Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

Sijawahi kukutana na watu wasiojali identity yao kama Watanganyika

Gaijin,

..East African community, au muungano wa aina yoyote ile, ni project ya kuachana na identity ya zamani na kuchukua identity mpya.

..ni vigumu ku-champion interest za jumuiya huku nchi wanachama zimeng'ang'ana ktk nationalism na "identity" zao.

..hata muungano wa Tanganyika na Zanzibar umeshindikana kwasababu Zanzibar wameng'ang'ania identity yao. Now, tunaweza kuwasifia kwa hilo, lakini lazima tuelewe kwamba hulka za namna hiyo ni kikwazo ktk masuala ya umoja na mashirikiano.

..mwisho, tumetoka kwenye u-Tanganyika tumekwenda kwenye u-Tanzania. Je, ni makosa kwa Waafrika kuunganisha nchi zao na kuchukua utaifa mpya??
 
Last edited by a moderator:
Jokakuu;

Katika haya mambo ya integration ni lazima kuwe na benchmarks. Huwezi kulala leo na kuamka kesho na kudai shirikisho wakati unemployment is rampant, democracy is a new thing, corruption is everywhere n.k n.k

Zakumi,

..hizo benchmarks ni muhimu.

..lakini muhimu zaidi ni ile hali ya kuheshimiana na kuthaminiana kama NDUGU.

..at some point we have to speak and act like East Africans na siyo kama wa-Tz, wa-Kny, etc etc.
 
Gaijin,

..East African community, au muungano wa aina yoyote ile, ni project ya kuachana na identity ya zamani na kuchukua identity mpya.

..ni vigumu ku-champion interest za jumuiya huku nchi wanachama zimeng'ang'ana ktk nationalism na "identity" zao.

..hata muungano wa Tanganyika na Zanzibar umeshindikana kwasababu Zanzibar wameng'ang'ania identity yao. Now, tunaweza kuwasifia kwa hilo, lakini lazima tuelewe kwamba hulka za namna hiyo ni kikwazo ktk masuala ya umoja na mashirikiano.

..mwisho, tumetoka kwenye u-Tanganyika tumekwenda kwenye u-Tanzania. Je, ni makosa kwa Waafrika kuunganisha nchi zao na kuchukua utaifa mpya??


Jokakuu;

Integration haina maana ya kuua identities za watu. Integration itambue diversity and local authorities. Muungano wowote utakaofuata misingi unayosema ni lazima uwe na major players ambao watakuwa tayari ku-sponsor projects za muungano huo.

Chukua mfano wa jumuia wa Jumuia ya Ulaya. Ni mjerumani na mfaransa waliotayari kuwa nguzo. Kukitokea matatizo wako tayari kutoa pesa.

Katika initiatives za muungano na integration barani Africa kuna nchi gani inakuja na bulungutu la mahela? Mkenya anataka muungano hili apate ardhi ya kulima Tanzania. Hiyo ni dili gani analeta? Hivi mjerumani angekuwa anafikiri muungano wa EU ni wa kutafuta ardhi za kulima, kungekuwepo na muungano?

Kwanini asilete pesa kwenye jumuia hili waganda na watanzania wazitumie kusaidia wakulima wao? Mjerumani anapeleka pesa EU ambazo zinatumika kuinua kilimo Poland na Greece.
 
Kwa nini Wakenya wanalazimisha "kutusaidia?" Kwani sisi hatujui tunachotaka?
Tutakacho katika EA ni kwamba ardhi ni mali yetu pekee watz, as simple as that! Whether tunaendelea au la sio concern ya Wakenya na dharau zao!
Wakawasaidie wasomali, (kama wao wana huruma) wanaowatesa usiku na mchana kupitia Al Shabaab!
 
Zakumi,

..hizo benchmarks ni muhimu.

..lakini muhimu zaidi ni ile hali ya kuheshimiana na kuthaminiana kama NDUGU.

..at some point we have to speak and act like East Africans na siyo kama wa-Tz, wa-Kny, etc etc.

Nakubaliana na wewe. Tatizo waKenya hawaji kama ndugu. Sioni sababu ya kuamini tajiri wa Kenya anayeshindwa kumjali mkenya mwenzake aje Tanzania kutafuta ndugu.
 
Ignore those primitive and wicked Kenyans....!

-Na sisi tuache ujinga , tuiwajibishe serikali yetu.Dharau zinazotoka kwa wakenya ni kwa sababu ya serikali ya CCM kushindwa kuweka priority za maendeleo.Hasira zangu dhidi ya Nyang'aus nitazielekeza kwa kipimo hicho hicho kwa Nyang'au wetu wa ndani CCM and her cabal collaborators!

-It is very obvious that we cant restore our pride under CCM leadership

Nimekusoma, uko sahihi.
 
Gaijin,

..East African community, au muungano wa aina yoyote ile, ni project ya kuachana na identity ya zamani na kuchukua identity mpya.

..ni vigumu ku-champion interest za jumuiya huku nchi wanachama zimeng'ang'ana ktk nationalism na "identity" zao.

..hata muungano wa Tanganyika na Zanzibar umeshindikana kwasababu Zanzibar wameng'ang'ania identity yao. Now, tunaweza kuwasifia kwa hilo, lakini lazima tuelewe kwamba hulka za namna hiyo ni kikwazo ktk masuala ya umoja na mashirikiano.

..mwisho, tumetoka kwenye u-Tanganyika tumekwenda kwenye u-Tanzania. Je, ni makosa kwa Waafrika kuunganisha nchi zao na kuchukua utaifa mpya??

Muungano hususan wa malengo ya kiuchumi haumtaki mtu kuachana na identity yake.

Ulaya nchi zimekuwa zikishirikiana kiuchumi lakini kila mmoja kabaki na identity yake, na siku Rais wa nchi moja wapo akionekana kuegemea sana kwenye uchumi wa Ulaya wakati kwake uchumi unalegalega wananchi wanamchukulia hatua mahsusi.

Nchi yoyote inapaswa kuelewa kuwa maslahi ya watu wake ni mwanzo kisha ndo ya jirani
 
Last edited by a moderator:
Muungano hususan wa malengo ya kiuchumi haumtaki mtu kuachana na identity yake.

Ulaya nchi zimekuwa zikishirikiana kiuchumi lakini kila mmoja kabaki na identity yake, na siku Rais wa nchi moja wapo akionekana kuegemea sana kwenye uchumi wa Ulaya wakati kwake uchumi unalegalega wananchi wanamchukulia hatua mahsusi.

Nchi yoyote inapaswa kuelewa kuwa maslahi ya watu wake ni mwanzo kisha ndo ya jirani

Ameen Rev.Gaijin. Tawile mama tawile.
 
Mtu yeyote aliyewahi kuishi au kufanya kazi na wakenya atakubaliana na mimi kuwa si kweli kuwa wao ni competent kwenye kazi kuliko Watanzania. Wao hupenda kuamini hivyo na hufanya kila mbinu kuwafanya waajiri waamini hivyo. Mbinu wanayotumia kubwa ni uwezo wao wa kuongea kiingereza kwa kujipendekeza kwa waajiri na kuripoti kuwa kila kizuri kilichofanyika kazini hapo ni matunda ya wakenya wakati kila ovu na udhaifu wote wamefanya Watanzania. Hivyo hutaka hata walipwe zaidi na wawe wasimamizi na mabosi huingia kingi. Hawa jamaa ni washenzi sana. Sisi kingereza na kutokuwa na tabia ya kujipendekeza ndio vinavyotugharimu
 
i always wonder why Kenyans and Museveni so desperately want this "fast track of the federation" while we are obviously so ill prepared? Are the business elites in Kenya, including foreigners, and political honchos in the two mentioned countries have much to gain at commoners' expense?

would like to know what is the position of CDM in this since their inexperience might be used against us in dealing with these regional kingpins in Kagame, Museveni and business elites from Nairobi. ben saanane... naomba msimamo wenu kuhusu EAC
 
Muungano hususan wa malengo ya kiuchumi haumtaki mtu kuachana na identity yake.

