Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Ushuhuda unaendelea wasioamini ipo siku wataamini tu. Ndoa zinawezekana hapa jf ila inategemea userious wako na umejipanga vipi kumpata mwenza siyo kufanya majaribio
 
tafadhali unijibu hili swal kwa uaminifu.

Hivi mmeshajaribu kufanya angalau ile mara moja tu hivi.
 
Mmeshajaribu kwichi kwichi japo kidogo usijrudi hapa badae unalia jamaa hafiki kitonga! By the way hongera nyingi kwako....
 
Habari zenu wanajamvi,

Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaJF wote, zaidi sana wale walijitokeza nilipotoa tangazo la kutafuta Mr. Right.

Napenda kuwataarifu kuwa tumeendelea na mikakati na taratibu za harusi na my Mr. Right ambaye nilimpata kupitia tangazo langu la mwezi Jan.2016,
binasi sikutarajia kama mambo yatakwenda kwa speed kubwa namna hii lakini ndivyo ilivyokuwa.

Taratibu zote zimekamilika na Jana tu ndo mahari yote imelipwa, kweli nina furaha na amani sana kwa hatua niliyofikia, namshukuru mchumba wangu kwa seriousness alionionesha.

Wandugu tarehe ya harusi imepangwa na Jumapili ya tarehe 6 march 2016 tangazo la kwanza la harusi yangu litatangazwa.

Tarehe ya harusi imeshapangwa na vikao vinaanza kesho, naomba tarehe nisiiweke wazi kwanza, nitaiweka wazi siku tatu kabla ya harusi. Asanteni
sana.

Wewe ambaye umetupia tangazo lako amini tu utampata unae mtaka.Usichoke wala kukata tamaa.
Mr Right kakaa tumboni miezi tisa bila kuwaona wazazi wake, ila wewe January tu ushawaona wazazi wake na ndoa ushaalika,nenda aste aste bibie
 
kuna possibility hii ndoa ikaja na mtoto mwaka huu, au ikashindwa kuwa nzuri kwa sababu ya mimba changa na changamoto zake
 
Mwanamke akiona umri unasonga yani bado sekunde chache aguse 30 hlf mchumba hana...Anakuwa desperate sana Na ndoa...Ndo haya mnayoyaona!
Kwa kizaz chetu hiki cha sasa Kilichooza chunguzaneni japo kwa miez kadhaa!
Huwezi jua unaeingia nae kwenye ndoa ana mapungufu yake usiyoyajua na jipange jinsi ya kuendana nae sababu safari ya ndoa ni ndefu sana,msiwaone wazee wenu waliokutana tangu ujanani leo wapo pamoja zaidi ya miaka 50...Sio safari ndogo ati!!kuna mazito wamepitia!
 
Mwanamke akiona umri unasonga yani bado sekunde chache aguse 30 hlf mchumba hana...Anakuwa desperate sana Na ndoa...Ndo haya mnayoyaona!
Kwa kizaz chetu hiki cha sasa Kilichooza chunguzaneni japo kwa miez kadhaa!
Huwezi jua unaeingia nae kwenye ndoa ana mapungufu yake usiyoyajua na jipange jinsi ya kuendana nae sababu safari ya ndoa ni ndefu sana,msiwaone wazee wenu waliokutana tangu ujanani leo wapo pamoja zaidi ya miaka 50...Sio safari ndogo ati!!kuna mazito wamepitia!
Pia wakumbushe kuwa leo kuna semina ya mwakasege pale eneo la chuo kikuu mlimani. wanaombewaga watu pale
 
Mmefanya haraka sana. Baada ya kujuana mngekaa japo kwa miezi sita then ndo mkaanza mipango ya ndoa. Kitu cha kudumu hakitaki papara
ndoa ni popote saa yoyote wakati wowote muhimu kila mmoja awe na nia ya kuingia ktk ndoa na mwenzie yaan zipo 7bu nyingi sana zinazomfanya mtu aamue kuingia ktk ndoa na kujuana kwa muda mrefu siyo kigezo cha ndoa kudumu
ili ndoa idumu inahitaji jambo moja muhimu sana nalo ni UAMINIFU likifuatiwa na UVUMILIVU
tabia ya mtu kiundani huwezi jua katika uchumba au urafiki ambao mnaita kuchunguzana
utawezaje kumchunguza mpenzio ambae anaishi tabata wewe ukiwa unaishi tegeta ?
ndoa ndo hudhiirisha tabia ya mtu
unachotakiwa ukiwa ktk mipango ya ndoa ni kumuomba mungu ampe mwenzio uaminifu na uvumilivu na ukiingia ujitahidi uwe mwaminifu na uvumilivu 7bu hapo ndo utajua tabia halisi ya mwenzako sasa ikiwa kinyume UVUMILIVU ndo huitajika
 
Mwanamke akiona umri unasonga yani bado sekunde chache aguse 30 hlf mchumba hana...Anakuwa desperate sana Na ndoa...Ndo haya mnayoyaona!
Kwa kizaz chetu hiki cha sasa Kilichooza chunguzaneni japo kwa miez kadhaa!
Huwezi jua unaeingia nae kwenye ndoa ana mapungufu yake usiyoyajua na jipange jinsi ya kuendana nae sababu safari ya ndoa ni ndefu sana,msiwaone wazee wenu waliokutana tangu ujanani leo wapo pamoja zaidi ya miaka 50...Sio safari ndogo ati!!kuna mazito wamepitia!
Well said
 
ndoa ni popote saa yoyote wakati wowote muhimu kila mmoja awe na nia ya kuingia ktk ndoa na mwenzie yaan zipo 7bu nyingi sana zinazomfanya mtu aamue kuingia ktk ndoa na kujuana kwa muda mrefu siyo kigezo cha ndoa kudumu
ili ndoa idumu inahitaji jambo moja muhimu sana nalo ni UAMINIFU likifuatiwa na UVUMILIVU
tabia ya mtu kiundani huwezi jua katika uchumba au urafiki ambao mnaita kuchunguzana
utawezaje kumchunguza mpenzio ambae anaishi tabata wewe ukiwa unaishi tegeta ?
ndoa ndo hudhiirisha tabia ya mtu
unachotakiwa ukiwa ktk mipango ya ndoa ni kumuomba mungu ampe mwenzio uaminifu na uvumilivu na ukiingia ujitahidi uwe mwaminifu na uvumilivu 7bu hapo ndo utajua tabia halisi ya mwenzako sasa ikiwa kinyume UVUMILIVU ndo huitajika
Vizuri kuchukua muda kumjua mtu. Spend time. Toka naye na watu. Do things. Kuna vijitabia vyake inabidi uvijue na uamue kama unaweza kuvibadilisha au kuishi navyo.

Hasira. Ubinafsi. Ujuaji. Utemi.
.
If you think unaweza kuvumulia vyovyote utakavyokutana navyo , good.
 
Back
Top Bottom