kwa Neema ya Mungu

Yesu Kristo alikuwa fundi seremala

Paulo alikuwa fundi cherahani, alishona maturubai na tents

Na nikisema uvivu Ninamaanisha kwenye sekta zote za maisha sio kwenye Unyumba Tu

Umeskia na wewe Ulweso ?!

Cc: mahondaw Smart911 KENZY Extrovert yuzazifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unasakama sana walokole..? Shida yako nini? Si waache wateseke? Mbona wao hawana muda na issue zako?
Kuna watu Wana shida ya kuolewa kama walokole?!
Kuna watu Wana shida na ajira kama walokole
Kuna watu wanateseka kwenye ndoa sahivi kama walokole?!

Walokole ilikuwa wakati wetu bwana Miaka ya 70 mpaka 80, ukiona ndoa ya Mlokole unatamani uipate muda huo huo, ilikuwa Raha, Amani, furaha, wakweli, wanaupendo

Sio sasa hivi uncle, Kwanza hamna MTU sahivi ana hamu na walokole Kwa taarifa yako, basi Tu hujui watu walivyowachoka

Cc: Smart911 KENZY Pablo mahondaw Daudi Mchambuzi yuzazifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo na mkeo nyumbani halafu nguo anazo vaa ni Yale magauni marefu wana yaita " Yesu ni Mwamba"
HELL NOOOOO!!!!

Uzuri wa kuwa na MKE nyumbani awe nusu uchi nusu uchi

Magauni peleka Kwa Baba ako mzazi
LIKUD hufai......Eti gauni linaitwa YESU NI MWAMBA...
 
Money penny anataka kusema wadada walokole hawajui mambo ya ndani, mbona bdio ndoa zai zimetulia.

Hao wanaume anaosema wana lala mika wametoka wapi, maana wanaume walokole wanashukuru Mungu kupata wanwake walokole.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanashukuru wapi?!
Woi labda kanisani kwao ili sadaka zitolewe lakini ukweli WA Mungu angeshuka Mungu akaweka bayana ukweli WA Mambo, ungewapigia makofi wenye dhambi wenye ndoa zao

Me nakwambia walokole tunakutana NAO huku kwenye misele, disko, 5stars hotel wametoka kudunya mademu WA watu tena vitoto vya Miaka 25 mpaka 26, Ila MKE hajui anamshukuru Mungu Kwa ajili ya mumewe na kujitamba mume wangu mzuri, ananipenda, hachepuki, mwisho wa siku wanakuja kuletewa watoto wa nje washakuwa wakuubwa wanasoma vyuo vikuu

We anti embu ongea practicability na sio theory, utachekwa na Jamii
Cc: Bujibuji Smart911 KENZY kabanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom