Ndege Mpya ya ATCL katika picha

Ndege Mpya ya ATCL katika picha

1474393214998.jpg
wewe mleta mada Mussolin5 ndiyo mtu wa ajabu kwwli kweli kweli!
AU umri wako yawezekana ndiyo haukuzikuta ndege hizi.
 
Mmeshaambiwa mara nyingi kwamba ndege kubwa zina gharamankubwa sana kuziendesha na hazitui viwanja vidogo. Hao wenye hizo kubwa wenyewe (fastjet) wameshatangaza kuzirudisha na kuchukua ndogo....Aaagr...mnakera na nyie
Gharama kubwa?Kuiendesha IPTL siyo gharama kubwa?Mbona IPTL tunaiendesha kwa gharama kubwa sana especially sasa hivi ambapo tanesco wameamuriwa na mahakama kuwalipa na tupo kimya???.....Suala lenye maslahi kwa taifa tunasingizia ni gharama kubwa ila issue za kifisadi kama IPTL tunapiga kimya!!
 
Gharama kubwa?Kuiendesha IPTL siyo gharama kubwa?Mbona IPTL tunaiendesha kwa gharama kubwa sana especially sasa hivi ambapo tanesco wameamuriwa na mahakama kuwalipa na tupo kimya???.....Suala lenye maslahi kwa taifa tunasingizia ni gharama kubwa ila issue za kifisadi kama IPTL tunapiga kimya!!
Ndo waliko huko kuwa kila kitu gharama wamesahau Richmond gharama ambazo tulikuwa tunalipa..!
 
Tumerudi nyuma badala ya kwenda mbele!
Mlishalimaliza magufuli anawanyanyua bado hamshukuru. Binadamu ni hatari. Hakukuwa na airtanzania tena mpaka huyu Baba kaianzisha. Huwezi kumanage millioni bile kuanza na elfu kumi. Miaka kumi tutakuwa na hayo makubwa msihofu. Baada ya miqka kumi Majaliwa tutampa Nchi nae ataongeza makubwa zaidi mpqka tuwe kama ET kwa miaka 20. Shukuru kwa kidogo ulichonacho. Safari moja huanzisha nyingine. Hiyo ndiyo kule kwetu tunaiita start over
 
Kama ni magari.ATC ya zamani inafanana na yutong new model na hii ATC mpya inafanana na toyota hiace kama zile zinazoenda kilungure.
 
Back
Top Bottom