Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
Sahau. Miaka 10 mtalalamikia kwanini wanashindwa kuendesha ndege. Hizo mabilioni changanya na ya aipitihela wangenunua madawati na kuboresha elimu ndege zingejileta. Hii ni aibu yao maana soon watajutia uamuzi.Mlishalimaliza magufuli anawanyanyua bado hamshukuru. Binadamu ni hatari. Hakukuwa na airtanzania tena mpaka huyu Baba kaianzisha. Huwezi kumanage millioni bile kuanza na elfu kumi. Miaka kumi tutakuwa na hayo makubwa msihofu. Baada ya miqka kumi Majaliwa tutampa Nchi nae ataongeza makubwa zaidi mpqka tuwe kama ET kwa miaka 20. Shukuru kwa kidogo ulichonacho. Safari moja huanzisha nyingine. Hiyo ndiyo kule kwetu tunaiita start over