Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

Kuwadharau nyie nani, Wazayoni?

Tatizo ni kwamba, tunapotofautiana sijui mzanzibari sijui mtanganyiko, tunaonysha udhaifu na mgawanyiko ambayo inawapa wakenya nguvu kubwa ya kutukejeli. Nadhani ni bora tujiite watanzania
 
Kazi kwetu ss watz na migogoro isiyoisha wakati wenzetu wanalumbana jinsi gani ya kuwaletea wananchi wao maendeleo
 
mbona people of Mumbi wasi-develop the ample land in the Northern Kenya? instead they r dying of hunger every year? if at all they r pros at cultivating the land?
 
mbona people of Mumbi wasi-develop the ample land in the Northern Kenya? instead they r dying of hunger every year? if at all they r pros at cultivating the land?

Kenya is another case of arrogance. They cant develop their own land and yet trying to be our techers. Hawa nyang'au needs to go away
 
out of hypocrisy and false patriotism there is nothing wrong with that article, we are very stupid and we are not doing anything fair to this country, full stop.
 
Wakenya siwapendi,wana roho mbaya kama sura zao..ni wakatili sana wanachinjana wao kwa wao kama kuku..mwezi march 2013 ni msimu wao wa kuchinjana alafu watakuja kutuomba tena tuwapatanishe..bora ata tujiunge na Zambia ni watu poa sana hawana arrogance za kipuuzi kama wakenya..tutajiunga vipi na watu wasio na upendo eti wanajifanya wako bize na kutafuta hela..wakae uko uko kwao lang'ata waongee kingleza maana watakuwa wanakula hicho kingleza njaa ikiwakuta tena, atutaki kutuomba mahindi wala mchele bora tulishie ng'ombe zetu,kuliko hawa binadamu wakatili wasio na upendo..Wakenya mubaki kwenu hatuwaogopi ila hatuwapendi kwa tabia zenu mbaya kama sura zenu!
 
out of hypocrisy and false patriotism there is nothing wrong with that article, we are very stupid and we are not doing anything fair to this country, full stop.

nyinyi wakenya mkajiunge na wasomali ndio mnawezana.nyie si mnaakili sana.sisi tuacheni kwani lazima kuwa na sisi..??stupid ni wewe na bi mkubwa wako.
 
Hujaona mabalozi wadogo wakijitambulisha kwa Rais wa Zanzibar na kufungua ofisi zao huko? Umeona wapi balozi wa nchi yoyote kwenda kujitambulisha rasmi kwa Mkuu wa Mkoa wa Songea?

Pinda kasema sio nchi, Bosi wa Pinda-Kikwete kasema nchi ndani ya nchi. Unataka raia amsikile Pinda wakati Bosi wake Pinda keshampinga?

Na hizo sababu za Kiusalama ni against Mtanganyika? Kama ni hivyo ndio dharau ya mwisho kabisa kuwa nimeungana na wewe but I don't trust you, kwangu wewe ni potential mhalifu kama nisiyeungana nae Myarwanda, Msumbiji na Mkaburu!

Sasa umeungana na mtu mbaguzi na ana"kulazimisha" wewe kuendelea kumueekea mazingira ya kuendelea na ubaguzi wake, nawe unakaa tu unakubali? Au ndio mahaba kwake yamekuwa makubwa hata akubague vipi unaendelea to feed her addiction?
Gaijin,

..nazungumzia mabalozi kuwasilisha HATI ZA UTAMBULISHO kwa raisi wa ZNZ. i have not seen that yet.

..halafu kwanini hakuna balozi kamili aliyeko stationed ZNZ, wote wanakuwa ni mabalozi wadogo wakati balozi mwenyewe yuko D'Salaam??

..kuhusu kauli ya Pinda vs Kikwete, hapo sasa inabidi uchanganye na zako. utumie weledi wako kujua nani anasema ukweli kati ya hao wawili kulingana na katiba yetu.

..maelezo kwamba suala la passport lilitokana na hofu ya usalama kwa waZNZ ni maelezo yaliyotolewa na Mwalimu miaka ya 60. sasa hivi hakuna ulazima wa passport na suala hilo lilishasitishwa.

..kuhusu muungano wa TGK na ZNZ msimamo wangu unaeleweka wazi. muungano ambao hakuna kuheshimiana na kuthaminiana kama ndugu sidhani kama unatufaa.
 
Last edited by a moderator:
Gaijin,

..nazungumzia mabalozi kuwasilisha HATI ZA UTAMBULISHO kwa raisi wa ZNZ. i have not seen that yet.

..halafu kwanini hakuna balozi kamili aliyeko stationed ZNZ, wote wanakuwa ni mabalozi wadogo wakati balozi mwenyewe yuko D'Salaam??

..kuhusu kauli ya Pinda vs Kikwete, hapo sasa inabidi uchanganye na zako. utumie weledi wako kujua nani anasema ukweli kati ya hao wawili kulingana na katiba yetu.

..maelezo kwamba suala la passport lilitokana na hofu ya usalama kwa waZNZ ni maelezo yaliyotolewa na Mwalimu miaka ya 60. sasa hivi hakuna ulazima wa passport na suala hilo lilishasitishwa.

..kuhusu muungano wa TGK na ZNZ msimamo wangu unaeleweka wazi. muungano ambao hakuna kuheshimiana na kuthaminiana kama ndugu sidhani kama unatufaa.

JokaKuu,
Naskia juzi 'Tanzania' ilijinyakulia medali ya shaba kwenye CECAFA Challenge Cup kwa Zanzibar kuifunga Tanganyika iliyojiita Tanzania bara mabao 6-5 ya penalty

Kabla ya pambano, Zanzibar ilipandisha bendera yake na kupigiwa wimbo wake wa taifa huku Tanganyika ikipandishiwa bendera ya Tanzania na kuimba wimbo wa Tanzania.

How pathetic is that?! The situation is so humiliating to the Tanganyika players no wonder they lost the game

Have some pride people...have a bit of pride
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu,
Naskia juzi 'Tanzania' ilijinyakulia medali ya shaba kwenye CECAFA Challenge Cup kwa Zanzibar kuifunga Tanganyika iliyojiita Tanzania bara mabao 6-5 ya penalty

Kabla ya pambano, Zanzibar ilipandisha bendera yake na kupigiwa wimbo wake wa taifa huku Tanganyika ikipandishiwa bendera ya Tanzania na kuimba wimbo wa Tanzania.

How pathetic is that?! The situation is so humiliating to the Tanganyika players no wonder they lost the game

Have some pride people...have a bit of pride

Ouch! This is some hard home truth.
 
Yani waafrika sijui what happened to us! Yani the hate we Africans have against each other is appalling! Tuko tayari kukumbatia wazungu but hate each other hata ikiwizekana killing each kabisa.

Kweli kaka...waafrika tumelaaniwa...tunaleta domo kwa wakenya wakati waarabu na wachina wamejaa kkoo...na ndo wanamilikishwa ardhi....mie na support muungano wa kimkataba... Kuhusu ardhi kila nchi iwe na mamlaka kwenye ardhi yake...afterall makao makuu yapo arusha..na this time we gonna make sure everythin is built in the HQ..
 
JokaKuu,
Naskia juzi 'Tanzania' ilijinyakulia medali ya shaba kwenye CECAFA Challenge Cup kwa Zanzibar kuifunga Tanganyika iliyojiita Tanzania bara mabao 6-5 ya penalty

Kabla ya pambano, Zanzibar ilipandisha bendera yake na kupigiwa wimbo wake wa taifa huku Tanganyika ikipandishiwa bendera ya Tanzania na kuimba wimbo wa Tanzania.

