Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
mwemwemweeeeeeeeeeHa haaa unakaribia kupata ugonjwa wa atoto
mwemwemweeeeeeeeeeHa haaa unakaribia kupata ugonjwa wa atoto
C.c Kaboom. Kumbe mmeachana na mama K eeh?Mmmmh!! Huyu ni wangu namjua mwenyewe
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] khaaah sina mume usijeninyima kaka yako.
Labda kama sijazaliwa Mbeya teh tehWe mtoto weee mbona hivyo jamani! hapo sijui walihack ac yangu sio mimi nilie andika hapo[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Hivi kumbe umbea haujaacha?
Mbona kwenye fursa za baba yako huwa huniiti?[emoji57] [emoji57]Labda kama sijazaliwa Mbeya teh teh
Hahaha fursa mzee alishaacha tangu last year. Nashangaa wewe ndo unataka kuwehuka sasa hiviMbona kwenye fursa za baba yako huwa huniiti?[emoji57] [emoji57]
Vipimo bado vipo maabara. Subiri baada ya wiki mbiliKumbe ninaumwa!!! Kwani naumwa nini dokita?
Thubutuuuu, namfumania kila siku, akiacha ujue libido imekwisha, now bado inamsumbua.Hahaha fursa mzee alishaacha tangu last year. Nashangaa wewe ndo unataka kuwehuka sasa hivi
Sasa kumbe hata majibu ya vipimo huna, umethibitisha vipi sasa kuwa ninaumwa? Nyie ndio mnaopasua watu miguu badala ya vichwa.Vipimo bado vipo maabara. Subiri baada ya wiki mbili
Dalili zinaonekana mbona! He hee we subiri banaSasa kumbe hata majibu ya vipimo huna, umethibitisha vipi sasa kuwa ninaumwa? Nyie ndio mnaopasua watu miguu badala ya vichwa.
Hahaha kumbe ndo urijali eehThubutuuuu, namfumania kila siku, akiacha ujue libido imekwisha, now bado inamsumbua.
Hii ya baba yako ni zaidi ya urijali.Hahaha kumbe ndo urijali eeh
hongera sana bestito ila naomba tenda ya kukutengenezea kadi za mwaliko za harusi, kutenegeneza keki na kupamba mkuu kimojawapo kati ya hizo bestito usinisahau katika ufalme huu umpya ulioupata humu Mungu amekutendea hongera sanaHabari zenu wanajamvi,
Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaJF wote, zaidi sana wale walijitokeza nilipotoa tangazo la kutafuta Mr. Right.
Napenda kuwataarifu kuwa tumeendelea na mikakati na taratibu za harusi na my Mr. Right ambaye nilimpata kupitia tangazo langu la mwezi Jan.2016,
binasi sikutarajia kama mambo yatakwenda kwa speed kubwa namna hii lakini ndivyo ilivyokuwa.
Taratibu zote zimekamilika na Jana tu ndo mahari yote imelipwa, kweli nina furaha na amani sana kwa hatua niliyofikia, namshukuru mchumba wangu kwa seriousness alionionesha.
Wandugu tarehe ya harusi imepangwa na Jumapili ya tarehe 6 march 2016 tangazo la kwanza la harusi yangu litatangazwa.
Tarehe ya harusi imeshapangwa na vikao vinaanza kesho, naomba tarehe nisiiweke wazi kwanza, nitaiweka wazi siku tatu kabla ya harusi. Asanteni
sana.
Wewe ambaye umetupia tangazo lako amini tu utampata unae mtaka.Usichoke wala kukata tamaa.
hahahahaaaa abestito jamaniNikiona nyuzi kama hizi naskia raaaha!
Jf woyeee