Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

Kitu cha kwanza ktk maisha ni Identity kenya wanajiita wakenya, tulipaswa Tuwe Tanganyika kwanza ndo tujiunge EA bila hivyo tutaburuzwa tu Zanzibar ijiunge ka Zanzibar.

Kenya wanasema ukweli dhidi yetu sio dharau kenya wapo kimaslahi zaidi wakati sisi tupo kihuruma zaid, Kenya walishirikiana na Makaburu sisi tukashirikiana na ANC, angalia in return nani amefaidika.

EU kabla ya one currency waliweka vigezo kwa nchi wanachama wote kwanza ni kuinua currency iwe level kidogo sawa na Germany na France kwa nchi kama Turkey, Greece, Czeck na nk sasa usd 100 sawa na Ksh 8,607.29 wakati Usd 100 ni sawa Tsh 160,000 hata tukija ktk one curency EA share yetu itakuwa ndogo sana Lazima Tutamezwa so inabidi tupewe muda hata miaka 10 ya kuifanya Tsh yetu Strong against dollar

TUTUMIE MBINU ZILEZILE ZA EU KWA WANACHAMA WAO WADOGO WALIOKUWA NA CURRENCY YENYE VALUE NDOGO KULIKO YA GERMANY NA FARANCE ILI SHARE YETU IWE KUBWA PIA TUACHE KUTEGEMEA NJE TUNAICHAGUA RAIS YULE MWENYE SIFA YA KUJUA KUJENGA HOJA YA KUOMBA MISAADA SIYO WA KUJENGA UCHUMI UNAOJITEGEMEA
 
I strongly agree EAC could place our region far in as far as economic development of the region is concern.
Many countries in the world still beleaving in the philosophy of union and cooperation to raise their voice far and hold their stance for the benefit of their social, political and economic development.

We shouldn't be rigid by embracing the old doctrine of selfishness and individualism.Unit is a strength.Look the EURO how powerful it is now against $ and Pound, simply because of the existence of the European Union.We shouldn't get worried if the Monetary policy are well planned and executed and fiscal policy to be liaise with policy and regulation among all member state to bring about mutual beneficial between member states.

Kenya has its own weakness (like Tribalism a and some political grudge) and has its own strength too (among the good economy and low inflation country), the same to Tanzania has its own strength and weakness different from other members .we need to share the experience, knowledge, skills etc
 
Father of All

Shame on all such bete noix

Your Excellency, I like the term "bete noire", suits the Kenyans with their "double standards". The East African Community, call it integration if you like, has failed twice in the past- and all because of them- what they do not tell us is why their change of mind this time? To them, what makes it tick?
 
Kujiunga na wakenya ni kukaribisha matatizo that is the truth and only truth,but we are already a little too late,kenyans are already over crowded in the streets of the border close towns such as arusha,they are hawkers,miners,laymans,shoplifters and even smugglers,hakika tunamkumbatia nyuki and soon we will come to regret if not now,wamejazana kufanya kazi zisizo za kitaaluma ila jaribu mtanzania kwenda kwao eti kufanya kazi!!! Utajuta kuwajua hawa viumbe.
 
I did not know that Mashaka is a former Burundi refugee. I thought he was from Tarime.....

Mimi nashanga, hivi mtu wa Kenya ana shida gani mpaka afikie hatua ya kumsema eti Mashaka ni mtu kutoka Burundi, hii ni moja ya mbinu za baadhi (nasema baadhi ya wakenya si wote, wengi wao ni watu wastaarabu hawana wajivuno) wachache wao kama huyu a misguided NAIROBIAN ndio wako hell bent kutaka kufitinisha watu/nchi wasielewane - ni watu hatari sana, bahati nzuri Watanzania tumekwisha wajulia ndio maana unamuona NAIROBIAN ameona jamiiforums ndio mahala pazuri pa ku-vent anger/frustrations zake kuhusu Watanzania tangu tukatae a shotgun wedding ya EAF. Stance yetu hiyo hisiyo yumba ndio inawatia uwenda wazimu wa kuanza kutubatiza majina ya kila aina/sampuli - kumshambulia ndugu Mashaka kwa mfano hio ni moja ya mbinu zao za kitoto.

