Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

Mimi siisapoti CCM ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweli wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof Jay akiwa ICU ndio mnamuamini.

..kati ya Mama Abduli na Dada Mange nani ana majibu mazuri kumshinda mwenzake ya form 4?

..kama Mama Abduli anafaa kuwa kiongozi kwanini Dada Mange asifae?
 
Kwa nn huyu dada wa kawaida sana afanye makubwa ya kijamii na kisiasa kuliko wao na ma vyeo yao na hela za serikali na elimu zao na bully pulpit ( platform) zaoooo ???

Na hivi karibuni kiuandishi wa habari pia, amewafunika.

Hakuna mtu amewahi kutaarifu na kuchambua mfumo wa jeshi la Tanzania na sababu za madhaifu yake tokea lianzishwe.

Namely:

1. Watu chini ya CDF ( Mnadhimu pamoja na Mkuu wa Inteligensia jeshini - yule aliyekuwa Aide De Camp wa Kikwete) wana nguvu kuliko CDF kwa saab wana direct line of communication na Ikulu

2.Silaha zilitapanywa na Nyerere kulihasi jeshi.

Andrew Nyerere, fighter jet pilot and combat veteran of JWTZ, akasema nimekubali. Baba alifanya makosa.

Only Mange Kimambi, sitting in a California kitchen table office with a cellphone camera and a keyboard could elucidate such profound military inteligence insight and analysis, and the historical context behind the castrated state of Tanzanian military.

Hili linawasumbia sana watu wengi wenye kihoro na Mange.
 
Mimi siisapoti CCM ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweli wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof Jay akiwa ICU ndio mnamuamini.
Nani sasa anaweza komboa nchi jomba?
Au ndo ushamaliza?
 
Mimi siisapoti CCM ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana

Najiuliza na nacheka

Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweli wanaweza kukomboa nchi.!!!?

Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili

Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof Jay akiwa ICU ndio mnamuamini.
Wewe taahira wa buku Saba Lumumba mwenye IQ kubwa umesaidia nini mpaka sasa hivi kukomboa hii nchi ?
 
mambo ya hovyo sana.
Yaani limtu na pumbu zake anamsifia Mange kimambi mtoto mwenye laan
Ninyi Malaya mpo humu na visimu vyenu cya tecno mnatumia VPN kuingia humu mtandao uliopigwa ban na huyo Malaya wenu wa kizimkazi na maushungi mnayemsifia
 
Back
Top Bottom