Tuyuku
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 3,292
- 1,935
Ni kwa kuwa hatununui ndege mara kwa mara... inabidi tuongeze spidi ya ununuzi ili wasisahau kufanya mazoezi ya cannon!...Yaani hata water cannon tunafanya chini ya kiwango. Sijui nini tunaweza.
Neno la hekimaAt least tumejaribu.
Next tym watafanya kwa umakini zaidi
Hilo Gari la Zimamoto la kushoto limefungulia maji kimwendokasi ikifuata sera ya Serikali ya sasa,hapo Mkulu atakuwa kafurahia sana.

Mkuu Fundisi Muhapa hii si Tz tu,wala si kupoza injini kama anavyosema jamaa,hii ni dunia nzimaWe jamaa umewaka. Mtaalamu barafu kasema inaitwa 'Water Canon Salutation'. Kuikaribisha ndege mpya. Kama hujui kaaga kimya man.
Engine zipoe mbona hawafanyii hivyo ndege zote? Pamoja na hayo, asante kwa nia yako njema kunijibu.
Imepelekwa carwash bananaKwanini wanaimwagia maji?
water cannon ni ukaribisho wa ndege mpya
😀😀😀Aaah kumbee ilitakiwa kuogeshwa mwili mzima baada ya safari ndefu
Zimamoto ni wakarimu sana kama ingekua wanawake basi wa kulia ni wife material