Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Unajua wengi wanaenda kwenye ulokole baada ya kupigika huko duniani, lakini walioanzia humo hawana shida hizo wewe fanya utafiti utasikia nimezunguka sana kwa wataalamu mara kwa babu sasa ulokole na wataalamu wapi na wapi, unajua hata waoaji wakilokole wanachumbia wanaofahamiana nao humo humo sio umetoka huko eti unakuja kutafuta mme kwa walokole utaishia kuimba mapambio

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha mapambio 😂😂😂😂
 
Wewe ni mfundaji kama waswahili wengine tu. Sasa unasema msimpe shetani nafasi, wakati hujui hata misingi ya ndoa ya kikristo. Unachofundisha hakina msingi wa Kristo wala hakukufanyi ufurahie tendo la ndoa, ni upofu tu wa kiroho. Unahitaji kumpokea Kristo maishani mwako.

2 Wakorintho 4
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³ Lakini ikiwa injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea;
⁴ ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


Amina.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Hizo kifungu haziendani na Uzi huu we mtoto

Embu naomba tafuta maandiko yaku-back up huu Uzi, usijilipue kama MTU aliechanganyikiwa

Unataka kuisaidia Jamii au kuokosoa Lete risiti zilizoshiba tuchuane
 
Au mnaingiliana nyuma?
.... and the list goes on.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Hahahaha bwana usiwaambie wenzio habari ya sodoma na gomora NI dhambi, sio Kwa walokole Tu hata sie wataenda dhambi
 
Leta mstari unaosema estther alikua ana onyesha mapaja kama hayo yako.

Usilazimishe maisha yako yawe ya wengine.. kama wanafurahia ndoa zao wewe inakuhusu nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mpendwa
And who said that's my photo?!
Yani Ur too quick to judge anti, ndio shida ya walokole
Wepesi WA kuhukumu na kusengenya!
 
Kuna vile nampaga za uvinza manzi after every two weeks nakaa wilayani 2hrs ndio naanza kikaoshirikishi basi anapata usngz lala 5hrs+, aliewaumbia kisimi aliwaza sana,
 
Mbona unasakama sana walokole..? Shida yako nini? Si waache wateseke? Mbona wao hawana muda na issue zako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mngekuwa hamna muda na ishu zangu wewe usingekuwa hapa unajidhalilisha na kucomment vitu ambavyo vipo obvious na ulimwengu wote unawafahamu fika😂😂😂
Maskini, uwanja WA shetani umenoga eee?! Unaona usogee sogee labda utahubiri 😂😂😂🏃🏃🏃
Jihubirie kwanza wewe, kabla haujaondoa boriti ya hicho langu, hakikisha kibanzi chako kimekaa Sawa anti
kabanga Bujibuji KENZY Smart911
 
Wewe money penny nikikuona mbinguni , nitagoma kuingia..

Sent using Jamii Forums mobile app
Good, na Mungu ajibu maombi yako ili nikuone unavyoungua kwenye tanuru la Moto kama Kuni.
MY God, kwani hujasoma Biblia umesema Malaya ndio tutaongoza kuingia Mbinguni??😂😂😂🏃🏃

Pia hukusoma aliposema WA mwisho atakuwa WA Kwanza?!

Watch and Learn sister thing! Watch and Learn!
 
Wanashukuru wapi?!
Woi labda kanisani kwao ili sadaka zitolewe lakini ukweli WA Mungu angeshuka Mungu akaweka bayana ukweli WA Mambo, ungewapigia makofi wenye dhambi wenye ndoa zao

Me nakwambia walokole tunakutana NAO huku kwenye misele, disko, 5stars hotel wametoka kudunya mademu WA watu tena vitoto vya Miaka 25 mpaka 26, Ila MKE hajui anamshukuru Mungu Kwa ajili ya mumewe na kujitamba mume wangu mzuri, ananipenda, hachepuki, mwisho wa siku wanakuja kuletewa watoto wa nje washakuwa wakuubwa wanasoma vyuo vikuu

We anti embu ongea practicability na sio theory, utachekwa na Jamii
Cc: Bujibuji Smart911 KENZY kabanga
😂😂
Unamshushua mtu wa watu!

Hao wanaoleta ulokole kwenye mapenzi nawakemea kwa ukali!..
Wanatunyima haki za msingi raha ya Lile tendo kuwa na uhuru wa uwili.
 
Mngekuwa hamna muda na ishu zangu wewe usingekuwa hapa unajidhalilisha na kucomment vitu ambavyo vipo obvious na ulimwengu wote unawafahamu fika😂😂😂
Maskini, uwanja WA shetani umenoga eee?! Unaona usogee sogee labda utahubiri 😂😂😂🏃🏃🏃
Jihubirie kwanza wewe, kabla haujaondoa boriti ya hicho langu, hakikisha kibanzi chako kimekaa Sawa anti
kabanga Bujibuji KENZY Smart911
😂😂
Walokole wanakesi nawewe si bure!
Kuna mkasa upi wamekutenda..?
 
Sasa maney panny hao unao kutana nao si walokole na we mwenyewe sio mlokole.. mlokole gani unaenda disko..

Kama unataka walokole wa kweli njoo church.

Haya unayo yaongea ni uzushi tuu, mbona malaya wanabinua vijno hadi mitaani na hawaolewi ?

Sinawahi sikia malalamiko kwa mwanaume yeyote labda matatizo mengine lakini sio huu uzushi.
Wanashukuru wapi?!
Woi labda kanisani kwao ili sadaka zitolewe lakini ukweli WA Mungu angeshuka Mungu akaweka bayana ukweli WA Mambo, ungewapigia makofi wenye dhambi wenye ndoa zao

Me nakwambia walokole tunakutana NAO huku kwenye misele, disko, 5stars hotel wametoka kudunya mademu WA watu tena vitoto vya Miaka 25 mpaka 26, Ila MKE hajui anamshukuru Mungu Kwa ajili ya mumewe na kujitamba mume wangu mzuri, ananipenda, hachepuki, mwisho wa siku wanakuja kuletewa watoto wa nje washakuwa wakuubwa wanasoma vyuo vikuu

We anti embu ongea practicability na sio theory, utachekwa na Jamii
Cc: Bujibuji Smart911 KENZY kabanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo kifungu haziendani na Uzi huu we mtoto

Embu naomba tafuta maandiko yaku-back up huu Uzi, usijilipue kama MTU aliechanganyikiwa

Unataka kuisaidia Jamii au kuokosoa Lete risiti zilizoshiba tuchuane
Hizo lugha za mlima wa moto ni hatari kweli kweli. Anyway, nilikuwa najaribu kuona ni aina gani ya mtu najadili naye. Nitarudi

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
😂😂
Unamshushua mtu wa watu!

Hao wanaoleta ulokole kwenye mapenzi nawakemea kwa ukali!..
Wanatunyima haki za msingi raha ya Lile tendo kuwa na uhuru wa uwili.
Can I get an Aaaaaaamen, somebody 🙏
 
😂😂
Walokole wanakesi nawewe si bure!
Kuna mkasa upi wamekutenda..?
Wala, wananitendea wap wakati me maswali Lutheran?? 😂😂😂😂
Nipo na Askofu wangu, Baba Askofu Malasusa hakuna vurugu kabisa huku kwetu, NI Amani 🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom