Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

kENYA IS A G0OD friend of Israel while Tanznaia gvt is a good friend of palestina. Who would be bleesed!
Rubbish thinking. In this world no one is blessed and no one get blessed. People work hard for success. Hizo hadithi zenu za Kilokole za kurukia Biblia bila uelewa hazina mashiko. Who blessed Japan? Allah or Jehovah? Who blessed Russia and China? Jehovah or Allah? People work hard for success. Israels are not blessed as you think. They are working hard for their survival in their grave challenges. Keep that in your mind prunk!!
 
Huyu Mkenya ni mwongo. John Mashaka ni mtu wa Mara, Rorya. Mjaluo kama sikosei, ufupi wake unanipa wasiwasi kama ni Mjaluo kweli make wajaluo warefu.
 
kwani michuzi ana tatizo gani?au hiyo site yake?mbona iko juu tu na inayo matangazo kibao .sema raha ya Jf ni kwamba sisi member tunaanzisha threads.wakati michuzi yeye ndo anapost thread ili member mchangie.

Hawawezi kuw amabalozi wazuri sana ktk kulinda values zetu nje.
 
Hivi wewe umeshawahi kwenda restaurant au baa za kenya uone wahudumu wanavyojituma halafu ulinganishe na kwetu? Kwenye maduka, supermarket, mabenki kote customer service ya wakenya ni nzuri wametupita. Tatizo la watanzania hatupendi kuacknowledge weakness zetu.

Kwenye research methodology huwa tunafundishwa kuwa hatua ya kwanza ya kutatua tatizo ni kulitambua tatizo na kuliacknowledge kwamba ni tatizo. Tuna matatizo ya uvivu, ubinafisi na kutokuwajibika. Ingawa motive za kakenya kupoint weakness zetu ni kutaka kujineemesha kupitia kwetu, lakini lazima tukiri kwamba hizo weakness tunazo na tuziwekee mikakati ya kuziondoa kulinda heshima yetu.

Hata hilo la elimu tutabisha tu lakini wakenya wanatuzidi, wameanza kuwa na vyuo vikuu vingi zamani na wamesambaa duniani kuliko sisi.

Ila hujasema jinsi Nairobi ilivyojaa vyakula visivyo na ladha.Wana haki kuongeza value kwa kujituma kuwavutia wageni.
 
sijawahi kukutana na watu wasiojali identity yao kama watanganyika

they use their stomachs to think, once their stomachs are full they simply get satisfied as if there's no tomorrow for them.
 
Nduguzanguni Kenya haijawahi kuwa nchi Huru kiukweli, walipewa uhuru kwa masharti kwamba wasiwaguse wdhungu wala wasiwanyanganye ardhi walioikalia Tania Enzo za vita ya maumau ya ukombozi, kwahiyo munapoona Kenya ikiwa Kama Ina uchumi mkubwa msidhani ni pesa za Kenyans aw kawaida, ni pesa ya masetlas wa tangu ukoloni ambao bao wanalindwa na mikataba. Wakiwagusa yatakuwa ya Zimbabwe. Ndio maana wanaionea wivu supa power Kama Tanzania
 
Yani waafrika sijui what happened to us! Yani the hate we Africans have against each other is appalling! Tuko tayari kukumbatia wazungu but hate each other hata ikiwizekana killing each kabisa.
 
Wakenya wezi sana sawa na Indians
wakae huko huko kwao hatuwataki
wanajifanya wamesoma sana lakini wengi vyeti vyao vingi feki,
mfano halisi ni wale madr feki waliajiriwa na UDOM
sikatai wana maendeleo kuliko sisi washukuru waasisi wa taifa lao waliona mbali
kuwa na common currency hiyo hatuitaki kwa sasa na ndoto za kuja kwetu wataota hadi watazeeka
ardhi yetu ni mali ya umma.waende Turkana na maeneo mengine ya jangwa huko kwao wakalime au kupaendeleza
 
Tanzania should concentrate on being more on SADC than EAC.. Mozambicans, Zambians, etc arent hateful at all, way too peaceful, they have natural resources too etc etc..however Kenyans are associated with everything bad facing a nation, and they hate us ..lets show Kenya and the EAC the middle finger my fellow Tanzanians and tell them to **** off. Tanzanians is a lone giant..we dont need them.
 
