Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,156
Hivi hawa mawaziri wana vyeti vya form four?
Sijaulizia Degrees, Master's au PhD.
Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati.
Kila jambo likija mikononi mwake anaamini kuwa ni haki yake na anastahili.
Hawa mawaziri ambao kila wakiona mike na au kamera mbele zao wakiulizwa swali au jambo lolote lazima waanze kwa kumshukuru Rais Samia na kumsifia nauliza wana vyeti vya form four?
Sijaulizia Degrees, Master's au PhD.
Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati.
Kila jambo likija mikononi mwake anaamini kuwa ni haki yake na anastahili.
Hawa mawaziri ambao kila wakiona mike na au kamera mbele zao wakiulizwa swali au jambo lolote lazima waanze kwa kumshukuru Rais Samia na kumsifia nauliza wana vyeti vya form four?