Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

🙄😜
Kwangu ni hakuna mkate mgumu mbele ya chai nikitaka nakukula tu maana siji unavyodhani!! Nakuja kiyesuyesu mbona utatoa tu😜😂😂
Wenzio walikuja kimtume, kiyesu, kindoa wote walifeli
Chezea secretary WA James Bond wewe😂😂
 
Wenzio walikuja kimtume, kiyesu, kindoa wote walifeli
Chezea secretary WA James Bond wewe😂😂
😂😂
Naona unataka kuniloa wewe!
Hizo mbinu zako tu siji mpaka korona iishe usije nifanya nife kwa kutokupumua😂
 
Mimi nimeokoka, ndio mwaka wa 30 sasa nipo ndani ya Yesu, ukubali ukatae hainihusu. Lakini sicho kilichonileta hapa, kilichonileta hapa ni hii kitu inaitwaga "NDOA"

Ndoa Bwana hainaga mwenyewe, Mungu aliotoa ndoa Kwa waliookoka, wapagani na wasiookoka, huu NI ukweli na hakuna upendeleo, kama vile mvua na jua vinavyowashukia watu wote Duniani, waovu na watakatifu

Nachopenda kushauri wale ndugu zangu waliookoka tunaotarajia kwenda Mbinguni, ikija kuhusu Swala la "NDOA" bwana tumia akili sana alizokupa Mwenyezi Mungu

Kwa Mfano:
1. Kabla haujaolewa kuna yale mavazi ilikuwa unatupia mumeo akakutamani nayo anakuweka kichwani ukamchanganya mpaka akakuwowa! Yale mavazi sikuhizi mbona hauvai, hata mkiwa na mumeo wawili?

2. Yale mauno ulikuwa unayakata kabla hujaokoka kwa mumeo, sikuhizi mbona haumkatii unasema Mungu hapendi?

3. Yale maneno machafu yaleeee. Ulikuwa unamwambia mumeo mpaka anasimamisha mkiwa wawili chumbani, mbona sikuhizi haumuongeleshi tena? Kisa umeokoka au? Jamani mnafeli wapi wenzetu?

4. Ule utundu utundu ule wa tendo la ndoa, ulokuwa unaufanya sebuleni, kwenye gari, jikoni, bafuni, ulikuwa ukimchanganyia nao mumeo katika kukoleza penzi Lenu, mbona skuhizi hauufanyi? Shetani gani amekubadilisha?

Ndio Biblia umesema Ndoa na iheshimiwe na watu wote, lakini haijasema uonekane mchovu na kilaza wa Mapenzi au ukaushe our sex life katika ndoa yetu au uanze kunihubiria Kila unapoambiwa na mume umpe Haki yake pale linapokuja swala la Unyumba ndani ya ndoa.

Msimpe shetani nafasi walokole wenzangu, me kwenye swala la Unyumba na tendo la ndoa ulokole naeekaga pembeni Kwanza, staki mchezo kabisa 🏃🏃🏃🏃🏃 nipo serious🙈
Tena nahakikisha kiuno nakikata kama feni mbovu😂😂😂🙏
Au nakosea wajameni?

Nipo hapa ofisini narekodi kipindi cha YouTube cha kuhusu ndoa ya waliookoka na wasiookoka ipi inapendeza zaidi?

Umelenga point. Suala jingine la ndoa za kilokole ni kwamba kanisa linaingia hadi chumbani. Mchungaji anaheshimiwa kuliko mume, stupid. Mke anamnyeyekea mchugaji kuliko mume. Mchungaji hadi anafikia hatua ya kudictate mume apewe tendo au la. Mke anapeleka kesi za chumbani nyumbani kwa mchungaji?? Kesi inaamuliwa kanisani. Hii inapelekea ndoa zinakua hazina misingi inavyotakiwa.

Kama mchungaji anaweza kuamua kesi zenu na kuwapangia ratiba za kimaisha basi hapo ni ujingaujinga mtupu. Kuna muda mchungaji anashauri hadi finances za familia. Ujinga ni mwingi sana.
 
Umelenga point. Suala jingine la ndoa za kilokole ni kwamba kanisa linaingia hadi chumbani. Mchungaji anaheshimiwa kuliko mume, stupid. Mke anamnyeyekea mchugaji kuliko mume. Mchungaji hadi anafikia hatua ya kudictate mume apewe tendo au la. Mke anapeleka kesi za chumbani nyumbani kwa mchungaji?? Kesi inaamuliwa kanisani. Hii inapelekea ndoa zinakua hazina misingi inavyotakiwa.

Kama mchungaji anaweza kuamua kesi zenu na kuwapangia ratiba za kimaisha basi hapo ni ujingaujinga mtupu. Kuna muda mchungaji anashauri hadi finances za familia. Ujinga ni mwingi sana.
Umeona weeee
Haya mje wabishi msome hapa KENZY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom