Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Hongera dear..hapoo wanaosemaa eti harakaa wapuuzee kwani mbona humuu kuna malalamikoo ya waliokaa hata uchumbaa Wa miaka 7 Na wamekimbiana wanalalama huyu kanichunaa..Ni ivi suala la ndoa Ni mipango ya Mungu..Hongera tena Na mtualikee tuchangiee kwa tutakaopenda tujee tuserebukee..Jf Rahaa..bibi napata bwana..Kwenyee wivuu wajinyongee!!!
 
Mume wangu huyu ni jipu, yaani we acha tu, ila mimi na rubii hatidhuriani.
Hahah...hajafikia kua jipu labda kipele tuu...

Kizuri ni kwamba hua hasahau kusema kwamba ana mke humu!
 
Mke wangu anafukuzia Scholarship Ughaibuni, akiondoka tu navua pete natangaza kutafuta mke, faster faster naoa, natoa mahari yote, navuta kitu ndani.....

MUNGU akubariki sana
 
ukiona mtu anatafuta mtu wa kumuoa bas ujue atacholewasha ndoa ili asije kukmbiwa.Hongera sana
 
Mke wangu anafukuzia Scholarship Ughaibuni, akiondoka tu navua pete natangaza kutafuta mke, faster faster naoa, natoa mahari yote, navuta kitu ndani.....

MUNGU akubariki sana
Kulikoni?
 
Back
Top Bottom