Ndani ya siku sita hivi kuna taarifa nzuri wananchi watapata ,ila itakuwa kilio upande wa pili, japo kilio cha kinafki.

Ndani ya siku sita hivi kuna taarifa nzuri wananchi watapata ,ila itakuwa kilio upande wa pili, japo kilio cha kinafki.

SIWAAMINI MLITUAMBIA JESHI LIKO NYUMA YETU, KUMBE MNAJUA KABISA ILE NI MALI YA KIJANI LEO TENA MNAKUJA NA STORI ZINGINE, BIG NO HATUAMINI, TUTASIMAMAM WENYEWE BILA MAELEKEZO
 
Mmeanza ramli zenu? Hamtusumbui mtaishia kutabiri inasonga miezi!!
 
Utasikia aliyekuwa gerezani kapinduliwa na wana wanaingia meza ya maridhiano,mpaka sasa wameshanunua gari ya mil 300.
 
SIWAAMINI MLITUAMBIA JESHI LIKO NYUMA YETU, KUMBE MNAJUA KABISA ILE NI MALI YA KIJANI LEO TENA MNAKUJA NA STORI ZINGINE, BIG NO HATUAMINI, TUTASIMAMAM WENYEWE BILA MAELEKEZO

Mkuu, ile mo29 Waandamanaji kufanya uharibifu walizingua pakubwa sana. Wangejua wakaandamana kwa amani bila kuchoma na kuiba..walahi ile shighuli ilikuwa inaisha, jwtz ilikuwa ipande wetu.
 
Umeota ndoto au una uhakika?
Nianze upya maandalizi ya sherehe kuubwa this year!
 
  • Kicheko
Reactions: naa
Back
Top Bottom