Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Hahahaha mimi first time kupanda ndege nilikuwa na miaka kama kumi hivi.nimetoka zangu iringa nafika dar mzee ananiambia twende zanzbar ukawasalimie shangazi zako.nimeingia kwenye ndege vzr tu wakanifunga mkanda daaah kimbembe wakati inaanza ruka angani niliona tumbo kama linataka kutoka nikapiga kelele kubwa iliyowashtua abiria daaah ilikuwa noma sana sitasahau hii kitu.
Invisible mbona hii post yangu ipo huku vipi tenaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Nimeona andiko la kuvunjika kwa hii ndoa kutoka kwa muhusika labda niwe nimetizama kwa macho kumchuzi.
Kimsingi huku ndio kwanza naingia leo,kama nilioyaona ni kweli polee sana.
 
Back
Top Bottom