Nchi hatari zaid kwa binadamu kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,090
2,710
Hizi ni nchi hatari zaidi kwa watetezi wa uhai.Hunyonga mamia kwa mamia kila mwaka.

China watu zaidi ya 1000 kwa mwaka

Iran watu zaidi ya 500 kwa mwaka

Saudi Arabia watu zaidi ya 150 kwa mwaka.

Makosa ikiwa ni wanasiasa wa upinzani,madawa,ushoga ,Rushwa na uhaini

A86B5F56-99DC-4163-BBBD-B9C73BC31005.jpeg


IRAN pia ilinyonga watu waliojihusisha na maandamano juu ya kifo cha mwanamke ambaye aliuliwa na polisi kwa kutovaa hijabu.
 

Attachments

  • C50C1CAE-8EF3-4E24-8154-FDDB77D33B1C.jpeg
    C50C1CAE-8EF3-4E24-8154-FDDB77D33B1C.jpeg
    46.3 KB · Views: 4
  • 57F69403-4006-433E-9CF3-CCBF4991AEAB.jpeg
    57F69403-4006-433E-9CF3-CCBF4991AEAB.jpeg
    57.3 KB · Views: 3
Hizi ni nchi hatari zaidi kwa watetezi wa uhai.Hunyonga mamia kwa mamia kila mwaka.
China watu zaidi ya 1000 kwa mwaka
Iran watu zaidi ya 500 kwa mwaka
Saudi Arabia watu zaidi ya 150 kwa mwaka.

Makosa ikiwa ni wanasiasa wa upinzani,madawa,ushoga ,Rushwa na uhaini
Hizo nchi zinasheria kali Sana ya kushughulikia wahalifu au maadui Zao.

Ila sio hatari kwa binadamu kuishi.
 
Hizi ni nchi hatari zaidi kwa watetezi wa uhai.Hunyonga mamia kwa mamia kila mwaka.
China watu zaidi ya 1000 kwa mwaka
Iran watu zaidi ya 500 kwa mwaka
Saudi Arabia watu zaidi ya 150 kwa mwaka.

Makosa ikiwa ni wanasiasa wa upinzani,madawa,ushoga ,Rushwa na uhaini
Si hatari maana waharifu wanajua watakipata cha mtema kuni.

Sasa nchi hizo ambazo wewe waona salama, chukulia mexico, us watu wanauana wenyewe. Mwanafunzi anaweza chukua bunduki akaanza rusha risasi kwa wanafunzi wenzake. Na ni matukio ya kila mara.
Ni salama zaidi kuwa huko kuliko nchi hizo nyingine.

Ona yule rais aliyechukua magang wote katia gerezani, raia wake wanafurahi nchi imekuwa salama eti haki za binadamu wanaanza ooh amevunja haki zao wakati nchi ilikuwa inaongozwa na magenge hadi raia wanakimbia nchi na hawarudi. Now ni salama hadi watalii wanatembea mtaani kwa amani
 
Hizi ni nchi hatari zaidi kwa watetezi wa uhai.Hunyonga mamia kwa mamia kila mwaka.
China watu zaidi ya 1000 kwa mwaka
Iran watu zaidi ya 500 kwa mwaka
Saudi Arabia watu zaidi ya 150 kwa mwaka.

Makosa ikiwa ni wanasiasa wa upinzani,madawa,ushoga ,Rushwa na uhaini
kama kunyongwa kwa watu buku kila mwaka ndiyo umesababisha uhalifu na ufisadi wa kutisha kupungua na kuifanya china kuimarika kimaendeleo ( elimu afya huduma za kijamii bora miundombwinyu safi 😂 ) basi sisi tz hatuna budi kufata mfano huo.

Kuliko kulimbikiza mijizi na mifisadi ya kutisha huku watu wasio na idadi kufariki kwa ujinga wa kukosa elimu ya muhimu na kukosa huduma za hospital (madawa ma vifaa) kutokana na ufisadi....zikiwemo pia miundo mbinu zinazojengwa chni ya kiwango kupelekea watu kibao kufa kimya kimya.

Nasemaje n bora tunyonge wala rushwa na mafisad kuweke sheria kali ili tuendelee .........kuliko kuendendelea kuwa hv hv miaka 60 ya uhuru umeme na maji bado shida.

Ngoja niishie hapa make nina hasira sana zile hela zinazopotea kila siku kwenye riport ha CAG miaka yote hiyo toka enz na enz tungekuwa tunanyonga wabadhirifu tungekuwa saiv hatuna shida kabisa hasa katika huduma muhimu za kijamii by keyboard warrior😂🤣😅😆😁
 
kama kunyongwa kwa watu buku kila mwaka ndo umesababisha uhaligu na ufisadi wa kutisha kupungua na kuiganya vhina kuimarika kimaendeleo na huduma za jamii basi...
Mkuu punhuza hasira ! maneno mengi uliyotype hayasomeki
 
Si hatari maana waharifu wanajua watakipata cha mtema kuni.
Sasa nchi hizo ambazo wewe waona salama, chukulia mexico, us watu wanauana wenyewe. Mwanafunzi anaweza chukua bunduki akaanza rusha risasi kwa wanafunzi wenzake. Na ni matukio ya kila mara...
Equador au el salvador

ECEDD3A1-AA3F-472F-9191-B2BF9C1D0495.jpeg
 
Back
Top Bottom