Ndege Mpya ya ATCL katika picha

Ndege Mpya ya ATCL katika picha

Shirikisha na ubongo wako mkuu, we were biting more than we can chew, unajua kwa nini tulishindwana na hiyo ya juu??
Sababu ya kushindwa hiyo ya juu ni sawa na kushindwa kwa mashirika mengine ya umma! Mfano, Reli, TTCL, Viwanda vya nguo n.k
 
Povu la nini??
Wewe unafikiri ipi tulitakiwa tuanze kuimiliki na mpaka sasa ipi tunatakiwa kuimiliki kwa kuzingatia uwezo wa nchi yetu??
Bado hujajibu swali langu.
Pia kama uwezo wa nchi ulikua Mkubwa hapo zamani alafu kwa sasa uwezo ni nchi ni mdogo ni dhahiri tumerudi nyuma hatua 100 na kujipongeza.
 
Bado hujajibu swali langu.
Pia kama uwezo wa nchi ulikua Mkubwa hapo zamani alafu kwa sasa uwezo ni nchi ni mdogo ni dhahiri tumerudi nyuma hatua 100 na kujipongeza.
Kama tuliweza basi ndege hiyo/ hizo zingekuwapo mpaka sasa, alafu kumbuka kuwa zile air Tanzania za rangi nyeupe zilikuwa za kukodi.
 
Ya zamani
Cszw0EaXEAA-UQ8.jpg

Ya sasa
Cszw0EZWYAEvf9O.jpg

Mnaoponda ndege mpya, Mungu anawaona...
dah.......
 
Tumerudi nyuma badala ya kwenda mbele!
Mmeshaambiwa mara nyingi kwamba ndege kubwa zina gharamankubwa sana kuziendesha na hazitui viwanja vidogo. Hao wenye hizo kubwa wenyewe (fastjet) wameshatangaza kuzirudisha na kuchukua ndogo....Aaagr...mnakera na nyie
 
Huu ni mwanzo mpya,tukubali tu kuwa tunaanza na tusijilinganishe na yeyote.....!!!
 
Huenda huu ni mwanzo tu..at least shirika litarudi kwenye uhai tena!
 
kwa akili yako ni kuwa kutoka kuwa na Boeing 737 200 mpaka kwenye bombaider dash q400 ni kurudi nyuma hapo??

kama hujaenda shule na ukatoa comment kama hii sikushangai?

kama wewe ni graduate na ukatoa comment kama hii nakushangaa
Nielimishe please,nielimishe mkuu!
 
Shirikisha na ubongo wako mkuu, watu wanapiga Billion 300 na upumbavu na haulizwi mtu yeyote
Usiwe mbishi, jiulize swali jepesi, kwa nini kampuni binafsi na ya nje FASTJET hapa Tz wanalalamika gharama za uendeshaji boeings zao??
 
Back
Top Bottom