Labda anataka tumuhulize swali - Kwani anataka nin? tumfukuze ndugu Mashaka nchini kwa kuwa Mkenya kasema ndugu Mashaka ni Mrundi! Anamshambila ndugu Mashaka bila simile kutokana na yeye kuzielewa vizuri njama za Wakenya za kutaka kujipenyeza TANZANIA kwa kupitia mlango wa nyuma au kijifanya ni watu weledi sana Tanzania can not afford to do anything without 'em!! Yaani wana an inflated view of their importance ndani ya Africa Mashariki wakati si kweli, wengi wao ni walala hoi tu kama walivyo Watanzania.

Mashaka kama ni Mtanzania au la wenye mamlaka ya kuamua ni raia wa nchi gani ni sisi Watanzania sio Kenya. Mbona waziri wenu wa ulizi/mambo ya ndani ni Msomali - usilete mambo ya upuuzi wako hapa, elimu gani unayo zungumzia - kuzungumza kingereza fluently ndio kigezo cha kuelimika!!! - kwani Wachina, Warusi, Wajapan etc Wanazungumza Kingereza? Elimu yenu ya kumaliza four four alafu unaingia Chuo kikuu unaona hiyo sawa - mbona wengine tulibahatika kusoma na Wakenya nchi za nje - walikuwa wanajua kingereza tu lakini mambo ya sayansi na hesabu walikuwa wako nyuma sana, asilete mambo ya kuhadaa watu hapa.

Nimejarinbu kumsoma kwa umakini - post yake 99.9% imejaa majivuno/majigambo wakati Kenya ni nchi masikini tu kama zilivyo nchi zote za dunia ya tatu, hawana lolote ni RAIA wachache MATAJIRI walio grab aridhi yenye rutuba wakawasahau walala hoi wanao endelea ku wallow in abject poverty wengine wanalala kwenye cardboard box, leo hii mtu kama huyu anataka kuipa somo TANZANIA!!!!!

Kwanini hawatulii ndani ya nchi yao ambayo ni almost semi-desert, si mnajifanya mna akili kuliko Watanzania kwa nini amuwahigi wa Israel mkageuza jangwa likawa aridhi ya kulima mazao na nafaka mkahachana kutegemea mahindi kutoka Tanzania, nimeyasema haya kwa kukasilishwa na lugha zake zenye kejeri, sina shaka siku nyingine atajifikilia mara mbili kabla hajaleta vitu visivyo na tija, labda nimalizie kwa kusema kuna mambo mengi ninayo yaelewa vizuri kuhusu Kenya baada ya kuishi na Wakenya kwa muda mrefu lakini kwa leo naishia hapa.
 
Lets allow competition.. We will grow. If continue to avoid it we will continue to be as blind as we used to be. Welcome kenyans... welcome EA community. Tanzanian are very fearful. The only thing they know is politics.. everyone is a politician. Leave the politics aside, concentrate in your proffession as you do in reading political headlines. You will give me results in two years to come. No kenyan will take your chance.
Politik Politic tu. AAAAAAAAAAAAAAAAHhhhhhhhhhhhhhh!
 