Ulaya nchi zimekuwa zikishirikiana kiuchumi lakini kila mmoja kabaki na identity yake, na siku Rais wa nchi moja wapo akionekana kuegemea sana kwenye uchumi wa Ulaya wakati kwake uchumi unalegalega wananchi wanamchukulia hatua mahsusi.

Nchi yoyote inapaswa kuelewa kuwa maslahi ya watu wake ni mwanzo kisha ndo ya jirani
Gaijin,

..well, lakini Tanganyika haiko ulaya.

..hapa nyumbani tulikuwa na nchi mbili tukaziunganisha kuwa nchi moja.

..sasa kuna tatizo gani kwa wananchi wake[wa-TGK na wa-ZNZ] kujitambulisha na kujisikia fahari kwa utaifa wao mpya??
 
Last edited by a moderator:
Zionist Tuungane kwa mambo mengi kadri itakavyowezekana lakini suala la ardhi sikubaliani hata kidogo, lazima viongozi wetu watambue nchi zote hizi kenya,Uganda, Rwanda na Burundi wana matatizo makubwa ya ardhi. Kuna wakati sioni faida kubwa sana za kuwa na umoja wa sarafu labda nielimishwe zaidi, binafsi siupendi huu mtangamano hasa nikiangalia hulka na desturi za wenzetu katika masuala ya ukabila,ukatili, ubinafsi,dharau. Watanzania tuna matatizo yetu lakini bado tunaishi pamoja kama ndugu,kiwango cha kuvumiliana bado kiko juu sana.
 
Last edited by a moderator:
Mtu yeyote aliyewahi kuishi au kufanya kazi na wakenya atakubaliana na mimi kuwa si kweli kuwa wao ni competent kwenye kazi kuliko Watanzania. Wao hupenda kuamini hivyo na hufanya kila mbinu kuwafanya waajiri waamini hivyo. Mbinu wanayotumia kubwa ni uwezo wao wa kuongea kiingereza kwa kujipendekeza kwa waajiri na kuripoti kuwa kila kizuri kilichofanyika kazini hapo ni matunda ya wakenya wakati kila ovu na udhaifu wote wamefanya Watanzania. Hivyo hutaka hata walipwe zaidi na wawe wasimamizi na mabosi huingia kingi. Hawa jamaa ni washenzi sana. Sisi kingereza na kutokuwa na tabia ya kujipendekeza ndio vinavyotugharimu

AWESOME BROTHER.WATANZANIA WAJARIBU KUKAA NAO VIZURI KABLA YA HUU MUUNGANO THEN WATAJUA KUWA NI WATU DHAIFU SANA KWA HATA ILO MNALOSEMA -ENGLISH. Nimelabour sana kwenye english na nimefika huko kwao na kuishi nao, wakenya ni nothing kwenye hilo.Watz. Ni HOFU TU.SIFA ZAO KUJIPENDEKEZA TU.WAJE KWENYE HIZO AJIRA THEN WAKUTANE NA MZIKI WA KIZAZI KIPYA KWENYE HAYO WANAYOFIKIRI HATUWEZI.
 
Gaijin,

..well, lakini Tanganyika haiko ulaya.

..hapa nyumbani tulikuwa na nchi mbili tukaziunganisha kuwa nchi moja.

..sasa kuna tatizo gani kwa wananchi wake[wa-TGK na wa-ZNZ] kujitambulisha na kujisikia fahari kwa utaifa wao mpya??

Kwa sababu hakuna nchi moja yenye serikali mbili.

