Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Siku zikitoa Bongo nazima tv yangu siku nzima maana kufanya mambo bila priority ni zaidi ya kero na maudhi matupu.

Ni kero na maudhi kumsikia mtu anajisifu kununua ndege kwa cash wakati wanafunzi wanakosa mikopo,madaktari na waalimu hawajiiriwa,madawa hospitalini shida,watumishi stahiki zao hawalipwi,watu wamesitishiwa ajira zao,wahanga wa tetemeko wanateseka,n.k.
Hata ukizima hilo chogo lako haiathiri chochote
 
uandishi wako una mapungufu makubwa ndio mana unapopolewa mawe. fanya utafiti kabla hujaropoka
ha haaa haaaa wewe huo uandishi umekamilika? ukitaka tuhamie huko hata ulichoandika kina mapungufu mengi sana
 
Yaani fastjet wanatangaza biashara mbaya kila siku sisi tunaongeza ndege mpya!
Shirika la serikali huwa halifi bali huhujumiwa, sasa wahujumu tayari matumbo joto.
 
pointi hapa ni biashara ya ndege inahitaji watu wawe na fedha, nadhani tungeweka sawa mambo mengine haya ya ndege yafuate,

Kupanga ni kuchagua!

Tukipewa mimi na wewe milioni moja, mathalani, hakika baada ya tuseme mwaka, tutakuwa na maendeleo tofauti. Mfano mwingine ni wa wafanyakazi wawili walioajiriwa siku moja, kwa kazi inayofanana na mshahara unaofana, lakini maendeleo yao binafsi yatapishana.

Nimetoa mifano hiyo nikirejea maelezo ya Rais kuhusu ununuzi wa ndege. Kwamba Tz ina sekta ya utalii ambayo ina mchango mkubwa kwenye uchumi wa Taifa, hususani pato la Taifa. Kwa misingi hiyo ni budi kuwa na usafiri wa anga wa uhakika kwa ajili ya watalii na hata usafiri wa humu ndani.

Pamoja na hayo, angani, ardhini na majini ni maeneo muhimu ya usafirishaji yenye faida na hasara zinazotofautiana lakini zenye kuwiana.
 
Soma nilichoandika ukielewe kama hujakielewa jaribu kutumia google translator ikishindikana kabisa tumia delphie technique laah haijawezekana kuelewa do not hesitate contact me the author!!
Unakana maneno yako mwenyewe, jaribu kuandika unachofahamu au kupitia sio story za watu. Aliyerudi ana sababu zake binafsi ila watu hawakurudishwa kama wanavyodai.
 
Siku zikitoa Bongo nazima tv yangu siku nzima maana kufanya mambo bila priority ni zaidi ya kero na maudhi matupu.

Ni kero na maudhi kumsikia mtu anajisifu kununua ndege kwa cash wakati wanafunzi wanakosa mikopo,madaktari na waalimu hawajiiriwa,madawa hospitalini shida,watumishi stahiki zao hawalipwi,watu wamesitishiwa ajira zao,wahanga wa tetemeko wanateseka,n.k.

Hilo li-turbo lako usizime mkuu, litupe tu siku hiyo, nitakukumbusha siku zinawasili.
 
Siku zikitoa Bongo nazima tv yangu siku nzima maana kufanya mambo bila priority ni zaidi ya kero na maudhi matupu.

Ni kero na maudhi kumsikia mtu anajisifu kununua ndege kwa cash wakati wanafunzi wanakosa mikopo,madaktari na waalimu hawajiiriwa,madawa hospitalini shida,watumishi stahiki zao hawalipwi,watu wamesitishiwa ajira zao,wahanga wa tetemeko wanateseka,n.k.
Laiti bwana yule angepewa ufahamu juu ya matatizo ya msingi ya watu wake asingilinunua mapangaboi yake.
 
e6e0a71cc727947ac3de04fd3b6a0612.jpg
Kulikoni hiyo ndege?
 
Somesheni kwanza!!!!!
Watoto wetu hawana mikopo vyuoni!!!! liserikali linakimbilia kununua mindege, huyu jamaa viiipi huyu?
 
JAMANI NAOMBA KUJUA KAMA TARATIBU GANI ZA MANUNUZI ZIMETUMIKA KUNUNUA HIZI NDEGE .....GAZETI GANI LA KIMATAIFA AU LA TANZANIA LIMETANGA HIZI TENDA .......AU KAMATI YA TENDA NI YA KINA NANI ......WAANDISHI WA HABARI NCHI HII MATATIZO SANA .....HATA KUHOJI JAMBO KAMA HILI WANASHINDWA .....PPRA WAKO WAPI????
 
Safi xaanaaa hadi fast jet wakatafute kwinginee. Tanzania mpya inakujaaa
Wewe hujawahi kupanda ndege, tunaopanda ndege Fastjet ndio mkombozi wa Watanzania wenye kipato kidogo.

Nina uhakika hata bei ya ticket za ATCL hujui otherwise usingeandika huu ushuzi wako.
 
Unaponunuwa ndege kwa cash wale waliopo kwenye Team ya majadiliano wanapewa commission yao ambayo haioneshwi kwenye client invoice lakini kwenye internal financial system yao inajulikana, na hii siyo rushwa bali ni system ya wazungu kulobby zabuni kubwa kubwa.

Nina uhakika hata Rais hajui wanavyomzunguka kwenye hizi purchase.

Hata kile kivuko kinachokwenda Bagamoyo kwa masaa matatu mheshimiwa akiwa waziri alizungukwa kwa style hii hii na watoto wa mjini na wakapiga pesa nzuri tu.

Hii ndio siri iliyojificha kwenye cash purchasing, na nina uhakika bwana mkubwa hajui pesa inavyoibwa kwa style ipi kwenye hayo manunuzi

Hiyo kazi ya kuagiza ndege hata ukinipa mimi ni lazima nitengeze pesa ndefu na invoice inakuja ya pesa ile ile iliyotolewa.
 
Back
Top Bottom