Ndege Mpya ya ATCL katika picha

Ndege Mpya ya ATCL katika picha

Mi naona ni ndege nzuri hususani kwa safari za ndani ya nchi hasa ukizingatia kuwa matumizi ya mafuta ni ya chini ukilinganisha na ndege za jet engenes hii itasaidia ku lower operations costs za ndege. Pamoja na uzuri wa ndege, sina hakika sana kama suala hili lilikuwa ni la kipaumbele sana. Naamin kabla ya kufikia maamuzi haya Serikali ilijiridhisha kuwa manunuzi haya hayataathiri mipango mingine ya Serikali.
 
Ya zamani
Cszw0EaXEAA-UQ8.jpg

Ya sasa
Cszw0EZWYAEvf9O.jpg

Mnaoponda ndege mpya, Mungu anawaona...
Hiyo unayoonyesha siyo ya zamani bali ya matapeli makabulu. hii ndiyo ya zamani

 
So na hii ikibuma mtatuletea helikopta sio! Sio kwamba tunapaswa kujua ni wapi tulikosea, kama management hivi na vitu kama hivyo???
Duh mbona uko negative kwa kila jambo? Mtu akio mke au kuolewa anaweza kuwaza huyu jamaa akiniacha au akifa?
 
Shirikisha na ubongo wako mkuu, we were biting more than we can chew, unajua kwa nini tulishindwana na hiyo ya juu??


Hatukushindwana, ATC ilihujumiwa kifisadi na maofisa waandamizi wajanja waliotoka ATC wakaanzisha ARC a.k.a Air Rombo Corporation!
 
Tumerudi nyuma badala ya kwenda mbele!


kwa akili yako ni kuwa kutoka kuwa na Boeing 737 200 mpaka kwenye bombaider dash q400 ni kurudi nyuma hapo??

kama hujaenda shule na ukatoa comment kama hii sikushangai?

kama wewe ni graduate na ukatoa comment kama hii nakushangaa
 
Tofauti ni kwamba ya zamani tuliishindwa na ya sasa tumekuja kivingine
Usipanic mkuu soma biashara utajua
 
Back
Top Bottom