Ila kwenye URUNDI mi naungana na wengine. Warundi wamejaa mno nchi hii. Mpaka wanatusemea mambo yetu. Wazaramo, wagogo, wahaya, wachaga na wengineo wamekalia wizi tu. AHHHHHHHHHHHHHHHHHHH!
 
generaly african are still in the jungle schologicaly thinking like gorila or mafisi even if you give them whole elephant, they will still fighting while eating, some will kill their fellows while there is enough for every one ;we tanzanians a lazy, fool heads and selfish yaani kama mang'ombe , kenyas a like mafisi ,extrem selfish,immoral and greedy ,just watch how they will fight in names of tribes and destroy their own country manyang'au-so mang'ombe na manyang'au hawawezi kukaa pamoja muda wa kuungana bado sana.....akili hizo hatuna jamaniiiiiiiiiiii
 
some body get me out of here...mnampa michuzi, kibonde na the sort international platform?Kwanini msiadharaulike?

kwani michuzi ana tatizo gani?au hiyo site yake?mbona iko juu tu na inayo matangazo kibao .sema raha ya Jf ni kwamba sisi member tunaanzisha threads.wakati michuzi yeye ndo anapost thread ili member mchangie.
 
Wala haina haja ya kutoka povu wabongo wenzangu! Mtu akikudharau na wewe mdharau hapo heshima lazima ijijenge naturally kati yenu! Waacheni wajishaue tu March siyo mbali wana uchaguzi mkuu siwaombei mabaya lakini mtaniambia kama ya 2008 hayajirudii.
 
Manyang'au wa Kenya wanalilia ardhi yetu tu hakuna kingine.
Wanaona wivu kwa waarabu na wachina kujipatia mahekari ya ardhi huku wao wakiwekewa ngumu.

Pamoja na kwamba siungi mkono tabia hii inayokua kwa kasi ya ajabu ya serikali kugawa ardhi yetu kiholela kwa wachina na waarabu lakini pia siungi mkono kamwe kuwaachia wakenya ardhi yetu, hao jamaa hawafai hata kidogo.
 
nyie watanganyika mna akili za bundi kweli ivi mkiambiwa ukweli mnakasirika nini? nyi mnafikiri mko sawa na wakenya? ipimeni shilingi yenu kwanza na kenya shillings halafu muone nini tofauti? wakenya kuwa wengi hawana ajira ivi mmetizama tanganyika vijiweni?

mimi nimesoma na wakenya wale watu kwa sababu elimu yao siyo ya mabanda kama yetu wan-graduate mapema sasa vijana wengi wamelakiza shahada kazi hakuna ni kama nchi nyengine yoyote ile ajira ni tatizo lakini wakenya wana akili sio kama watanganyika.

tatu angalieni watanganyika mnapeleka nini kenya? si mnawapelekea mazao ya mashambani? raw goods,,lakini wap wanaleta kwenu industrial goods,,biadhaa za viwandani hichi ndio kipimo cha maendeleo,,msikurupuke kutoa matusi tu jibuni hoja,,,watanganyika hamuna kitu kwa kenya na kama hamuamini iingizeni ardhi ndani ya muungano muone kiama.
 
ccm ndio imesababisha aibu zetu zote. Nani atawaheshimuni kama Waziri wenu mkuu anasema 'Tukiwakamata mafisadi uchumi utayumba'
Tuna kila sababu ya kudharaulika kwa kweli
Naunga mkono hoja!! Serikali inayoongozwa na CCM ndo imetufanya tuonekane viazi hapa Dunia na sio tu hapo Kenya, Hivi kwa upuuz unaofanywa na serikali hii kuanzia kwenye kudeal na mafisadi, kwenye elimu na hata afya, hivi tunategemea huyo atakayetuheshimu kiutendaji na kiufanisi ni nani??? Akituonea sana huruma atuthamini tu kwa vile na sisi ni binadamu!

Tusitokwe na povu ndugu zangu hii ndiyo hali halisi, wanaotudharau ni wengi sana. Hawana haja ya kuturemba wakati hata sisi wananchi wenyewe tunaidharau nchi yetu kwa ujinga unaofanywa na genge la mafisadi wanaoongoza nchi.
 
