Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Wewe unadhani huto tu milioni 200$ ndito tungetatua matatizo yetu hayo uliyoorodhesha? Very poor thinking capacity. Hata huko kwenye nchi zilizoendelea kama USA kuna matatizo kama hayo hususani affordable huduma za afya (hence Obama care & the like), ukosefu wa ajira na kadhalika lakini serikali zao zinatumia mabilioni ya dolla kupeleka vyombo kuvinjari sayari zingine kama Mars and Jupita, kutengeneza silaha za maangamizi and so forth. Wewe umebaki na wimbo huo huo - tetemeko la Kagera, mikopo ya wanafunzi, ajira na uhaba wa madawa.
Acha kuwa mpuuzi wewe.Kulikuwa na ulazima gani wa kununua kwa cash?Tatizo ni kutaka sifa tu na hamna kingine.Mijitu mmejaa ubinafsi kisa shida na mateso wanapata wengine.
 
Acha uzushi aliyefutiwa ruhusa na kurudi kazini nani, mbona watu wapo nje ya nchi na wanasoma na wanapata haki kama kawa
Soma nilichoandika ukielewe kama hujakielewa jaribu kutumia google translator ikishindikana kabisa tumia delphie technique laah haijawezekana kuelewa do not hesitate contact me the author!!
 
Hapa Wachawi wa Maendeleo watakuja tu, na nimeona hapo Juu wameanza kulalamika, mtalalamika sana mwaka huu, na bado mwakani mtalia sana macho ya damu, lakini lazima Tununue Ndege, ninyi ndo awamu ya nne mlilalamika sana kuwa eti hata Rwanda wametuzidi, sasa mlidhani fedha za kununulia hizo ndege zingetoka wapi? lazima tufunge mkanda hadi malengo yetu yatimie, sasa hatutamsikiliza mtu tena hadi pale Ndege zetu zitakaponunuliwa, na bado Reli ya Standard gauge pesa zote zinaenda kwa kampuni husika, yaan mikanda tuliyojifunga tutaifungua mwaka 2019
Mwwkamja kabla ya uchaguzi kwi kwi kwi kwi.kwi.
 
Kuongeza ndege ili kuboresha usafiri hasa wa ndani ni jambo jema sana. Lakini ni muhimu pia kuongeza uwezo wa wananchi kuweza kusafiri na usafiri huo. Sasa hivi usafiri huo unaonekana kama ni luxury kwa walio wengi badala ya usafiri wa haraka.
Sio "unaonekana". Ni luxury hasa. Zaidi ya 80% hawana uwezo kuzipanda na waliobaki hawana sababu kuzipanda. Ndege nchi hii zinatumiwa na chini ya 2% ya watu. Hiyo pesa kununua hayo madudu ingefaa iende hospitalini mashuleni na mashambani. Kama kuna ziada iende kwenye uhuishaji wa viwanda.
 
Sio "unaonekana". Ni luxury hasa. Zaidi ya 80% hawana uwezo kuzipanda na waliobaki hawana sababu kuzipanda. Ndege nchi hii zinatumiwa na chini ya 2% ya watu. Hiyo pesa kununua hayo madudu ingefaa iende hospitalini mashuleni na mashambani. Kama kuna ziada iende kwenye uhuishaji wa viwanda.
MADUDU?
 
Wakati tunapambana kupata maendeleo ya vitu tukumbuke maendeleo ya watu.Maendeleo ya vitu ni Barabara,Reli,Ndege,Meli nk. Maendeleo ya watu ni Elimu bora kwa wote,Huduma bora za afya,Ajira,Makazi,Chakula nk.

zombi katika ubora wake ,
 
unabana matumizi maana yake watu na wenyewe watabana matumizi hivyo watu wachache zaidi watapanda ndege kipindi hiki kuliko zamani, ndio maana fast jet wamepunguza route
Sasa unaongeza ndege huku watu hawana income ya kupanda hizo ndege biashara itafanyikaje?
Ni kama una biashara yako kisha wafanyakazi wakapunguziwa mishahara yao, na wakati huo huo ukawaletea bidhaa za bei ghali na luxury unategemea wananunue
Muda utasema tu mkuu wala usihofu wenye mabasi wanalia abiria,ni jambo jema ila sio wakati muafaka maana fedha imebanwa kwenye mzunguko.
 
Hujui lolote kuhusu biashara ya ndege. Nani amekwambia fastjet ndiyo wasemaji wa biashara ya ndege tanzania?
mbona unakuwa mkali hivyo! mimi nimesema kwa uelewa wangu na wewe toa hoja zako kulingana na uchojua kwenye hiyo biashara
Ndio maana nimechukua fastjet kama reference yangu

Na wewe toa yako! acha umbumbumbu
 
Safi xaanaaa hadi fast jet wakatafute kwinginee. Tanzania mpya inakujaaa
Hivi umeelewa ulichokiandika

" mzunguko wa fedha umefinywa kwa serikali kuhamisha shughuli zake kutoka kwa taasisi za watu binafsi kurudi serikalini , wafanyakazi wana makato ya hifadhi za jamii lakini bado makato ya mkopo yameongezwa hadi asilimia 15 je, hii Ina maana gani kwa demand ya watu kwa usafiri wa ndege ?????.... "

Hivi unajua kuwa biashara ya ndege sio Kama kilimo ambayo inaweza kuendesheka kirahisi na kugusa maisha ya mtanzania kwa uharaka zaidi

Angalia mashirika ya ndege ya wenzetu yanavyohesabu hasara kila siku lakini sisi tunaotegemea masafa ya ndani ndo tufurahie. Airline ni prestige tu na kwa hali ya sasa ya Tanzania hivyo ni vitu visivyo na umaana mkubwa kwa sasa
 
Hahahaha Ngoja niwasiliane na wadau wangu kisongo wanipe habari mpya hahaahahha nipo sakina mkuu
e6e0a71cc727947ac3de04fd3b6a0612.jpg
 
mbona unakuwa mkali hivyo! mimi nimesema kwa uelewa wangu na wewe toa hoja zako kulingana na uchojua kwenye hiyo biashara
Ndio maana nimechukua fastjet kama reference yangu

Na wewe toa yako! acha umbumbumbu
uandishi wako una mapungufu makubwa ndio mana unapopolewa mawe. fanya utafiti kabla hujaropoka
 
Siku zikitoa Bongo nazima tv yangu siku nzima maana kufanya mambo bila priority ni zaidi ya kero na maudhi matupu.

Ni kero na maudhi kumsikia mtu anajisifu kununua ndege kwa cash wakati wanafunzi wanakosa mikopo,madaktari na waalimu hawajiiriwa,madawa hospitalini shida,watumishi stahiki zao hawalipwi,watu wamesitishiwa ajira zao,wahanga wa tetemeko wanateseka,n.k.
Punguza GUBU Mkuu.
 
Back
Top Bottom