Mchambuzi,
Naona unakwepa ukweli uliosimama wazi kabisa.. AFYA ni biashara hivyo yote uloandika hapo juu ni matokeo ya kunedesha biashara huduma muhimu kama AFYA wakati wananchi wake hawana uwezo. Kwa nini Kiogoma hakuna Madaktari au Hospital za kutosha?.. Kwa sababu hakuna biashara nzuri kuliko Moshi, Arusha na Dar..
Swala la AFYA kwa nchi kama yetu halikutakiwa kabisa kuwa ktk mfumo uliopo ambao una jenga maradhi zaidi ili wananchi waende kutibiwa Hospital. Mtu anaumwa malaria atafanyiwa vipimo vya kila aina ikiwa hakuomba yeye afanyiwe kipimo cha Malaria. Leo hii Tanzania unatakiwa kwenda Hospital unajua unaumwa nini, laa sivyo utatozwa maelfu na mwisho wa siku utaambiwa na Dakatari huyo huyo Jioni au kesho njoo katika zahanati yangu iko Buguruni.
This is reality mkuu wangu mnajaribu sana kuficha madhambi ya mchezo mzima wanaofanyiwa wananchi kwa kuilaumu serikali wakati UFISADI umekuwa sehemu ya maisha yetu. Kweli serikali imeshindwa tena sehemu zote za uongozi na ndio maana imefilisika.. au hamjaambiwa hilo?.
Hakuna daktari mwenye hali mbaya Dar au Tanzania naomba nionyesheni hata mmoja ambaye hana hata nyumba na gari la kifahari!..Na kama yupo basi huyo ndio kamaliza tu masomo na kaanza kazi lakini within next 5 yrs sii mwenzako tena.
Ni wizi mtupu toka mashuleni hadi Hospital tunafuga maradhi kama mbegu ya kuzaa wagonjwa.
Naona unakwepa ukweli uliosimama wazi kabisa.. AFYA ni biashara hivyo yote uloandika hapo juu ni matokeo ya kunedesha biashara huduma muhimu kama AFYA wakati wananchi wake hawana uwezo. Kwa nini Kiogoma hakuna Madaktari au Hospital za kutosha?.. Kwa sababu hakuna biashara nzuri kuliko Moshi, Arusha na Dar..
Swala la AFYA kwa nchi kama yetu halikutakiwa kabisa kuwa ktk mfumo uliopo ambao una jenga maradhi zaidi ili wananchi waende kutibiwa Hospital. Mtu anaumwa malaria atafanyiwa vipimo vya kila aina ikiwa hakuomba yeye afanyiwe kipimo cha Malaria. Leo hii Tanzania unatakiwa kwenda Hospital unajua unaumwa nini, laa sivyo utatozwa maelfu na mwisho wa siku utaambiwa na Dakatari huyo huyo Jioni au kesho njoo katika zahanati yangu iko Buguruni.
This is reality mkuu wangu mnajaribu sana kuficha madhambi ya mchezo mzima wanaofanyiwa wananchi kwa kuilaumu serikali wakati UFISADI umekuwa sehemu ya maisha yetu. Kweli serikali imeshindwa tena sehemu zote za uongozi na ndio maana imefilisika.. au hamjaambiwa hilo?.
Hakuna daktari mwenye hali mbaya Dar au Tanzania naomba nionyesheni hata mmoja ambaye hana hata nyumba na gari la kifahari!..Na kama yupo basi huyo ndio kamaliza tu masomo na kaanza kazi lakini within next 5 yrs sii mwenzako tena.
Ni wizi mtupu toka mashuleni hadi Hospital tunafuga maradhi kama mbegu ya kuzaa wagonjwa.