Iran na Saudi arabia kuungana kijeshi?Pigo kwa mabeberu

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Maafisa wa kijeshi wa Iran, Saudia wajadiliana kuhusu ushirikiano

Aug 17, 2023 11:08 UTC

Maafisa wa kijeshi wa Iran na Saudi Arabia wamekutana kwa mara ya kwanza tangu mapatano yaliyofikiwa mwezi Machi baina ya pande mbili mwezi Machi mwaka huu wa 2023 kwa upatanishi wa China.

Kwa mujibu wa taarifa, kikao hicho kilifanyika kati ya Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh na Msaidizi wa Waziri wa Ulinzi wa Saudia Talal bin Abdullah al-Otaibi pembezoni mwa Mkutano wa 11 wa Moscow kuhusu Usalama wa Kimataifa.

Mkutano huo ulijumuisha makubaliano kati ya pande mbili juu ya kubadilishana waambata wa kijeshi "haraka iwezekanavyo."

Kwa mujibu wa Televisheni ya Press TV wakati wa mkutano huo, viongozi hao walitilia mkazo "azma ya pande mbili ya utekelezaji" wa makubaliano ya maridhiano.

Maafisa hao wa kijeshi wa Iran na Saudia waliyataja makubaliano ya mwezi Machi kuwa yanayolingana na maslahi ya Tehran na Riyadh na nchi nyingine za eneo na ulimwengu wa Kiislamu.

Maafisa hao wa ulinzi wa Iran na Saudia pia walisisitiza umuhimu wa jukumu ambalo linatekelezwa na vikosi vya jeshi la nchi mbili katika utekelezaji sahihi wa maelewano.

Aidha wamesema ni muhimu kwa nchi kuendeleza mazungumzo yao na kujitahidi kuelekea "kupatikana kwa ramani sahihi katika uwanja huo."

Uhusiano wa Iran na Saudia ulivurugika baada ya Saudia kuchukua hatua ya upande mmoja ya kuukata mnamo Januari 2016, baada ya waandamanaji wa Iran, waliokasirishwa na kunyongwa kwa kiongozi mashuhuri wa Shia Sheikh Nimr Baqir al-Nimr na serikali ya Saudi Arabia, kuvamia ubalozi wa Saudia jijini Tehran. Kufuatia upatanishi wa China mwezi Machi, Iran na Saudia ziliafikiana kurejesha tena uhusiano. Tayari balozi za nchi mbili zimefunguliwa Riyadh na Tehran na hii leo Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian yuko ziarani nchini Saudia kuendeleza mchakato wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili.



4c3o03f27936ed2cicv_800C450.jpg
 
Maafisa wa kijeshi wa Iran, Saudia wajadiliana kuhusu ushirikiano

Aug 17, 2023 11:08 UTC

Maafisa wa kijeshi wa Iran na Saudi Arabia wamekutana kwa mara ya kwanza tangu mapatano yaliyofikiwa mwezi Machi baina ya pande mbili mwezi Machi mwaka huu wa 2023 kwa upatanishi wa China.

Kwa mujibu wa taarifa, kikao hicho kilifanyika kati ya Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh na Msaidizi wa Waziri wa Ulinzi wa Saudia Talal bin Abdullah al-Otaibi pembezoni mwa Mkutano wa 11 wa Moscow kuhusu Usalama wa Kimataifa.

Mkutano huo ulijumuisha makubaliano kati ya pande mbili juu ya kubadilishana waambata wa kijeshi "haraka iwezekanavyo."

Kwa mujibu wa Televisheni ya Press TV wakati wa mkutano huo, viongozi hao walitilia mkazo "azma ya pande mbili ya utekelezaji" wa makubaliano ya maridhiano.

Maafisa hao wa kijeshi wa Iran na Saudia waliyataja makubaliano ya mwezi Machi kuwa yanayolingana na maslahi ya Tehran na Riyadh na nchi nyingine za eneo na ulimwengu wa Kiislamu.

Maafisa hao wa ulinzi wa Iran na Saudia pia walisisitiza umuhimu wa jukumu ambalo linatekelezwa na vikosi vya jeshi la nchi mbili katika utekelezaji sahihi wa maelewano.