Huko China ambapo hakukuwa na ubadilishaji wa jina, ukimkuta mtu kutoka Hong Kong atakwambia yeye anatoka Hong Kong na sio China kijumla jumla. Taiwan, ndio kabisa.

Kwa hiyo kwa Wazanzibari kujifakharisha kwa kwao haliwezi kuepukika mara tu mulipowapa Rais, Mawaziri na Idara zisizokuwemo kwenye nchi moja (Muungano)

Watanganyika wanashangaza kutokubaki na identity yao wakati wana wizara zinzoshughulikia masuala yao tu.

Na hapo ndipo niliposema kuwa sijawahi kuona watu wasiojali identity yao kama Watanganyika [na sio Watanzania]

*Tanabahi

Jumuiya ya Afrika Mashariki haiundi nchi moja, inaunda shirikisho. Kwa nini watu waache Utanzania wao kwa kuwa wanaongia kwenye Shirikisho?
 
Last edited by a moderator:
Angeongezea nyama kwenye article yake ( mashaka) na kuzungumzia security ...
Tanzania tusijiingize kwenye issues za Kenya.
Tlipokuwa tunapondwa na kupata shida tukipigana msituni na UN ili Zimbabwe, Mozambique, Angola, Namibia, South Africa.... na sasa sahrawi.
Kama kuna radio iliyokuwa inasikilizwa msituni na SWAPO au Umkhonto we sizwe basi ilikuwa RTD external service.
Kenyans know that we have a respectable history and we are just down to earth people who loves to just have fun ... i mean fun.
Where were you??? ..... we dont know you mayn!!!
PISHA NJIA.
 
I did not know that Mashaka is a former Burundi refugee. I thought he was from Tarime.

Jasusi umeona pale wakenya wanavyokuambia ndugu Mashaka is worth in nothing rather than english in which it took them consecutive years in teaching him...inshort they have diverge from discussing issues presented by Mashaka and resort into personal attacks.
 
Last edited by a moderator:
..tatizo ni umimi.

..kwanini tunazungumzia U-Kenya, U-tanzania, etc?

..kwanini tusiwe kitu kimoja East Africans?

NB:

..monetary union in challenges zake na sidhani kama wa-Tanzania, au hata wa-Kenya tuko tayari kwenda huko.

hivi wewe unaweza kuungana na mtu asiye na kitu mkononi mfanye biashara? Ukitegemea kwamba vitegauchumi vyake vitakuwa vya wote? Never! Hawa jamaa hawana ardhi, hawana vivutio vya utalii, madini wanabahatisha aafu uungane nao ili wafaidike kwa mtaji wako. Huoni wanavyogombania kila siku sheria za utalii ziwe sawa ili watalii wawe wanatua nairabi wanachukua guiders wakenya, wanalala hoteli kenya, wanapanda magari ya kenya, wanakuja kutalii tz aafu wanarudi kenya? Watu wana tour guiders wengi kuliko sehemu za kwende kutalii! By the way ulisikia mgogoro wa serengeti na masai mara? Kwani nani kakwambia kuungana ndo kutaondoa matatizo ya miaka yote ya ccm? Kwa nini nchi ya uganda haishikilii bango kama kenya?
 
...
Kenyans.... 1: WANAONGOZA KWA SURA MBAYA
huu ni utafiti wa South Africa last year 2011 hata
balozi wao alikuwapo SA.... shame on them... Na wana lugha mbaya saana hawa.... mkome hakuna kufanya kazi kwetu Tz hatuwataki, tena HAKUNA NA NI MARUFUKU KUWAOA HAWA AU KUTUOLEA DADA ZETU.... worst genes ever...

2: THEM KENYANS what maendeleo do they have..?? kipi, lipi... naijua Nairobi, Mombasa, Kericho...etc.... nothing..!!

EAC lazima WaTz tuwe macho hakuna kazi kwa hawa sura & lugha mbaya, most Tz hate hawa...

Wasituzoee..... mkome na low profile zenu huko...
 
Back
Top Bottom