Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Natamani ungezaliwa Miaka ya 50 au 40 ungewaona walokole WA zAmani walivyokuwa wakweli kuanzia ndani ya roho zao mpaka nje kwenye matendo
Yani hata Mungu hajui awafanyaje hawa WA sasa jamani, wamezidisha mapicha na usanii na uongo Sana,
Me Kila siku namwambiaga Yesu arudi Tu, maana imeshakuwa too much
Watu wanaacha ulokole sahivi wanarudi kwenye dini zao maana wamechoka mapicha
Kwahiyo nyinyi walokole wa zamani ndo mliambiwa muwe mnavaa ile miwani mikubwa kama dalali wa ng'ombe..??😂
 
Kwahiyo nyinyi walokole wa zamani ndo mliambiwa muwe mnavaa ile miwani mikubwa kama dalali wa ng'ombe..??😂
Walokole WA zAmani walikuwa wanavaa miwani wanaitoa wap sasa?!
Embu kuwa serious basi we mtoto, sie tupo serious wewe unatu-ektia?! Mxiuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom