Sniper gerald
New Member
- Jan 4, 2012
- 2
- 0
Hvi kwa kinacho endelea bungeni tangu uchaguz wa mwaka juz ni nini tumesikia cha kuufaidisha umma wetu zaidi ya kusikia mishahara ya wabunge,umeme,maji,mafuta kuongezeka kwa fujo? Kwanini daktari asiongezwe mshahara mara dufu kuliko hawa maswahubu kujimegea mishahara isiyo kifani bila jipya hapo ndani?