Tanzania should concentrate on being more on SADC than EAC.. Mozambicans, Zambians, etc arent hateful at all, way too peaceful, they have natural resources too etc etc..however Kenyans are associated with everything bad facing a nation, and they hate us ..lets show Kenya and the EAC the middle finger my fellow Tanzanians and tell them to **** off. Tanzanians is a lone giant..we dont need them.

Splendid indeed.
 
Kwa rasilimali tulizonazo hakuna nchi miongoni nwa nchi za EA inayoweza kuisogelea Tanzania. Kama wakenya ni wakorofi kwa nini tung'ang'ane na EAC!!! Tunadharauliwa kwa sababu tumeshindwa kutumia rasilimali zetu wenyewe kujiletea maendeleo. Kwa hiyo, ushauri wangu ni kuwa tuachane na EAC tu-concetrate kuijenga nchi yetu kwanza ili tujenge heshima na uwezo wa kukabiliana na ujanjaujanja wa watu kama wakenya.
 
Gaijin,

..ukiona mtu anabeba passport ya nchi fulani, halafu anajitambulisha kwa utaifa mwingine, basi ama mtu huyo ana matatizo au nchi yake ina matatizo.

..malengo ya nchi yalikuwa ni kuunda taifa moja, dola moja, kati ya Tanganyika na Zanzibar.

..muungano wetu una matatizo ndiyo maana unaona upande mmoja unaona fahari kujitambulisha kama wa-Tanzania, wakati upande mwingine umegoma kujitambulisha hivyo.

..wa-ZNZ nao wana inferiority complex kwamba "watamezwa" na pia wana matatizo yao ya ubaguzi, zaidi wamekuwa wakidekezwa na kuendekezwa ktk tabia zao hizo. matokeo yake ndiyo hayo wamedata ktk u-Zanzibari.

..Nigeria ni shirikisho, na wananchi wake wanaona fahari sana kujitambulisha kama wa-Nigeria. Hata wa-Ibo waliotaka kujitenga na kuunda Biafra wanajitambulisha kama wa-Nigeria, ingawa pembeni wanalalamika kuhusu ukatili waliofanyiwa na ndugu zao toka kaskazini.

Of course kuna matatizo. Na kwa kesi ya Tanzania sio watu wenye matatizo bali ni nchi ndio yenye matatizo

Ukishampa mtu serikali hata kama hana passport lazima mtu huyo (katika hali ya kawaida) atajitapa kwa serikali yake hiyo.

Kama mlitaka nchi moja, mngeweka serikali moja tu. Mfumo mliouasisi wa Watanzania Watanganyika kuingia Zanzibar kwa passport kuliwapa raia wa Zanzibar mamlaka wa kujifaharisha kwa serikali yake

Huwezi kumtupia raia lawama kwa kutumia mazingira uliyomuwekea


Nigeria shirikisho, kuna Rais wangapi?
 
Last edited by a moderator:
Gaijin,

..serikali zipo za aina nyingi.

..kuna serikali za wanafunzi, za mitaa, etc etc.

..maraisi pia wako wa aina nyingi.

..serikali ya Zanzibar haina hadhi ya kukupa uraia wa Zanzibar.

..hakuna uraia wa Zanzibar kuna uraia wa Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Gaijin,

..serikali zipo za aina nyingi.

..kuna serikali za wanafunzi, za mitaa, etc etc.

..maraisi pia wako wa aina nyingi.

..serikali ya Zanzibar haina hadhi ya kukupa uraia wa Zanzibar.

..hakuna uraia wa Zanzibar kuna uraia wa Tanzania.

Haikupi uraia lakini viongozi wa juu wa Tanzania wanasikika wakisema ni "nchi ndani ya nchi", Rais wake anatambulika kikatiba na Rais wa Tanzania akienda Zanzibar sherehe za Mapinduzi anakuwa second to Rais wa Zanzibar kiitifaki kwenye sherehe hizo

Tusigeuke mbuni tukaficha vichwa kwenye mchanga wakati mwili uwazi, kama ni tatizo kwa Wazanzibari kujifaharisha na Uzanzibari wao basi kosa hilo limesababishwa na mfumo ulioasisiwa na Nyerere, sio kosa la raia wa huko

Nyerere akubali Watanganyika (as far as Zanzibar is concerned) kuingia kwa passport Zanzibar ikisha useme kosa la Mzanzibari kujifaharisha Uzanzibari wake? Where is the logic in that?

Nionavyo kosa ni la Mtanganyika kutokuwa na pride na kuruhusu Mzanzibari kumhisabu yeye kama Mtanganyika ila yeye apende udugu sana nae na kuendelea kujitaja kwa sifa ya Utanzania
 
Last edited by a moderator:
Haikupi uraia lakini viongozi wa juu wa Tanzania wanasikika wakisema ni "nchi ndani ya nchi", Rais wake anatambulika kikatiba na Rais wa Tanzania akienda Zanzibar sherehe za Mapinduzi anakuwa second to Rais wa Zanzibar kiitifaki kwenye sherehe hizo

Tusigeuke mbuni tukaficha vichwa kwenye mchanga wakati mwili uwazi, kama ni tatizo kwa Wazanzibari kujifaharisha na Uzanzibari wao basi kosa hilo limesababishwa na mfumo ulioasisiwa na Nyerere, sio kosa la raia wa huko

Nyerere akubali Watanganyika (as far as Zanzibar is concerned) kuingia kwa passport Zanzibar ikisha useme kosa la Mzanzibari kujifaharisha Uzanzibari wake? Where is the logic in that?

Nionavyo kosa ni la Mtanganyika kutokuwa na pride na kuruhusu Mzanzibari kumhisabu yeye kama Mtanganyika ila yeye apende udugu sana nae na kuendelea kujitaja kwa sifa ya Utanzania


Gaijin;

Hakuna mtanganyika, kuna mtanzania bara.
 
Zionist Tuungane kwa mambo mengi kadri itakavyowezekana lakini suala la ardhi sikubaliani hata kidogo, lazima viongozi wetu watambue nchi zote hizi kenya,Uganda, Rwanda na Burundi wana matatizo makubwa ya ardhi. Kuna wakati sioni faida kubwa sana za kuwa na umoja wa sarafu labda nielimishwe zaidi, binafsi siupendi huu mtangamano hasa nikiangalia hulka na desturi za wenzetu katika masuala ya ukabila,ukatili, ubinafsi,dharau. Watanzania tuna matatizo yetu lakini bado tunaishi pamoja kama ndugu,kiwango cha kuvumiliana bado kiko juu sana.

Kikubwa kinachowasukuma hao kutaka huo muungano ni ardhi yetu. Tumewasikia baadhi yao wamediriki kusema Tanzania ni virgin land.

Huo muungano usiwepo hauna maslahi kwetu.
 
Gaijin,

..umeshaona Balozi wa nchi yoyote ile akiwasilisha hati za utambulisho kwa "raisi" wa Zanzibar??

..Pinda aliwaambia ukweli kwamba ZNZ siyo nchi, lakini kwasababu kwa miaka mingi mmekuwa mkidekezwa na nyie kubweteka mkadhani amekosea.

..kama kuna uraia wa ZNZ, nionyeshe passport ya nchi inayoitwa ZNZ iliyotolewa baada ya mwaka 1964.

..Nyerere aliwahi kuulizwa swali kuhusu wa-Tanganyika kuingia Zanzibar kwa passport. Swali hilo aliulizwa miaka ya 60 na Arcado Ntagazwa wakati huo akiwa mwanafunzi wa shule ya msingi ktk mkoa wa Kigoma. Mwalimu Nyerere alisema walikuwa wanafanya hivyo kwasababu za KIUSALAMA.

..kosa lenu, au tatizo lenu nyinyi ni UBAGUZI, hicho ndicho kinachowasukuma kujitenga na kuukana Utanzania.
 
Back
Top Bottom