Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Sasa maney panny hao unao kutana nao si walokole na we mwenyewe sio mlokole.. mlokole gani unaenda disko..

Kama unataka walokole wa kweli njoo church.

Haya unayo yaongea ni uzushi tuu, mbona malaya wanabinua vijno hadi mitaani na hawaolewi ?

Sinawahi sikia malalamiko kwa mwanaume yeyote labda matatizo mengine lakini sio huu uzushi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Disko gan nimeenda dada?! Una risiti ya Mimi kwenda disko??
Misele sio disko
Unajua ukishakuwa unaishi kwenye YAI, kujua yanayoendelea nje ya YAI NI NGUMU Sana, na hata ulitaka kuyajua unakatazwa na kukemewa kwa nguvu maana NI dhambi😂😂😂
Sasa anti wewe endelea kuishi kwenye YAI mpaka YESU aje akuchukue mawinguni

Tuache Sisi tunaoishi nje ya YAI, tuendelee na maisha, mwisho wa siku mahesabu NI Mbinguni

Like the Bible says, WA mwisho sikuzote atakuwa WA Kwanza, usishangae Malaya akaongoza Kwenye Kiti cha Enzo lakini nyie mnaojiita watakatifu mkafungiwa mlango WA Mbinguni

Malaya Huyo Huyo unaemsema kumbuka Kristo alikufa Kwa ajili yake

Ngoja tuendelee kukufaidi Dunia we kaa kwenye YAI kwanza
 
Hizo lugha za mlima wa moto ni hatari kweli kweli. Anyway, nilikuwa najaribu kuona ni aina gani ya mtu najadili naye. Nitarudi

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Defeated son of Man 😂😂😂
Mkajipange upya waumini WA Mchungaji Gwajima

Hamkujua kuwa Injili ilianza kwetu Sisi akina Penny eee?!
Ilooooo umezodoka 😂😂😂😂 Bye Ashes 😂😂😂
 
A we siji huko utanifanya mbuzi wa kafara sina hela sahivi mpaka korona iishe😜
Nisije kukufungulia uzi humu bure nikikufananisha na forex!!
Unanifungulia Uzi Kwa lipi?! 😂😂😂
Wenye characters kama zako walishakujaga wakaangukia pua Kila wakipiga simu anapokea wasiemtegemea
Sasa hivi wananiheshimu wote na kuniita Madam au Dada Lao au Mama Lao🏃🏃🏃💃💃💪
 
Unanifungulia Uzi Kwa lipi?! 😂😂😂
Wenye characters kama zako walishakujaga wakaangukia pua Kila wakipiga simu anapokea wasiemtegemea
Sasa hivi wananiheshimu wote na kuniita Madam au Dada Lao au Mama Lao🏃🏃🏃💃💃💪
Mi naakili kuwazidi hao😜
Ndio maana nikaona isiwe tabu..

Lakini nisingekutongoza hofu yako tu kwani hutaki rafiki..??
 
Ndoa zao ni za kichovu sana sana. Maigizo ni mengi.

Hata ukitaka kufanya unyumba, eti lazima bwana wa majeshi aulizwe kwanza.
 
Defeated son of Man
Mkajipange upya waumini WA Mchungaji Gwajima

Hamkujua kuwa Injili ilianza kwetu Sisi akina Penny eee?!
Ilooooo umezodoka Bye Ashes
What for? Mimi sijadili na mtu mwenye lugha za kikahaba, labda nikufundishe tu. Andiko lako ni very empty wala halina mashiko tena ni jepesi tu kulichana chana. Baseless arguments based on fake assumptions

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Mi naakili kuwazidi hao😜
Ndio maana nikaona isiwe tabu..

Lakini nisingekutongoza hofu yako tu kwani hutaki rafiki..??
Nina MARAFIKI laki 5 kwenye website yangu na wanaongezeka Kila siku
Wewe hutokuwa WA 1 wala wamwisho
 
Ndoa zao ni za kichovu sana sana. Maigizo ni mengi.

Hata ukitaka kufanya unyumba, eti lazima bwana wa majeshi aulizwe kwanza.
😂😂😂😂😂😂🏃🏃🏃
NI Muhimu kumshirikisha Mungu kwenye kufanya Mapenzi unajua
 
What for? Mimi sijadili na mtu mwenye lugha za kikahaba, labda nikufundishe tu. Andiko lako ni very empty wala halina mashiko tena ni jepesi tu kulichana chana. Baseless arguments based on fake assumptions

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Ilooo😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom