Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

Hako kamalaya kamesababisha vifo vya vijana maskini wengi waliotoka vijijini na kuna kutafuta maisha mijini

Masikini hawa vijana hawakujua wamefanywa kafara na vijana wa mijini ambao wamejaa humu JF na mitandaoni kuchochea halafu wao hawakutoka kuandamana kwa kujificha uvunguni
Kama wangetoka kweli kwa jinsi walivyokuwa wanapiga makelele basi ID nyingi humu zingepotea na tungetuma salamu za rambirambi
 
Ukomboz ni harakat sio jambo la gafla tu kama utakavyo hata harakat za uhuru wa 61 zilianza mwaka 30 huko had simba na yanga zikaanzishwa miaka 30 baadae uhuru ukapatikana na hao uliowataja wamejoin movement tu
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
Ukiona husikilizwi na watu hawafuati ushauri wako, fahamu huna umuhimu.

Kwanini watu wamsikilize na wamfuate Mange badala ya serikali yao.??

Solve the equation
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
lakini ndio hao wanawalaza watawala wenu ni viatu...wewe chawa chawa huwezi ona effect yao
 
But i'm an upfull man
and i love unfull people
...
I'm a faithful man and i love faithful people
...
I'm a progessive man and i love progressive people
...
I'm determined man and i love determined people

TOSH PETER.
 
Msijisahau bado tupo standby mode
anytime km serikali imeona hii njia ya lockdown ndo solution

Bado mna kazi mbeleni kubwa sana mmefunika tatizo ila hamjatatua tatizo
Mwageni majeshi migambo na polisccm but
TOMORROW IS ANOTHER DAY.
 
Mimi siisapoti ccm Ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweki wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof jay akiwa ICU ndo mnamuaminii
Hao ndio wamefanya wanaume na manguo yenu ya kaki na bakabaka mkashinda barabarani siku ya mapumziko.

Wamefanya mtoe matamko na kuhaha mwezi mzima.
 
Kama Mange ni Mjinga basi wewe ulistahili uwe MIREMBE umefungwa kamba kwenye kitanda ukipatiwa dawa kutuliza afya yako ya akili.

Inakuwaje mmefungia watu wasitoke kwa kusikiliza maneno ya mjinga? Si mngewaacha watu waendelee na mishe zao? kati ya Gen Z na vyombo vya dola nani mjinga sasa?

Mmefungia watu ndani ,barabara barriers kama zote halafu mnasema hali ni shwari ,huo ndiyo ushwari? Sasa nani mjinga hapo?

Mnawanyima haki waTZ kuweza kusocialize kwa kuzima TWITA ,TIKTOK ili hali kuna wengi ni platforms zao za kujipatia pesa kisa kuwanyamazisha kina Mange ,sasa nani Mjinga? Utawezaje kumsikiliza mjinga anayosema kwanini usimpuuze?
 
Back
Top Bottom