Jana nimemsikia Uhuru Kenyata akisema yuko tayari kuachia ngazi mbio za uraisi na atafurahi sana akipewa kazi ya kuwa balozi wa Kenya nchini Tanzania kwani Tanzania ni nchi nzuri na yenye fursa nyingi kwa hiyo akiwa balozi atawatafutia fursa kibao wakenya wenzake waje TZ kuchuma,na kweli lazima aipende kwani maziwa yake ya Brookside na Tuzo yamejaa tele kila pembe Tz ,yeye ni Bakhresa wa maziwa hapa bongo
 
Jana nimemsikia Uhuru Kenyata akisema yuko tayari kuachia ngazi mbio za uraisi na atafurahi sana akipewa kazi ya kuwa balozi wa Kenya nchini Tanzania kwani Tanzania ni nchi nzuri na yenye fursa nyingi kwa hiyo akiwa balozi atawatafutia fursa kibao wakenya wenzake waje TZ kuchuma,na kweli lazima aipende kwani maziwa yake ya Brookside na Tuzo yamejaa tele kila pembe Tz ,yeye ni Bakhresa wa maziwa hapa bongo

Kuungana na hawa watu ittuletea matatizo mengi hata vita. Ni bora tubaki tulivyo. Muungano na zanzibar inakuwa tabu na wakenya, si mwisho wa siku watadai ardhi yetu ya rusha na kilimanjaro?
 
Kwa sababu hakuna nchi moja yenye serikali mbili.

Huko China ambapo hakukuwa na ubadilishaji wa jina, ukimkuta mtu kutoka Hong Kong atakwambia yeye anatoka Hong Kong na sio China kijumla jumla. Taiwan, ndio kabisa.

Kwa hiyo kwa Wazanzibari kujifakharisha kwa kwao haliwezi kuepukika mara tu mulipowapa Rais, Mawaziri na Idara zisizokuwemo kwenye nchi moja (Muungano)

Watanganyika wanashangaza kutokubaki na identity yao wakati wana wizara zinzoshughulikia masuala yao tu.

Na hapo ndipo niliposema kuwa sijawahi kuona watu wasiojali identity yao kama Watanganyika [na sio Watanzania]

*Tanabahi

Jumuiya ya Afrika Mashariki haiundi nchi moja, inaunda shirikisho. Kwa nini watu waache Utanzania wao kwa kuwa wanaongia kwenye Shirikisho?

Gaijin,

..ukiona mtu anabeba passport ya nchi fulani, halafu anajitambulisha kwa utaifa mwingine, basi ama mtu huyo ana matatizo au nchi yake ina matatizo.

..malengo ya nchi yalikuwa ni kuunda taifa moja, dola moja, kati ya Tanganyika na Zanzibar.

..muungano wetu una matatizo ndiyo maana unaona upande mmoja unaona fahari kujitambulisha kama wa-Tanzania, wakati upande mwingine umegoma kujitambulisha hivyo.

..wa-ZNZ nao wana inferiority complex kwamba "watamezwa" na pia wana matatizo yao ya ubaguzi, zaidi wamekuwa wakidekezwa na kuendekezwa ktk tabia zao hizo. matokeo yake ndiyo hayo wamedata ktk u-Zanzibari.

..Nigeria ni shirikisho, na wananchi wake wanaona fahari sana kujitambulisha kama wa-Nigeria. Hata wa-Ibo waliotaka kujitenga na kuunda Biafra wanajitambulisha kama wa-Nigeria, ingawa pembeni wanalalamika kuhusu ukatili waliofanyiwa na ndugu zao toka kaskazini.
 
Last edited by a moderator:
hivi wewe unaweza kuungana na mtu asiye na kitu mkononi mfanye biashara? Ukitegemea kwamba vitegauchumi vyake vitakuwa vya wote? Never! Hawa jamaa hawana ardhi, hawana vivutio vya utalii, madini wanabahatisha aafu uungane nao ili wafaidike kwa mtaji wako. Huoni wanavyogombania kila siku sheria za utalii ziwe sawa ili watalii wawe wanatua nairabi wanachukua guiders wakenya, wanalala hoteli kenya, wanapanda magari ya kenya, wanakuja kutalii tz aafu wanarudi kenya? Watu wana tour guiders wengi kuliko sehemu za kwende kutalii! By the way ulisikia mgogoro wa serengeti na masai mara? Kwani nani kakwambia kuungana ndo kutaondoa matatizo ya miaka yote ya ccm? Kwa nini nchi ya uganda haishikilii bango kama kenya?

