uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,454
- 2,242
Huyu wa zamani ata twiga wake alikuwa ametulia anakula majani yake vizuri tuu hana shida na mtu, ila huyu wa sasa ,ni kiboko.
We jamaa umewaka. Mtaalamu barafu kasema inaitwa 'Water Canon Salutation'. Kuikaribisha ndege mpya. Kama hujui kaaga kimya man.engine zipoe,imetoka mbali sana
Udart ina mapungufu mengi tu, ila point yangu ni udart sio aerikali, inajua hilo??Kwanini sasa serikali isingenipa mtu mwenye pesa kama mimi? Kwa hiyo ataukishikiwa bastola hapo utakiri kwamba Udart haina mapungufu?
Mkuu msome barafu akishadadia ujio wa hii ndege mpya kwenye uzi tofauti anasema ile inaitwa Water Canon Salutation. Nafikiri ni mapokezi maalumu ya ndege mpya.Tununapooza zile tuktuk
Walikuwa wanaiosha.Kwanini wanaimwagia maji?
Tunaweza. Ona kuna size kama hiyo boeing ya fastjet. Japo wanapunguza idadi ila zipo na zinatinga.So you mean kama nchi hatuwezi kusimamia BOEING! Hahaaa!
JPM walks the talk, aliahidi elimu bure, wanafunzi kukaa ktk madawati, ndege mpya, etc, sio wale wa kuongea tu na wasio na msimamo wa wanachokiongea!Mkuu msome barafu akishadadia ujio wa hii ndege mpya kwenye uzi tofauti anasema ile inaitwa Water Canon Salutation. Nafikiri ni mapokezi maalumu ya ndege mpya.
Hiyo gharama yote ukijumlisha unaona kabisa walionunua ndege wamepoteza mwelekeo tayari. Wameacha ya msingi wanatafuta ufahari eti na sisi tuna ndege.
Hahaha,eti Mungu anawaona!hiyo inatofauti gani na shabiby bus?si bora wangenunua mabasi ya serikali!!!Ya zamani
![]()
Ya sasa
![]()
Mnaoponda ndege mpya, Mungu anawaona...
Sawa mkuu wewe unapenda sana nene?Tatizo ya sasa ni nyembamba sana
Ya zamani
![]()
Ya sasa
![]()
Mnaoponda ndege mpya, Mungu anawaona...
Wakitoka ndogo watafunga kabisa shirika.Mmeshaambiwa mara nyingi kwamba ndege kubwa zina gharamankubwa sana kuziendesha na hazitui viwanja vidogo. Hao wenye hizo kubwa wenyewe (fastjet) wameshatangaza kuzirudisha na kuchukua ndogo....Aaagr...mnakera na nyie
Ndoto za alinacha.Huenda huu ni mwanzo tu..at least shirika litarudi kwenye uhai tena!
Kwa sababu hakuna soko la kutosha biashara kubwa ya ndege.Usiwe mbishi, jiulize swali jepesi, kwa nini kampuni binafsi na ya nje FASTJET hapa Tz wanalalamika gharama za uendeshaji boeings zao??
Lakini ni kweli kwa maelezo ya mtaalamu barafuNimecheka sana mkuu
Kuuliza si ujinga. Halafu hata hujui inaitwaje.... Water Canon Salutation ndo mpango hapo.mshamba hio ni display ceremony
Wana akili zaidi yake lakiniGoogle ni watu kama wewe
Inabatizwa.Kwanini wanaimwagia maji?
..Mbona walioondoka wameshindwa kuonesha juhudi kama hizi? au ulikuwa ukifurahi kusikia nchi kubwa kama hii shirika lina ndege moja na wafanyakazi 200! Hebu kwenye ukweli tuseme kweli na sio kila kitu kukandamiza tu!Ndoto za alinacha.
Halitakaa lirudi kwa kutumia serikali kuliendesha. Waachie tu sekta binafsi ipambane serikali wawe marefa.