Aidha wamesema ni muhimu kwa nchi kuendeleza mazungumzo yao na kujitahidi kuelekea "kupatikana kwa ramani sahihi katika uwanja huo."

Uhusiano wa Iran na Saudia ulivurugika baada ya Saudia kuchukua hatua ya upande mmoja ya kuukata mnamo Januari 2016, baada ya waandamanaji wa Iran, waliokasirishwa na kunyongwa kwa kiongozi mashuhuri wa Shia Sheikh Nimr Baqir al-Nimr na serikali ya Saudi Arabia, kuvamia ubalozi wa Saudia jijini Tehran. Kufuatia upatanishi wa China mwezi Machi, Iran na Saudia ziliafikiana kurejesha tena uhusiano. Tayari balozi za nchi mbili zimefunguliwa Riyadh na Tehran na hii leo Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian yuko ziarani nchini Saudia kuendeleza mchakato wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili.



View attachment 2721979
Saudia ni wakala wa mabeberu tu, time will tell
 
Maafisa wa kijeshi wa Iran, Saudia wajadiliana kuhusu ushirikiano

Aug 17, 2023 11:08 UTC

Maafisa wa kijeshi wa Iran na Saudi Arabia wamekutana kwa mara ya kwanza tangu mapatano yaliyofikiwa mwezi Machi baina ya pande mbili mwezi Machi mwaka huu wa 2023 kwa upatanishi wa China.

Kwa mujibu wa taarifa, kikao hicho kilifanyika kati ya Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh na Msaidizi wa Waziri wa Ulinzi wa Saudia Talal bin Abdullah al-Otaibi pembezoni mwa Mkutano wa 11 wa Moscow kuhusu Usalama wa Kimataifa.

Mkutano huo ulijumuisha makubaliano kati ya pande mbili juu ya kubadilishana waambata wa kijeshi "haraka iwezekanavyo."

Kwa mujibu wa Televisheni ya Press TV wakati wa mkutano huo, viongozi hao walitilia mkazo "azma ya pande mbili ya utekelezaji" wa makubaliano ya maridhiano.

Maafisa hao wa kijeshi wa Iran na Saudia waliyataja makubaliano ya mwezi Machi kuwa yanayolingana na maslahi ya Tehran na Riyadh na nchi nyingine za eneo na ulimwengu wa Kiislamu.

Maafisa hao wa ulinzi wa Iran na Saudia pia walisisitiza umuhimu wa jukumu ambalo linatekelezwa na vikosi vya jeshi la nchi mbili katika utekelezaji sahihi wa maelewano.

Aidha wamesema ni muhimu kwa nchi kuendeleza mazungumzo yao na kujitahidi kuelekea "kupatikana kwa ramani sahihi katika uwanja huo."

Uhusiano wa Iran na Saudia ulivurugika baada ya Saudia kuchukua hatua ya upande mmoja ya kuukata mnamo Januari 2016, baada ya waandamanaji wa Iran, waliokasirishwa na kunyongwa kwa kiongozi mashuhuri wa Shia Sheikh Nimr Baqir al-Nimr na serikali ya Saudi Arabia, kuvamia ubalozi wa Saudia jijini Tehran. Kufuatia upatanishi wa China mwezi Machi, Iran na Saudia ziliafikiana kurejesha tena uhusiano. Tayari balozi za nchi mbili zimefunguliwa Riyadh na Tehran na hii leo Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian yuko ziarani nchini Saudia kuendeleza mchakato wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili.



View attachment 2721979
watatoa wapi silaha? mababeru bado watategemewa tu kwasababu mwarabu hajapata bado akili ya shule ya kuweza kutengeneza silaha. pia, kama hata siku moja shiha waliwahi kuungana na suni toka moyoni, basi hiyo itakuwa historia. ni urafiki wa mashaka huo wa pundamilia na simba.
 
watatoa wapi silaha? mababeru bado watategemewa tu kwasababu mwarabu hajapata bado akili ya shule ya kuweza kutengeneza silaha. pia, kama hata siku moja shiha waliwahi kuungana na suni toka moyoni, basi hiyo itakuwa historia. ni urafiki wa mashaka huo wa pundamilia na simba.
Silaha Iran anazo tena zenye ufanisi kuliko za magharibi

Pili watatoa kwa Russia na China ambao wanazo silaha pia
 
Silaha Iran anazo tena zenye ufanisi kuliko za magharibi

Pili watatoa kwa Russia na China ambao wanazo silaha pia
angelikuwa na hizo silaha, israel leo hii isingeexist. hujui kitu. kati ya waislam wenye uchungu na wapalestina kuliko wote duniani, Iran ni ya kwanza, na wana haki kuwa hivyo, lakini uwezo ndio hawana. israel kila mara anatuma videge visivyo na rubani vinalipua maeneo yeyote wanayoyataka, yote hiyo ni kuwadhihirishia kwamba wakiamua kuwapiga watawapiga bila wao kudetect chochote.
 
angelikuwa na hizo silaha, israel leo hii isingeexist. hujui kitu. kati ya waislam wenye uchungu na wapalestina kuliko wote duniani, Iran ni ya kwanza, na wana haki kuwa hivyo, lakini uwezo ndio hawana. israel kila mara anatuma videge visivyo na rubani vinalipua maeneo yeyote wanayoyataka, yote hiyo ni kuwadhihirishia kwamba wakiamua kuwapiga watawapiga bila wao kudetect chochote.
Sidhani kama umewaza kiusahihi ndo tuseme kuwa kwa kua Russia ana silaha kali pia basi US asingekuwepo

Au kwa kuwa US ana silaha kali bali nchi US anazozichukia basi ingekua alishazifuta

Kumfuta mtu dunian kuchukua maamuzi ya hivyo sio rahisi kama unavyofikiria,kingine ni kuwa huwezi kuanza kumshambulia mtu au kupiga mtu kama hajakuchokoza au kukushambulia na pia tunapima na uwezo wa shambulizo au uchokozi
 
Sidhani kama umewaza kiusahihi ndo tuseme kuwa kwa kua Russia ana silaha kali pia basi US asingekuwepo

Au kwa kuwa US ana silaha kali bali nchi US anazozichukia basi ingekua alishazifuta

Kumfuta mtu dunian kuchukua maamuzi ya hivyo sio rahisi kama unavyofikiria,kingine ni kuwa huwezi kuanza kumshambulia mtu au kupiga mtu kama hajakuchokoza au kukushambulia na pia tunapima na uwezo wa shambulizo au uchokozi
mission ya kwanza kabisa ya Iran, ni kuifuta ISRAEL ili wapalestina wakombolewe. hiyo walishawekaga wazi kitambo. wangeshampa hezbolah silaha hatarishi.
 
angelikuwa na hizo silaha, israel leo hii isingeexist. hujui kitu. kati ya waislam wenye uchungu na wapalestina kuliko wote duniani, Iran ni ya kwanza, na wana haki kuwa hivyo, lakini uwezo ndio hawana. israel kila mara anatuma videge visivyo na rubani vinalipua maeneo yeyote wanayoyataka, yote hiyo ni kuwadhihirishia kwamba wakiamua kuwapiga watawapiga bila wao kudetect chochote.
Hawezi kukuelewa huyo bwana mdogo.
 
mission ya kwanza kabisa ya Iran, ni kuifuta ISRAEL ili wapalestina wakombolewe. hiyo walishawekaga wazi kitambo. wangeshampa hezbolah silaha hatarishi.
Mahasimu wakubwa wooote wa Israel wanafadhiliwa na Iran, silaha, mafunzo n.k

Umoja wa hizo nchi kiislamu waliwahi kuungana ili kuifuta Israel na wakagonga mwamba.

Kama kungekuwa na uwezekano Iran akatuma kombora moja au akaliunda ili kuifuta Israel basi angeshafanya hivyo maana ndio kiu yake.

Wanaisifia Iran ni bora lakini wanajisahaulisha kwamba Israel anaingia kufanya mission zake Iran na kutoka apendavyo bila bughudha yoyote ile.
 
Back
Top Bottom