How pathetic is that?! The situation is so humiliating to the Tanganyika players no wonder they lost the game

Have some pride people...have a bit of pride

Mmmmh wTf aisee kumbe hawa sio wenzetu... Kabisa?? Daah
 
this dude must be from nairobi, seen those tall buildings and thinking that is developement is a shame, kenya is as poor as any other east african country, tena with full of slams! if this is idea of urs is wat u call education then kenya is full of morons
 
Watanzania yatupasa kuusimamia uzalendo wetu na kuonesha mapenzi ya dhati kwa nchi yetu nzuri ajabu, kwa njia yeyote ile...ikiwezekana hata kwa ulimbukeni. Let us not be traped by the cheap borrowed and copied ideas long established by colonial powers of which kenyans want to paste into our mind..."we are economically better of...more educated...blaablaa". If so why are you fighting for union with a country with poor and uneducated flock????
 
that is just bullshit..Kenyans are hated because of their hateful attitude, their arrogance, they think they are America whilst Tanzania is burundi..Kenya is developed? You must be outta of your mind. Kenya is as poor as most other countries..You per capita is like 850$, with high food costs, etc..more Kenyans are in need of basic food security than the people in South Sudan. Come back when you have an economy like South Africa to brag about. Come back when your northern region is developed, come back when you don't kill yourselves with machetes..

who the **** told you we wanna see Kenya as our role models? People who are tribalists and arrogant sons of pricks becoming role models? Couldnt choose a role model who was worse.

Kenyans i got few words for you..stay in your m-****ing country and dont come to Tanzania.
.

I have lived in Kenya, lets not be cheated by the buildings in Nairobi, kenya rural is much more poorer than Tanzania, we need to be carefull especially with the formulation of large scale farming, as most of this turns the farmers in the peripheral to become underpaid casual labourers, that why Kenya has always suffered food shortage, multinational who owns large tracts of land , don't care whther kenyans have food or not, they care about world prices and margins. Tanzania have much more ample land , while Kenya is encroached by the Desert from the North, and we still have virgin land while the big oligarch families in kenya like the kenyatta's or other kikuyus owns more than 50% of the arable land in kenya. They have very rich people and very very poor people all clustered in Kibera, mathare valley etc. Thus Tanzanians dont be cheated by the night lights in Nairobi, life is just too artificial. If we stop them coming to Tanzania, and not be forced in monetary union , the next five years they will definitely come to beg us for food, more or less thay are stealing the same from mang'ola, up to dodoma, lets all be aware of that
 
Most of Kenyans are arogant while in the actual sense they are poor and nothing serious to brag on. Big part of the economy is owned by few especially Indians.

Kenyan, Ugandan and Tzan economies are very different. While Uganda and Tz economies are largely owned by common mwananchi, that of Kenya is not the case. Their motives in EAC are also hidden! They actually though Tanzania would take all what they assumed to be good for them wholesome, something that has turned the other way around especially on issues of Land and Labour.

In these issues I think we have been smart enough. We must clean our house before we let anybody in. what is always bad for Kenyans is that they are also used by the Western countries to press Tanzania on issues that are of interest the West as it happened in b4 the collapse of EAC. My advise to Tanzanians: We should be keen on each and every step we are taking in EAC.
 
I did not know that Mashaka is a former Burundi refugee. I thought he was from Tarime.

This should be a stepping stone to investigate this man according to this claim raised by this Nairobian. I know that these so called developed countries always use infiltrated citizens from neighboring countries as their puppet presidents. You know why? Because these people are not real patriots of the particular countries, and thus, they can not feel any pains to the citizens of the particular country. They are ready to sell their countries and their citizens e.g. Mobutu. However, this kenyan whom he thinks is in more developed country where there are millions of slums/squatters in Kibera, can use this propaganda to destroy the reputation of Mashaka John. This is due to the fact that his/her response is mostly as a personal attack. However, Kenyans should relax on this issues and if they think we are on the side of loosing, why are they pushing this federation faster. We, Tanzanians, are great nation in the East Africa. We do not rely on Kenya.
 
