Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Kama kila mmoja ana a man I na mwenzie tusubiri miezi sita yanini?
Ni kama kilimo cha mbogamboga kwaza unahitaji seedbed ili uoteshee mbegu halafu miche ikifikia umri fulan ndo inapandikiza kwenye bustani(garden). Sorry ila ni ushauri tu nimekupa mdogo wangu coz me npo kwenye ndoa zaid ya muongo mmoja.
 
Ni kama kilimo cha mbogamboga kwaza unahitaji seedbed ili uoteshee mbegu halafu miche ikifikia umri fulan ndo inapandikiza kwenye bustani(garden). Sorry ila ni ushauri tu nimekupa mdogo wangu coz me npo kwenye ndoa zaid ya muongo mmoja.
Asante kwa ushauri. Kwa bahati nzuri niliyempata namfahamu sana nimesoma nae chuo kimoja na kozi moja so I don't need to worry.
 
Asee.....ngoja Na mimi niandike tangazo!!!

Hongera classmate...!
 
Back
Top Bottom