Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
Wewe kwa hii akili ndiyo unasema una IQ kubwa 😁😁😁😁 kwani kukomboa nchi maana yake ni nini ? Kwa hoja yako kama kukomboa nchi ni mange kimambi kuwa Rais basi hoja yako ni sahihi ila kama kukomboa nchi ni kuondosha tatizo lililopo active basi wewe ni bogas ....mange anacho fanya ni kuamasisha tu kuondoa tatizo ambalo limesha julikana na kila mtu timamu ...na huko ni kukomboa taifa.
 
Tumewaacha leo mapolisi wa mboga mkae road
Na kesho vp?
for how long wao watakuwa doria kitaa?
and for how long raia tutakuwa ndani (lockdown)?
ngoja tuone nimechoka kuandikaa
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
Ikikupendeza, naomba unisaidie kipimo ulichotumia kupima IQ yako, na mimi nataka nipime. Nimebubujikwa na machozi ya furaha uliposema una IQ kubwa sana. Nasubiri kuona matokeo yake
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii

We mwenye akili na IQ kubwa umechangia nini kwenye nchi zaidi ya mbolea tu! Pathetic
 
Wewe kwa hii akili ndiyo unasema una IQ kubwa 😁😁😁😁 kwani kukomboa nchi maana yake ni nini ? Kwa hoja yako kama kukomboa nchi ni mange kimambi kuwa Rais basi hoja yako ni sahihi ila kama kukomboa nchi ni kuondosha tatizo lililopo active basi wewe ni bogas ....mange anacho fanya ni kuamasisha tu kuondoa tatizo ambalo limesha julikana na kila mtu timamu ...na huko ni kukomboa taifa.
Wewe mbulula na wagalatia wenzako ndio mnataka hako kamalaya kawe raisi wa nchi?
Nendeni mkatafute jamhuri yenu ya malaya na mashoga sio hapa Tanzania
 
IQ Yako ndogo,tungesema tuipime hata 67 usingefika(below the line for mental retardation)..

Watanzania wote wenye akili timamu(kasoro nyinyi below 67)wanataka changes,hao uliowataja hawajawahi kuchaguliwa na Yeyote kua viranja wa kudai mabadiliko,And harakati za kudai mabadiliko sio lazima yaletwe na Mwanasiasa au msomi,Mara ngapi Mbowe alitaka maandamano akatoka yeye na Binti yake?Lissu?..What about now?Lissu yupo Jela,Mbowe hajulikani alipo...

Mapinduzi ya nchi za kiarabu yalianza Tunisia na muuza mbogamboga masikini Mohamed Bouazizi nchi za kiarabu zikasimama..

At this point,sio Dangwa tu au Mange,Hata shetani mwenyewe aseme HAITAKI CCM,wote tutaungana na ibilisi,.
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
kila mtu ana uhuru wa kufanya maamuzi! Mbwa kama nyie mkivunga mnajua kukosoa sababu mmepewa buku 7 mnatia huruma! Eti IQ kubwa! Wenye IQ kubwa hata hawawezi kuongea ujinga kama huu! Huwa wanakaa kimya! Mpuuzi mmoja wewe!
 
Wewe mbulula na wagalatia wenzako ndio mnataka hako kamalaya kawe raisi wa nchi?
Nendeni mkatafute jamhuri yenu ya malaya na mashoga sio hapa Tanzania
Waislam sindiyo mna unga mkono samia mwanamke kuongoza au umesahau ....TATIZO WAISLAM MNA UANITHI WA AKILI MKUBWA SANA.
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
MangeKimambi huyu hapa ndiyo wanamsikiliza:-
20251209_104004.jpg
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
Mange anawatoa uharo nyie ambao akili zenu zipo kwenye mikvndv yenu kwa upande wetu mange hajawapiga risasi watoto wetu aliyeua watoto wetu tunamjua na amethibitisha mwenyewe kwenye mkutano na wazee wa dar na ametamba huyu tunae mpaka yesu arudi
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
Hii ndiyo hoja ya mwafrika mwenye IQ kubwa? Toa njia za kukomboa nchi.
 
Jana , tumethibitisha kuwa vijana wa Tanzania ni nguzo ya mshikamano, tumetii sheria, tumedumisha utulivu, na tumeonesha uzalendo wa kweli kwa taifa letu. Tuendelee kuwa mfano wa kuigwa, tukilinda amani yetu na kuimarisha umoja uliotuleta hapa. Kumbuka, vijana ndio mashine ya maendeleo ya nchi, tuzidi kusimama pamoja kwa upendo, hekima na ujenzi wa taifa letu. MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU IBARIKI AFRIKA. #TANZANIA #AFRIKA #AMANI
wavimba_20251210_062702_0000.png
 
Hao umewaita WAJINGA.
Sawa wewe umefanya nini kulisaidia taifa!!. Nothing

Mambo wanayoyapinga kina Mange na wanaharakati wengine. Ni mambo ya msingi.
Mfano mambo kama ya utekaji yana faida gani kwa nchi hii ?!
 
Mbona hao unaowaita wajinga waliitikiwa na vyombo vyote vya ulinzi?!
 

Attachments

  • 20251211_042702.jpg
    20251211_042702.jpg
    100.9 KB · Views: 14
Mimi siisapoti CCM ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweli wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof Jay akiwa ICU ndio mnamuamini.
Kama umeshindwa kuleta suluhisho mbadala likaonyesha matokeo makubwa zaidi ya aliyoleta Mange basi na wewe utakuwa ni kilaza tu tena kilaza Promax maana angalau Mange achievement yake anaweza akasema ukombozi bado hatujaupata lakini viongozi nawakosesha usingizi,wanatumia askari na silaha nzito kulinda mji kwa kuwahofia watu wasioshika hata visu au bisibisi.
Achievement nyingine anaweza akasema sasa uoga wa Watanzania umepungua na wanajua haki zao ukilinganisha na miaka ya nyuma.
 
Back
Top Bottom