Nyalotsi,

..usiwe na shaka kuhusu msimamo wangu kuhusu EAC.

..mimi napinga huu muelekeo wa EAC tunaofuata.

..badala ya kufuata mfumo wa EU nadhani ingekuwa bora tufuate mtindo wa NAFTA.

..kuhusu suala la sarafu moja nalo ninalipinga kwasababu mfumo huo utasababisha sera zetu za fedha na kodi ziwe zinaamuliwa NAIROBI badala ya kuamuliwa DODOMA.

..mambo mengine ninayoyapinga ni mkataba wa masuala ya ARDHI, mkataba wa ULINZI, na suala la UHAMIAJI pamoja na VISA ya Afrika Mashariki.
 
Last edited by a moderator:
Nimefanya kazi na wakenya Tz na uko kwao kwa kifupi hawana lolote zaidi ya kujikomba kwa mabosi na wajue fika kuwa kiingeleza sio kazi
Ngasongwa aliwai sema inchi sahihi za kuungana na Tz ni DRC Angola na Mozambique as twafanana kwa mengi unlike hawa wakenya ambao wana hamu ya kuja vuna ya Tz tuu
Tujiulize tukiungana nao what will we gain from them nao watagain nini toka kwetu!
Hawa ndo walitukatalia kuuza meno ya tembo,mlima klm wanasema wao,wanajenga Airport Taveta just near ours,EAC ya mwanzo wao walikomba mali nyingi!Ivi uyu ni rafiki au adui
wakampa JK uDR wa heshima ili iwe mtelemko kuungana as wanajua JK anapenda misifa
 
Mtu yeyote aliyewahi kuishi au kufanya kazi na wakenya atakubaliana na mimi kuwa si kweli kuwa wao ni competent kwenye kazi kuliko Watanzania. Wao hupenda kuamini hivyo na hufanya kila mbinu kuwafanya waajiri waamini hivyo. Mbinu wanayotumia kubwa ni uwezo wao wa kuongea kiingereza kwa kujipendekeza kwa waajiri na kuripoti kuwa kila kizuri kilichofanyika kazini hapo ni matunda ya wakenya wakati kila ovu na udhaifu wote wamefanya Watanzania. Hivyo hutaka hata walipwe zaidi na wawe wasimamizi na mabosi huingia kingi. Hawa jamaa ni washenzi sana. Sisi kingereza na kutokuwa na tabia ya kujipendekeza ndio vinavyotugharimu

Hivi wewe umeshawahi kwenda restaurant au baa za kenya uone wahudumu wanavyojituma halafu ulinganishe na kwetu? Kwenye maduka, supermarket, mabenki kote customer service ya wakenya ni nzuri wametupita. Tatizo la watanzania hatupendi kuacknowledge weakness zetu.

Kwenye research methodology huwa tunafundishwa kuwa hatua ya kwanza ya kutatua tatizo ni kulitambua tatizo na kuliacknowledge kwamba ni tatizo. Tuna matatizo ya uvivu, ubinafisi na kutokuwajibika. Ingawa motive za kakenya kupoint weakness zetu ni kutaka kujineemesha kupitia kwetu, lakini lazima tukiri kwamba hizo weakness tunazo na tuziwekee mikakati ya kuziondoa kulinda heshima yetu.

Hata hilo la elimu tutabisha tu lakini wakenya wanatuzidi, wameanza kuwa na vyuo vikuu vingi zamani na wamesambaa duniani kuliko sisi.
 
Tnadharauliwa kwa sababu tuna rais anayechekacheka na wakenya. Mtu kama Lowasaa hawa mnaya'gau wasingepata jeuri ya kutudharau
 
Back
Top Bottom