Comrade Kip
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 230
- 166
maendeleo ni muhim,,, lkn lazma yapimwe... api yana manufaa zaidi kwa wananchi.... personally, sidhani kama ndege ni hatua ya maendeleo.,,.Hapa Wachawi wa Maendeleo watakuja tu, na nimeona hapo Juu wameanza kulalamika, mtalalamika sana mwaka huu, na bado mwakani mtalia sana macho ya damu, lakini lazima Tununue Ndege.
Ninyi ndo awamu ya nne mlilalamika sana kuwa eti hata Rwanda wametuzidi, sasa mlidhani fedha za kununulia hizo ndege zingetoka wapi?
Lazima tufunge mkanda hadi malengo yetu yatimie, sasa hatutamsikiliza mtu tena hadi pale Ndege zetu zitakaponunuliwa, na bado Reli ya Standard gauge pesa zote zinaenda kwa kampuni husika, yaan mikanda tuliyojifunga tutaifungua mwaka 2019
serikali inatakiwa kutumia resources zake kuwfikia watu wengi as possible... sasa ndege zenywe wanao ziafford ni wachache sana... na pia kampuni za ndee zinapata hasara almost kila mwaka...
Naona hizi fedha zinge endeleza infrastructure sector ingne lkn sio aerocrafts