Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,032
Kutoka Boeng mpaka Bombaider
hahahaha....Kumbuka kabila ya mfalme kwanza kisha utajua kwa nini kaanza na ndege.Huenda ilikuwa ni ndoto ya tangu utoto kuwa akiwa mkubwa lazima anunue ndege.
50yrsTumerudi nyuma badala ya kwenda mbele!![]()
Yeye nyerere alikaa madarakani miaka 25 urais kipi alichotatua kiuchumi watanzania tukabaki tunamsifia?Maigizo haya ni shida! Zile 11 na moja za Nyerere alikufa nazo mbona hamtwambii? Mnashangilia upuuzi kama huu,mnapiga hatua mbili,mnarudi tano nyuma mnashangilia,ni aibu ya miaka CCM ni matatizo.
Ahahahahaaaaa twende kaziUtamaduni wakati wa kuikaribisha ndege mpya.
Oy macho yako yako omega Kiongozi wahi miwanihebu angalia hiyo ndege ya kwanza jinsi ilivyojaa ktk picha na uangalie hiyo ndege ya pili..
Ili ionekane mpya!Kwanini wanaimwagia maji?
Mkuu ndiyo kurudi nyuma .....kwa Vuongozi huu wa chichiemTumerudi nyuma badala ya kwenda mbele!![]()
Ni utaratibu kuwa ndege mpya inapo land for the first time nchini mwake inapewa heshima kwa kumwagiwa majiKwanini wanaimwagia maji?
Udart ipo ktk mradi wa BRT, mradi wa BRT unasimamiwa na serikali (DART), udart inaendeshwa na Simoni Kisena akisaidiwa na David Mgwasa.samahani mkuu Udart Inaendeshwa na nani?
Hii ni ya kwetu, kuna ile nyingine nyeupe, sina uhakika ndo maana ninesema nahisi! Yawezekana uko sahihi ila nafikiri kenya airways hapo ni mambo ya ground services tu au sponsors wa ktk kampuni ilokuwa inatoa ground service, nadhani!View attachment 403867 ndo hii?!
Aaah kumbee ilitakiwa kuogeshwa mwili mzima baada ya safari ndefu
Zimamoto ni wakarimu sana kama ingekua wanawake basi wa kulia ni wife material
