Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Umeniitaa BRO at the same time SON!Bro kuna watu wameokoka wakiwa wameoana jamaaa
Sijaongelea wanandoa ambao ni walokole kabla hawajaona
Plz continue to read between the lines son
Unajua wengi wanaenda kwenye ulokole baada ya kupigika huko duniani, lakini walioanzia humo hawana shida hizo wewe fanya utafiti utasikia nimezunguka sana kwa wataalamu mara kwa babu sasa ulokole na wataalamu wapi na wapi, unajua hata waoaji wakilokole wanachumbia wanaofahamiana nao humo humo sio umetoka huko eti unakuja kutafuta mme kwa walokole utaishia kuimba mapambioKuna watu Wana shida ya kuolewa kama walokole?!
Kuna watu Wana shida na ajira kama walokole
Kuna watu wanateseka kwenye ndoa sahivi kama walokole?!
Walokole ilikuwa wakati wetu bwana Miaka ya 70 mpaka 80, ukiona ndoa ya Mlokole unatamani uipate muda huo huo, ilikuwa Raha, Amani, furaha, wakweli, wanaupendo
Sio sasa hivi uncle, Kwanza hamna MTU sahivi ana hamu na walokole Kwa taarifa yako, basi Tu hujui watu walivyowachoka
Cc: Smart911 KENZY Pablo mahondaw Daudi Mchambuzi yuzazifu
Yaani ukifuatilia wengi ni wale waliozunguka huko weeee ndiyo wanakimbilia kanisani ndiyo hao unajua ukiwa vuguvugu lazima roho wa Mungu akukimbieWanakua walokole baada ya shida kuwakaba koo. Nje mlokoke roho imejaa uchu
Kwanini unanitukana aiseeNyie walokole wa sasa mnazama chumvini??
Mnaongea dirty talk kumfanyia mwanaume asimamishe?!
Mnafanya doggy style?!
Mnfanya chumbani Tu au mpaka na jikoni??
Naomba majibu plz
Mimi nimeokoka, ndio mwaka wa 30 sasa nipo ndani ya Yesu, ukubali ukatae hainihusu. Lakini sicho kilichonileta hapa, kilichonileta hapa ni hii kitu inaitwaga "NDOA"
Ndoa Bwana hainaga mwenyewe, Mungu aliotoa ndoa Kwa waliookoka, wapagani na wasiookoka, huu NI ukweli na hakuna upendeleo, kama vile mvua na jua vinavyowashukia watu wote Duniani, waovu na watakatifu
Nachopenda kushauri wale ndugu zangu waliookoka tunaotarajia kwenda Mbinguni, ikija kuhusu Swala la "NDOA" bwana tumia akili sana alizokupa Mwenyezi Mungu
Kwa Mfano:
1. Kabla haujaolewa kuna yale mavazi ilikuwa unatupia mumeo akakutamani nayo anakuweka kichwani ukamchanganya mpaka akakuwowa! Yale mavazi sikuhizi mbona hauvai, hata mkiwa na mumeo wawili?
2. Yale mauno ulikuwa unayakata kabla hujaokoka kwa mumeo, sikuhizi mbona haumkatii unasema Mungu hapendi?
3. Yale maneno machafu yaleeee. Ulikuwa unamwambia mumeo mpaka anasimamisha mkiwa wawili chumbani, mbona sikuhizi haumuongeleshi tena? Kisa umeokoka au? Jamani mnafeli wapi wenzetu?
4. Ule utundu utundu ule wa tendo la ndoa, ulokuwa unaufanya sebuleni, kwenye gari, jikoni, bafuni, ulikuwa ukimchanganyia nao mumeo katika kukoleza penzi Lenu, mbona skuhizi hauufanyi? Shetani gani amekubadilisha?
Ndio Biblia umesema Ndoa na iheshimiwe na watu wote, lakini haijasema uonekane mchovu na kilaza wa Mapenzi au ukaushe our sex life katika ndoa yetu au uanze kunihubiria Kila unapoambiwa na mume umpe Haki yake pale linapokuja swala la Unyumba ndani ya ndoa.