Mtu yeyote aliyewahi kuishi au kufanya kazi na wakenya atakubaliana na mimi kuwa si kweli kuwa wao ni competent kwenye kazi kuliko Watanzania. Wao hupenda kuamini hivyo na hufanya kila mbinu kuwafanya waajiri waamini hivyo. Mbinu wanayotumia kubwa ni uwezo wao wa kuongea kiingereza kwa kujipendekeza kwa waajiri na kuripoti kuwa kila kizuri kilichofanyika kazini hapo ni matunda ya wakenya wakati kila ovu na udhaifu wote wamefanya Watanzania. Hivyo hutaka hata walipwe zaidi na wawe wasimamizi na mabosi huingia kingi. Hawa jamaa ni washenzi sana. Sisi kingereza na kutokuwa na tabia ya kujipendekeza ndio vinavyotugharimu

Nimekutanao wengi hawa watu wanaojiita waKenya, hamna kitu kabisa kichwani ila kinachowasaidi ni uwezo kudanganya kwa kiingereza tu. Nafikir na maisha yalivyowachakaza huko kwao ndo yamewapa maarifa ya kuweza kutetea uwongo ili chakula kije mezani. Zaidi ya hapo, hamna kitu kichwani. Nchi gani inayoweza kusherekea kuchaguliwa kwa raisi wa nchi nyingine kama siyo utumwa wa fikira nini. Wamesherekea Obama kuchanguliwa, CNN walivyowadaharau, walimuonyesha Obama akipeleka watoto wake shule wakati wao wanapumzika kwa ushindi wake. Poor on these people.Kwenye red nimekusoma vizuri mkuu na hii ipo hata kwa Nigeria. Yaani unawatu kama hawajiamini hivi kwa jinsi wanavyojipendekeza.
 
nyie watanganyika mna akili za bundi kweli ivi mkiambiwa ukweli mnakasirika nini? nyi mnafikiri mko sawa na wakenya? ipimeni shilingi yenu kwanza na kenya shillings halafu muone nini tofauti? wakenya kuwa wengi hawana ajira ivi mmetizama tanganyika vijiweni?

mimi nimesoma na wakenya wale watu kwa sababu elimu yao siyo ya mabanda kama yetu wan-graduate mapema sasa vijana wengi wamelakiza shahada kazi hakuna ni kama nchi nyengine yoyote ile ajira ni tatizo lakini wakenya wana akili sio kama watanganyika.

tatu angalieni watanganyika mnapeleka nini kenya? si mnawapelekea mazao ya mashambani? raw goods,,lakini wap wanaleta kwenu industrial goods,,biadhaa za viwandani hichi ndio kipimo cha maendeleo,,msikurupuke kutoa matusi tu jibuni hoja,,,watanganyika hamuna kitu kwa kenya na kama hamuamini iingizeni ardhi ndani ya muungano muone kiama.

Wewe ndo bundi kabisa, uchumi unapimwa kwa thamani ya pesa tu? Hebu jaribu kuangalia fedha za Japan, India, Brazili, China na Korea kwa kulinganisha na Marekani uone. Wewe ndo bundi tena zee hujijui tu!!
 
Jana nimemsikia Uhuru Kenyata akisema yuko tayari kuachia ngazi mbio za uraisi na atafurahi sana akipewa kazi ya kuwa balozi wa Kenya nchini Tanzania kwani Tanzania ni nchi nzuri na yenye fursa nyingi kwa hiyo akiwa balozi atawatafutia fursa kibao wakenya wenzake waje TZ kuchuma,na kweli lazima aipende kwani maziwa yake ya Brookside na Tuzo yamejaa tele kila pembe Tz ,yeye ni Bakhresa wa maziwa hapa bongo

kweli,atakuja kujiongezea utajiri wa makampuni yake.Nasikia siku za nyuma palikuwa na balozi wa kenya alikuwa anafanya biashara Dar,na hakuna chombo cha dola kinachowazuia kufanya biashara bila kufuata taratibu,KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO.
 
Back
Top Bottom