Msimpe shetani nafasi walokole wenzangu, me kwenye swala la Unyumba na tendo la ndoa ulokole naeekaga pembeni Kwanza, staki mchezo kabisanipo serious
Tena nahakikisha kiuno nakikata kama feni mbovu
Au nakosea wajameni?
Nipo hapa ofisini narekodi kipindi cha YouTube cha kuhusu ndoa ya waliookoka na wasiookoka ipi inapendeza zaidi?
Au mnaingiliana nyuma?Nyie walokole wa sasa mnazama chumvini??
Mnaongea dirty talk kumfanyia mwanaume asimamishe?!
Mnafanya doggy style?!
Mnfanya chumbani Tu au mpaka na jikoni??
Naomba majibu plz
Naona Mlokole nimekugusa
Hongera Kwa kuumia Ila ukweli umeupata
Nawaomba plz Kwa jina la Yesu Kristo alie jai, nyie walokole pamoja na wewe mkereketwa WA walokole au PR WA walokolea Fanyeni KAZI kama walokole wa kwenye Biblia, acheni uvivu jamaa mnaboa na mnamhuzunisha Sana Mungu na kumfurahisha shetani
hatukumsoma Esther kwenye Biblia akiwa mvivu kitandani, lakini alimkatia mauno mfalme ahasuero mpaka akamfanya malkia Kwa Neema ya Mungu
Yesu Kristo alikuwa fundi seremala
Paulo alikuwa fundi cherahani, alishona maturubai na tents
Na nikisema uvivu Ninamaanisha kwenye sekta zote za maisha sio kwenye Unyumba Tu
Umeskia na wewe Ulweso ?!
Cc: mahondaw Smart911 KENZY Extrovert yuzazifu
Kuna watu Wana shida ya kuolewa kama walokole?!
Kuna watu Wana shida na ajira kama walokole
Kuna watu wanateseka kwenye ndoa sahivi kama walokole?!
Walokole ilikuwa wakati wetu bwana Miaka ya 70 mpaka 80, ukiona ndoa ya Mlokole unatamani uipate muda huo huo, ilikuwa Raha, Amani, furaha, wakweli, wanaupendo
Sio sasa hivi uncle, Kwanza hamna MTU sahivi ana hamu na walokole Kwa taarifa yako, basi Tu hujui watu walivyowachoka
Cc: Smart911 KENZY Pablo mahondaw Daudi Mchambuzi yuzazifu
Jamani!
Me naomba Yesu sasa arudi Tu, maana mapicha tunayoyaona yamezidi maandiko ya Biblia asee
Sijui akirudi ataondoka na Nani maskini
Money Penny Bado umeniacha kwenye mawazo mapana, naendelea kutathmini hayo mauno yako na hilo Tako ulilonalo.
LIKUD hufai......Eti gauni linaitwa YESU NI MWAMBA...Upo na mkeo nyumbani halafu nguo anazo vaa ni Yale magauni marefu wana yaita " Yesu ni Mwamba"
HELL NOOOOO!!!!
Uzuri wa kuwa na MKE nyumbani awe nusu uchi nusu uchi
Magauni peleka Kwa Baba ako mzazi
kitandani sio dhambi....Sijui kuhusu walokole wengine lakini najua Kuongea maneno mabaya NI dhambi
NI sheedahMoney Penny Bado umeniacha kwenye mawazo mapana, naendelea kutathmini hayo mauno yako na hilo Tako ulilonalo.
Nipo bossBoss lady you are back again!
You are warmly welcomed
We micd you more.
Wanashukuru wapi?!Money penny anataka kusema wadada walokole hawajui mambo ya ndani, mbona bdio ndoa zai zimetulia.
Hao wanaume anaosema wana lala mika wametoka wapi, maana wanaume walokole wanashukuru Mungu kupata wanwake walokole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wanamwambia hata uvunguni Kuongea maneno machafu ya kusimamisha dude NI dhambi, maana huko uvunguni Mungu anakusikia🏃🏃🏃kitandani sio dhambi....